-
HAMAS yatumia droni iliyoiteka kutoka kwa Israel kuwatwanga Wazayuni
Dec 30, 2024 23:24Brigedi za Izzudin Qassam, Tawi la Kijeshi la Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina HAMAS zimetangaza kuwa, zimetumia droni ziliyoiteka kutoka kwa wanajeshi wa Israel kuwashambulia wanajeshi hao vamizi na Wazayuni wenzao.
-
Hamas yalaani vikali kushambuliwa hospitali Gaza; yasema Israel inafanya maangamizi ya kizazi
Dec 23, 2024 23:05Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina (Hamas) imelaani mashambulizi yanayoendelea kufanywa na jeshi la Israel katika hospitali ya Kamal Adwan kaskazini mwa Gaza na kusema kuwa, huo ni "uhalifu usio na mfano dhidi ya binadamu."
-
Hamas yaendeleza juhudi za kufikia mapatano ya kusitisha vita Ukanda wa Gaza
Dec 22, 2024 04:19Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palstina (Hamas) imeripoti kuwa makundi ya muqawama ya Palestina yamekutana katika kikao cha pamoja huko Cairo, Misri na kwamba upo uwezekano wa kufikia mapatano ya kusitisha vita huko Ukanda wa Gaza.
-
Hamas: Taasisi za kimataifa zisaidie kufikisha misaada ya kitiba Ukanda wa Gaza
Dec 16, 2024 03:46Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina (Hamas) imeziomba taasisi za kimataifa zitume misaada ya kitiba na kitabibu kwa ajili ya wakazi wa Ukanda wa Gaza.
-
HAMAS: Hakuna wa kuwaamulia Wapalestina, wao wenyewe wana haki kamili, uwezo na ustahiki
Dec 15, 2024 02:05Harakati ya Muqawama wa Kiislamu ya Palestina HAMAS, kwa mara nyingine tena imesema, inakaribisha uchukuaji hatua wowote ule wa dhati na wa kivitendo kwa ajili ya kusimamisha uchokozi na jinai za utawala ghasibu wa Israel na kukomesha vita katika Ukanda wa Ghaza.
-
HAMAS yajibu vitisho alivyotoa Trump kuhusu mateka wa Kizayuni wanaoshikiliwa Ghaza
Dec 04, 2024 03:12Harakati ya Muqawama wa Kiislamu ya Palestina HAMAS imetoa jibu kwa ujumbe wa vitisho uliotolewa na rais mteule wa Marekani kuhusu mateka wa Kizayuni wanaoshikiliwa katika Ukanda wa Ghaza na kusisitiza kuwa, ni bora Trump atume salamu zake hizo kwa Netanyahu.
-
White House yakiri kuhusu nafasi muhimu ya Hamas
Dec 02, 2024 08:28Mshauri wa Usalama wa Taifa wa Marekani amekiri kuhusu nafasi muhimu ya Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina (Hamas) katika eneo.
-
Uchunguzi wa maoni: Theluthi moja ya vijana Wayahudi wa Marekani wanaiunga mkono Hamas
Nov 24, 2024 23:43Uchunguzi wa maoni wa karibuni uliofanywa na utawala wa Israel umeonyesha kuwa zaidi ya theluthi moja ya vijana Wayahudi wa Marekani wenye umri wa miaka kuanzia 14 hadi 18 wametangaza mshikamano wao na Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina, Hamas.
-
Magaidi wakufurishaji waua Waislamu 40 wa Kishia, wajeruhi 30 kaskazini magharibi mwa Pakistan
Nov 22, 2024 02:58Kundi la magaidi wakufurishaji limeyafyatulia risasi magari ya abiria yaliyokuwa yamebeba raia Waislamu wa madhehebu ya Shia kaskazini-magharibi mwa Pakistan na kuua karibu watu 40 na kujeruhi wengine 30 katika moja ya mashambulizi mabaya zaidi kushuhudiwa katika miaka ya hivi karibuni kwenye eneo hilo lenye machafuko.
-
Sababu za kusalia imara Muqawama-2
Nov 16, 2024 23:09Hamjambo na karibuni kuwa nasi katika sehemu nyingine ya kipindi chetu cha leo ambacho kinaendelea kuzungumzia sababu za kuendelea kusimama imara kambi ya Muqawama dhidi ya mabeberu na utawala wa Kizayuni wa Israel...