Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

HAMAS

  • Ismail Hania apongeza hotuba ya Kiongozi Muadhamu katika mazungumzo na ujumbe wa Hamas

    Ismail Hania apongeza hotuba ya Kiongozi Muadhamu katika mazungumzo na ujumbe wa Hamas

    Sep 01, 2019 23:35

    Ismail Hania Mkuu wa Ofisi ya Kisiasa ya Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina (Hamas) amemuandikia barua Ayatullah Khamenei Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu na kushukuru yale aliyoyazungumza katika mazungumzo na ujumbe wa harakati hiyo uliofanya ziara hapa nchini hivi karibuni .

  • Hamas: Israel inawalenga kwa silaha waandishi habari ili kuficha ukweli

    Hamas: Israel inawalenga kwa silaha waandishi habari ili kuficha ukweli

    Aug 03, 2019 03:40

    Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina (Hamas) imekitaja kitendo cha wanajeshi wa utawala wa Kizayuni wa Israel cha kuwafyatulia risasi waandishi habari wanaoripoti maandamano makubwa ya Wapalestina ya Haki ya Kureja katika mipaka ya Ghaza kuwa ni juhudi zilizofel za kutaka kuficha ukweli na jinai za utawala huo.

  • HAMAS: Wapalestina wameungana kitu kimoja dhidi ya mpango wa Marekani wa

    HAMAS: Wapalestina wameungana kitu kimoja dhidi ya mpango wa Marekani wa "Muamala wa Karne."

    Jul 29, 2019 03:14

    Kiongozi mwandamizi wa Harakati ya Muqawama wa Kiislamu ya Palestina HAMAS amesema, wananchi wa Palestina wameungana kitu kimoja dhidi ya mpango wa Marekani uliopewa jina la eti "Muamala wa Karne".

  • HAMAS: Kutimuliwa mwanaharakati wa Saudia msikiti wa Al Aqsa ni vuguvugu lililotokana na Wapalestina wenyewe

    HAMAS: Kutimuliwa mwanaharakati wa Saudia msikiti wa Al Aqsa ni vuguvugu lililotokana na Wapalestina wenyewe

    Jul 24, 2019 08:50

    Harakati ya Muqawama wa Kiislamu ya Palestina (HAMAS) imesisitiza kwamba: Hatua iliyochukuliwa na vijana wa Kipalestina ya kumtoa nje ya msikiti wa Al Aqsa mwandishi wa habari kutoka Saudi Arabia imetokana na vuguvugu na mwamko uliosababishwa na hasira za vijana hao.

  • Ali Shamkhani: Iran itaendelea kuunga mkono muqawama wa Palestina hadi utakapopata ushindi

    Ali Shamkhani: Iran itaendelea kuunga mkono muqawama wa Palestina hadi utakapopata ushindi

    Jul 23, 2019 08:00

    Katibu wa Baraza Kuu la Usalama wa Taifa la Iran amesema kuwa, Jamhuri ya Kiislamu itaendelea kuiunga mkono Palestina hadi muqawama utakapopata ushindi mbele ya utawala unaoua watoto wa Israel.

  • Kiongozi Muadhamu: Hatima ya Kadhia ya Palestina bila shaka itakuwa ni kwa manufaa ya Wapalestina

    Kiongozi Muadhamu: Hatima ya Kadhia ya Palestina bila shaka itakuwa ni kwa manufaa ya Wapalestina

    Jul 22, 2019 07:32

    Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu amesisitiza kuwa, ushindi haupatikani bila ya muqawama na mapambano na kwa mujibu wa ahadi isiyo na shaka ya Mwenyezi Mungu, hatima ya kadhia ya Palestina bila shaka itakuwa ni kwa manufaa ya Wapalestina.

  • Dakta Kharrazi: Kukombolewa Palestina ni miongoni mwa malengo makubwa ya Iran

    Dakta Kharrazi: Kukombolewa Palestina ni miongoni mwa malengo makubwa ya Iran

    Jul 21, 2019 22:02

    Mkuu wa Baraza la Kiistratijia la Uhusiano wa Nje la Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema kuwa, kukombolewa Palestina na mji mtakatifu wa Quds ni katika malengo makkuubwa ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran.

  • HAMAS yasisitiza kukomeshwa mashambulio ya Wazayuni dhidi ya Wapalestina

    HAMAS yasisitiza kukomeshwa mashambulio ya Wazayuni dhidi ya Wapalestina

    Jul 20, 2019 23:51

    Msemaji wa Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina HAMAS ametangaza kuwa, adui mzayuni ndiye anayebeba dhima ya kuendelea hujuma na mashambulio dhidi ya Wapalestina yakiwemo mashambulio dhidi ya waandamano wa maandamno ya "Haki ya Kurejea".

  • Hamas yataka kususiwa sarafu dola ya Marekani

    Hamas yataka kususiwa sarafu dola ya Marekani

    Jul 18, 2019 22:03

    Musa Abu Marzouq mjumbe wa ngazi ya juu wa Idara ya Siasa ya Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina (Hamas) ametoa wito wa kususiwa sarafu ya dola ya Marekani.

  • Mousa Abu Marzook: Jeuri ya Marekani mkabala na Iran haikubaliki

    Mousa Abu Marzook: Jeuri ya Marekani mkabala na Iran haikubaliki

    Jul 18, 2019 09:20

    Mousa Mohammed Abu Marzook, kiongozi mwandamizi wa Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina (HAMAS) amesisitiza juu ya uhusiano mzuri wa harakati hiyo na Jamhuri ya Kiislamu ya Iran na kubainisha kwamba, HAMAS haikubaliani na ujeuri wa Washington katika kuamiliana na Tehran.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS