Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

HAMAS

  • Russia na Hamas zafanya mazungumzo mjini Moscow

    Russia na Hamas zafanya mazungumzo mjini Moscow

    Jul 17, 2019 03:13

    Ujumbe wa Harakati ya Muqawama wa Kiislamu ya Palestina HAMAS umekutana mjini Moscow na Naibu Waziri wa Mambo ya Nje wa Russia, Mikhail Bogdanov ambapo pande mbili zimesisitizia umuhimu wa umoja wa Wapalestina kwa shabaha ya kuzima njama ya Marekani iliyopewa jina la Muamala wa Karne.

  • Hamas yaapa kudumaza mpango wa Trump wa

    Hamas yaapa kudumaza mpango wa Trump wa "Muamala wa Karne"

    Jul 06, 2019 21:54

    Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina (Hamas) imesema kuwa itaendeleza harakati za kupinga mpango eti wa amani uliozusha makelele mengi wa Rais Donald Trump wa Marekani baina ya utawala haramu wa Israel na Wapalestina uliopewa jina la "Muamala wa Karne"

  • HAMAS: Kujiuzulu maafisa wa kijeshi wa Israel ni ishara ya nguvu ya muqawama

    HAMAS: Kujiuzulu maafisa wa kijeshi wa Israel ni ishara ya nguvu ya muqawama

    Jul 06, 2019 03:45

    Msemaji wa Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina HAMAS amesema kuwa, kujiuzulu mkuu wa kitengo cha operesheni cha Shirika la Kiintelijensia la Israel ni jambo linalobainisha juu ya kuchanganyikiwa adui Mzayuni na kuweka wazi nguvu kubwa ya muqawama wa Palestina.

  • HAMAS: Vitisho vya Netanyahu vinatuzidishia azma na irada ya muqawama

    HAMAS: Vitisho vya Netanyahu vinatuzidishia azma na irada ya muqawama

    Jul 05, 2019 08:20

    Mjumbe mmoja wa Ofisi ya Kisiasa ya Harakati ya Muqawama wa Kiislamu Palestina (HAMAS) amesema kuwa, vitisho vya Benjamin Netanyahu, Waziri Mkuu wa utawala haramu wa Kizayuni vinauzidishia muqawama azma na irada ya kuendelea mbele na njia yake tukufu.

  • Harakati ya Fat-h yapendekeza kufanyika uchaguzi na kuundwa serikali ya Palestina

    Harakati ya Fat-h yapendekeza kufanyika uchaguzi na kuundwa serikali ya Palestina

    Jul 02, 2019 08:07

    Mshauri wa Rais wa Mamlaka ya Ndani ya Palestina amesema kuwa Harakati ya Fat-h imetoa pendekezo kwa Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina (Hamas) la kufanyika uchaguzi na kuundwa serikali ya umoja wa kitaifa.

  • Hamas: Trump hawezi kuwatenganisha Wapalestina na Quds Tukufu

    Hamas: Trump hawezi kuwatenganisha Wapalestina na Quds Tukufu

    Jun 20, 2019 06:29

    Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina, Hamas, imesema mpango wa Rais Donald Trump wa Marekani wa muamala wa karne hauwezi kuwapokonya Wapalestina mji wa Quds (Jeruusalem) ambao unakaliwa kwa mabavu na utawala wa Kizayuni wa Israel.

  • Radiamali za Hamas, Amnesty na Uturuki kwa kifo cha aliyekuwa rais wa Misri

    Radiamali za Hamas, Amnesty na Uturuki kwa kifo cha aliyekuwa rais wa Misri

    Jun 18, 2019 08:12

    Shirika la kutetea haki za binadamu la Amnesty International limetoa mwito wa kufanyika uchunguzi huru wa kifo cha kutatanisha cha aliyekuwa rais wa Misri, Mohammad Morsi.

  • 'Muamala wa Karne' umetayarishwa na Marekani kwa maslahi ya Wazayuni

    'Muamala wa Karne' umetayarishwa na Marekani kwa maslahi ya Wazayuni

    Jun 16, 2019 22:56

    Jamhuri ya Kiislamu ya Iran na Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina (Hamas) zimesema utawala wa Rais Donald Trump wa Marekani unalenga kuangamiza taifa la Palestina kupitia 'Muamala wa Karne' ulio kwa maslahi ya utawala wa Kizayuni katika eneo la Asia Magharibi.

  • Hamas yataka Wapalestina wawe wabunifu katika kupambana na Wazayuni

    Hamas yataka Wapalestina wawe wabunifu katika kupambana na Wazayuni

    Jun 14, 2019 02:09

    Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina HAMAS imeitaka serikali na wananchi wa Palestina kuwa na ubunifu wa kitaifa katika kukabiliana na siasa za kibeberu za utawala wa Kizayuni wa Israel.

  • Hamas: Muamala wa karne kamwe hautofanikiwa

    Hamas: Muamala wa karne kamwe hautofanikiwa

    May 29, 2019 06:40

    Mjumbe wa Ofisi ya Kisiasa ya Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina HAMAS amesisitiza kuwa mpango wa Marekani wa "Muamala wa Karne" kamwe hautotekelezwa na utafeli tu chini ya kivuli cha mapambano ya taifa la Palestina.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS