-
Russia na Hamas zafanya mazungumzo mjini Moscow
Jul 17, 2019 03:13Ujumbe wa Harakati ya Muqawama wa Kiislamu ya Palestina HAMAS umekutana mjini Moscow na Naibu Waziri wa Mambo ya Nje wa Russia, Mikhail Bogdanov ambapo pande mbili zimesisitizia umuhimu wa umoja wa Wapalestina kwa shabaha ya kuzima njama ya Marekani iliyopewa jina la Muamala wa Karne.
-
Hamas yaapa kudumaza mpango wa Trump wa "Muamala wa Karne"
Jul 06, 2019 21:54Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina (Hamas) imesema kuwa itaendeleza harakati za kupinga mpango eti wa amani uliozusha makelele mengi wa Rais Donald Trump wa Marekani baina ya utawala haramu wa Israel na Wapalestina uliopewa jina la "Muamala wa Karne"
-
HAMAS: Kujiuzulu maafisa wa kijeshi wa Israel ni ishara ya nguvu ya muqawama
Jul 06, 2019 03:45Msemaji wa Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina HAMAS amesema kuwa, kujiuzulu mkuu wa kitengo cha operesheni cha Shirika la Kiintelijensia la Israel ni jambo linalobainisha juu ya kuchanganyikiwa adui Mzayuni na kuweka wazi nguvu kubwa ya muqawama wa Palestina.
-
HAMAS: Vitisho vya Netanyahu vinatuzidishia azma na irada ya muqawama
Jul 05, 2019 08:20Mjumbe mmoja wa Ofisi ya Kisiasa ya Harakati ya Muqawama wa Kiislamu Palestina (HAMAS) amesema kuwa, vitisho vya Benjamin Netanyahu, Waziri Mkuu wa utawala haramu wa Kizayuni vinauzidishia muqawama azma na irada ya kuendelea mbele na njia yake tukufu.
-
Harakati ya Fat-h yapendekeza kufanyika uchaguzi na kuundwa serikali ya Palestina
Jul 02, 2019 08:07Mshauri wa Rais wa Mamlaka ya Ndani ya Palestina amesema kuwa Harakati ya Fat-h imetoa pendekezo kwa Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina (Hamas) la kufanyika uchaguzi na kuundwa serikali ya umoja wa kitaifa.
-
Hamas: Trump hawezi kuwatenganisha Wapalestina na Quds Tukufu
Jun 20, 2019 06:29Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina, Hamas, imesema mpango wa Rais Donald Trump wa Marekani wa muamala wa karne hauwezi kuwapokonya Wapalestina mji wa Quds (Jeruusalem) ambao unakaliwa kwa mabavu na utawala wa Kizayuni wa Israel.
-
Radiamali za Hamas, Amnesty na Uturuki kwa kifo cha aliyekuwa rais wa Misri
Jun 18, 2019 08:12Shirika la kutetea haki za binadamu la Amnesty International limetoa mwito wa kufanyika uchunguzi huru wa kifo cha kutatanisha cha aliyekuwa rais wa Misri, Mohammad Morsi.
-
'Muamala wa Karne' umetayarishwa na Marekani kwa maslahi ya Wazayuni
Jun 16, 2019 22:56Jamhuri ya Kiislamu ya Iran na Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina (Hamas) zimesema utawala wa Rais Donald Trump wa Marekani unalenga kuangamiza taifa la Palestina kupitia 'Muamala wa Karne' ulio kwa maslahi ya utawala wa Kizayuni katika eneo la Asia Magharibi.
-
Hamas yataka Wapalestina wawe wabunifu katika kupambana na Wazayuni
Jun 14, 2019 02:09Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina HAMAS imeitaka serikali na wananchi wa Palestina kuwa na ubunifu wa kitaifa katika kukabiliana na siasa za kibeberu za utawala wa Kizayuni wa Israel.
-
Hamas: Muamala wa karne kamwe hautofanikiwa
May 29, 2019 06:40Mjumbe wa Ofisi ya Kisiasa ya Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina HAMAS amesisitiza kuwa mpango wa Marekani wa "Muamala wa Karne" kamwe hautotekelezwa na utafeli tu chini ya kivuli cha mapambano ya taifa la Palestina.