Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Ghaza

  • Israel inataka kujenga kisiwa katika pwani ya Ghaza

    Israel inataka kujenga kisiwa katika pwani ya Ghaza

    Mar 14, 2017 03:47

    Kanali ya kwanza ya televisheni ya utawala wa Kizayuni imetangaza kuwa waziri wa usafirishaji wa Israel amekutana na kufanya mazungumzo na maafisa kadhaa wa nchi za Kiarabu kwa minajili ya kuchunguza mpango wa kujenga kisiwa karibu na pwani ya Ukanda wa Ghaza katika kile kinachoonekana ni kutaka kuwadhibiti zaidi Wapalestina.

  • Afisa wa Israel akiri jeshi la utawala wa Kizayuni lilishindwa katika vita vya siku 50 Ukanda wa Gaza

    Afisa wa Israel akiri jeshi la utawala wa Kizayuni lilishindwa katika vita vya siku 50 Ukanda wa Gaza

    Mar 01, 2017 00:57

    Kamanda wa zamani katika jeshi la utawala haramu wa Kizayuni wa Israel eneo, amekiri wazi kwamba jeshi na serikali yote ya utawala huo, vilishindwa katika vita ya siku 50 dhidi ya Ukanda wa Gaza, Palestina.

  • Mwakilishi wa Hamas Tehran: Iran ni muungaji mkono wetu pekee katika eneo

    Mwakilishi wa Hamas Tehran: Iran ni muungaji mkono wetu pekee katika eneo

    Jan 16, 2017 23:34

    Mwakilishi wa Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina (Hamas) hapa Tehran amesema kuwa njia pekee ya kukabiliana na utawala wa Kizayuni ni kuendeleza muqawama na kwamba ishara ya wazi zaidi ya mapambano hayo ni Intifadha.

  • Ukuta wa uzio katika mpaka wa Gaza; dharau ya Israel kwa Baraza la Usalama la UN

    Ukuta wa uzio katika mpaka wa Gaza; dharau ya Israel kwa Baraza la Usalama la UN

    Jan 11, 2017 11:30

    Wakati Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa limepitisha azimio nambari 2234 la kuutaka utawala wa Kizayuni wa Israel usimamishe ujenzi wa vitongoji katika ardhi za Palestina unazozikalia kwa mabavu, waziri wa vita wa utawala huo haramu ameafiki shauri la kujengwa ukuta wa uzio katika mipaka ya Ukanda wa Gaza.

  • Kukiri duru za Kizayuni juu ya kuwa mbaya hali ya Gaza

    Kukiri duru za Kizayuni juu ya kuwa mbaya hali ya Gaza

    Dec 30, 2016 04:25

    Kituo kimoja cha haki za binadamu cha Israel kimekiri kwamba, utawala wa Kizayuni wa Israel umekuwa ukiifanya kuwa mbaya siku baada ya siku hali ya kibinadamu katika Ukanda wa Gaza huko Palestina.

  • Hamas yaikosoa ICC kwa kutoutembelea Ukanda wa Gaza

    Hamas yaikosoa ICC kwa kutoutembelea Ukanda wa Gaza

    Oct 09, 2016 04:48

    Harakati ya muqawama wa Palestina Hamas imesema safari ya ujumbe wa maafisa wa Mahakama ya Kimataifa ya Jinai ICC katika ardhi za Palestina zinazokaliwa kwa mabavu haina maana na umuhimu wowote, madhali wataalamu hao wa masuala ya sheria watakosa kuutembelea Ukanda wa Gaza.

  • Israel yafanya njama za kuendeleza mzingiro wa kidhulma Ukanda wa Gaza

    Israel yafanya njama za kuendeleza mzingiro wa kidhulma Ukanda wa Gaza

    Oct 03, 2016 00:29

    Utawala wa Kizayuni wa Israel unajiandaa kuishambulia meli ya al Zaituna na vile vile kuwazua wanaharakati wa kimataifa kuwasili huko Ukanda wa Gaza.

  • Israel yamtia mbaroni mwakilishi wa UN Ukanda wa Ghaza

    Israel yamtia mbaroni mwakilishi wa UN Ukanda wa Ghaza

    Aug 09, 2016 23:13

    Utawala wa Kizayuni umemtia mbaroni mwakilishi wa Umoja wa Mataifa katika Ukanda wa Ghaza kwa tuhuma za kuwa na ushirikiano na Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina Hamas.

  • Ndege za kivita za Israel zaendelea kukiuka usitishwaji vita Ghaza

    Ndege za kivita za Israel zaendelea kukiuka usitishwaji vita Ghaza

    Jul 14, 2016 02:09

    Ndege za kivita za utawala haramu wa Israel zimetekeleza hujuma nyingine katika Ukanda wa Ghaza ikiwa ni ukikwaji wa usitishwaji vita katika eneo hilo la Palestina lililo chini ya mzingiro.

  • Israel kujenga ukuta wa chini ya ardhi huko Ghaza

    Israel kujenga ukuta wa chini ya ardhi huko Ghaza

    Jun 17, 2016 23:58

    Israel inajiandaa kujenga ukuta mkubwa wa saruji huko Ukanda wa Ghaza. Hayo ni kwa mujibu wa ripoti ya gazeti la Kizayuni la Yedioth Ahronoth

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS