-
Hamas: Taasisi za kimataifa zisaidie kufikisha misaada ya kitiba Ukanda wa Gaza
Dec 16, 2024 07:16Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina (Hamas) imeziomba taasisi za kimataifa zitume misaada ya kitiba na kitabibu kwa ajili ya wakazi wa Ukanda wa Gaza.
-
HAMAS: Hakuna wa kuwaamulia Wapalestina, wao wenyewe wana haki kamili, uwezo na ustahiki
Dec 15, 2024 05:35Harakati ya Muqawama wa Kiislamu ya Palestina HAMAS, kwa mara nyingine tena imesema, inakaribisha uchukuaji hatua wowote ule wa dhati na wa kivitendo kwa ajili ya kusimamisha uchokozi na jinai za utawala ghasibu wa Israel na kukomesha vita katika Ukanda wa Ghaza.
-
HAMAS yajibu vitisho alivyotoa Trump kuhusu mateka wa Kizayuni wanaoshikiliwa Ghaza
Dec 04, 2024 06:42Harakati ya Muqawama wa Kiislamu ya Palestina HAMAS imetoa jibu kwa ujumbe wa vitisho uliotolewa na rais mteule wa Marekani kuhusu mateka wa Kizayuni wanaoshikiliwa katika Ukanda wa Ghaza na kusisitiza kuwa, ni bora Trump atume salamu zake hizo kwa Netanyahu.
-
White House yakiri kuhusu nafasi muhimu ya Hamas
Dec 02, 2024 11:58Mshauri wa Usalama wa Taifa wa Marekani amekiri kuhusu nafasi muhimu ya Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina (Hamas) katika eneo.
-
Uchunguzi wa maoni: Theluthi moja ya vijana Wayahudi wa Marekani wanaiunga mkono Hamas
Nov 25, 2024 03:13Uchunguzi wa maoni wa karibuni uliofanywa na utawala wa Israel umeonyesha kuwa zaidi ya theluthi moja ya vijana Wayahudi wa Marekani wenye umri wa miaka kuanzia 14 hadi 18 wametangaza mshikamano wao na Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina, Hamas.
-
Magaidi wakufurishaji waua Waislamu 40 wa Kishia, wajeruhi 30 kaskazini magharibi mwa Pakistan
Nov 22, 2024 06:28Kundi la magaidi wakufurishaji limeyafyatulia risasi magari ya abiria yaliyokuwa yamebeba raia Waislamu wa madhehebu ya Shia kaskazini-magharibi mwa Pakistan na kuua karibu watu 40 na kujeruhi wengine 30 katika moja ya mashambulizi mabaya zaidi kushuhudiwa katika miaka ya hivi karibuni kwenye eneo hilo lenye machafuko.
-
Sababu za kusalia imara Muqawama-2
Nov 17, 2024 02:39Hamjambo na karibuni kuwa nasi katika sehemu nyingine ya kipindi chetu cha leo ambacho kinaendelea kuzungumzia sababu za kuendelea kusimama imara kambi ya Muqawama dhidi ya mabeberu na utawala wa Kizayuni wa Israel...
-
Qatar yakadhibisha madai ya kufunga ofisi ya HAMAS mjini Doha
Nov 10, 2024 07:20Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Qatar amepuuzilia mbali ripoti za baadhi ya vyombo vya habari kuhusu kufungwa kwa ofisi ya Harakati ya Muqawamawa wa Kiislamu ya Palestina HAMAS mjini Doha.
-
Israel yathibitisha kuangamizwa kamanda wake wa Brigedi ya 401
Oct 21, 2024 07:24Kamanda wa Kikosi cha 401 cha jeshi la Israel ameuawa na wanamuqawama wa Palestina kaskazini mwa Ukanda wa Gaza, jeshi la Israel limethibitisha.
-
Wanajeshi wa Kizayuni waangamizwa Gaza na wanamuqawama wa HAMAS
Oct 14, 2024 11:37Wanajeshi kadhaa wa utawala wa Kizayuni wa Israel wameangamizwa na kujeruhiwa na Mujahidina wa Brigedi za Izzuddin Qassam, tawi la kijeshi la Harakati ya Muqawama wa Kiislamu ya Palestina (HAMAS) kusini mwa Ukanda wa Gaza.