-
Kamanda wa Jeshi la Wanamaji la IRGC: Hakuna haja ya kuwepo nchi ajinabi katika Ghuba ya Uajemi
May 26, 2023 07:03Kamanda wa kikosi cha Wanamaji cha Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu (IRGC) amesema: Iran na nchi za eneo ni wadhamini wa usalama wa Ghuba ya Uajemi na hakuna haja ya kuwepo nchi ajinabi katika eneo hili.
-
Kamanda Tangsiri: Usalama endelevu wa Ghuba ya Uajemi ni matokeo ya juhudi za Iran
Apr 30, 2023 02:09Kamanda wa kikosi cha Wanamaji cha Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu ya Iran (IRGC) ameeleza kuwa: Usalama endelevu wa eneo la Ghuba ya Uajemi ni matokeo ya juhudi za Iran na kwamba hakuna nchi itakayoruhusiwa kudhuru usalama na maliasili za eneo hilo.
-
"Ramani ya mfumo mpya wa ulimwengu"; sisitizo la Kiongozi Muadhamu la kufeli sera za Marekani Asia Magharibi
Apr 18, 2023 12:47Tarehe 5 Aprili Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu, alizungumzia na kufafanua masuala kadhaa katika kikao chake na viongozi na maafisa wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran.
-
GCC: Mapatano ya Saudia, Iran kuhitimisha migogoro katika eneo
Mar 23, 2023 11:11Baraza la Ushirikiano la Ghuba ya Uajemi (GCC) limepongeza makubaliano ya hivi karibuni kati ya Iran na Saudi Arabia ya kurejesha uhusiano wa kidiplomasia uliokuwa umevunjika kwa kipindi cha miaka saba.
-
Khatibu wa Sala ya Ijumaa Tehran: Visiwa vitatu vitabaki kuwa vya Iran milele
Jan 13, 2023 11:38Khatibu wa Sala ya Ijumaa ya leo mjini Tehran amesema, visiwa vitatu vitabaki kuwa vya Iran milele na hakuna mtu yeyote aliye na dhamira ya kuingiza mkono wake humo, kwani hataweza kufanya chochote, kama ambavyo hajaweza kufanya hivyo hadi sasa.
-
Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran: Kitendo cha Jarida la Ufaransa ni mfano wa wazi wa matamshi ya chuki
Jan 09, 2023 11:45Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran amekitaja kitendo cha jarida la Ufaransa la Charlie Hebdo kuwa ni mfano wa wazi wa matamshi ya chuki na udhalilishaji wa thamani za wengine.
-
Wairani walalamikia ujumbe wa Twitter wa rais wa FIFA
Jan 08, 2023 05:34Rais wa Shirikisho la Kimataifa la Soka Duniani (FIFA) amekosolewa vikali na watumizi wa mitandao ya kijamii wa Iran kwa kutumia neno bandia wakati wa kutaja Ghuba ya Uajemi.
-
Tehran yaiasa China iheshimu visiwa vya Ghuba ya Uajemi, milki ya Iran
Dec 12, 2022 10:44Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran ameiasa China iheshimu mamlaka kamili ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran juu ya visiwa vyake vitatu vya eneo la Ghuba ya Uajemi.
-
Jumanne tarehe 22 Novemba 2022
Nov 22, 2022 02:20Lei ni tarehe 27 Rabiulthani 1444 Hijria sawa na Novemba 22 mwaka 2022.
-
Meli ya kigeni yakamatwa Ghuba ya Uajemi ikisafirisha kimagendo lita milioni 11 za mafuta
Nov 01, 2022 02:44Afisa wa ngazi za juu wa Idara ya Mahakama ya Iran amesema, Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu (IRGC) limeinasa meli ya kigeni ya mizigo iliyokuwa imebeba mamilioni ya lita za mafuta yanayosafirishwa kimagendo katika maji ya Ghuba ya Uajemi na kuwakamata pia wafanyakazi wote wa meli hiyo.