Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Hizbullah

  • Hizbullah: Saudia inagharamia jinai za Marekani na Israel Asia Magharibi

    Hizbullah: Saudia inagharamia jinai za Marekani na Israel Asia Magharibi

    Apr 29, 2019 02:28

    Naibu Katibu Mkuu wa Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Lebanon (Hizbullah) ameitaja Saudi Arabia kama mzizi wa ukosefu wa uthabiti katika eneo la Asia Magharibi, na kwamba utawala huo wa kifalme ndio unaofadhili na kugharamia jinai zinazofanywa na Marekani na utawala haramu wa Israel katika eneo.

  • Hizbullah: Marekani inabeba dhima ya chinja chinja ya Saudia

    Hizbullah: Marekani inabeba dhima ya chinja chinja ya Saudia

    Apr 26, 2019 00:17

    Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Lebanon Hizbullah imelaani vikali kitendo cha utawala wa Aal-Saud cha kutekeleza hukumu ya kuwanyonga makumi ya Waislamu wa Kishia nchini Saudi Arabia na kusisitiza kuwa, jinai hizo za kihaini zilifanyika kwa baraka kamili na ushirikiano wa Marekani.

  • Hizbullah: Hatutorudi nyuma katika kuwalinda raia wa Lebanon kutokana na hujuma za Israel

    Hizbullah: Hatutorudi nyuma katika kuwalinda raia wa Lebanon kutokana na hujuma za Israel

    Mar 25, 2019 03:29

    Naibu Mkuu wa Baraza la Utendaji la Harakati ya Kiislamu ya Hizbullah nchini Lebanon amesisitiza kwamba muqawama huo hautoachana na majukumu ya kuwalinda raia wa Lebanon kutokana na hujuma za utawala katili wa Israel.

  • Hizbulllah: Njia pekee ya kuisambaratisha mipango ya Marekani ni muqawanma

    Hizbulllah: Njia pekee ya kuisambaratisha mipango ya Marekani ni muqawanma

    Mar 16, 2019 11:32

    Sheikh Ali Damush, mjumbe wa ngazi za juu wa Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Hizbullah ya Lebanon amesema kuwa, njia pekee ya kusambaratisha mipango ya Marekani katika eneo la Mashariki ya Kati ni kuendeleza muqawama.

  • Marekani yakasirishwa na misimamo ya serikali ya Lebanon ya kuiunga mkono Hizbullah

    Marekani yakasirishwa na misimamo ya serikali ya Lebanon ya kuiunga mkono Hizbullah

    Mar 10, 2019 23:09

    Duru za kidiplomasia zimearifu kuwa Marekani imekasirishwa na hairidhishwi na misimamo ya viongozi wa serikali ya Lebanon ya kuiunga mkono harakati ya muqawama ya nchi hiyo Hizbullah.

  • Saudia yapongeza kuwekwa Hizbullah katika orodha ya makundi ya kigaidi

    Saudia yapongeza kuwekwa Hizbullah katika orodha ya makundi ya kigaidi

    Mar 05, 2019 11:07

    Saudi Arabia imeunga mkono na kupongeza hatua ya hivi karibuni ya Uingereza, ya kuiweka Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Hizbullah ya Lebanon katika jalada lake la makundi ya kigaidi.

  • Qassemi: Iran haiwaombi wengine ruhusa kuhusu masuala yake ya ndani na nje

    Qassemi: Iran haiwaombi wengine ruhusa kuhusu masuala yake ya ndani na nje

    Mar 04, 2019 10:48

    Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran amesema kuwa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran haikubali masharti na haiwaombi wengine ruhusa kuhusu masuala yake ya ndani ya nje.

  • Mogherini: EU haitatilia maanani uamuzi wa Uingereza dhidi ya Hizbullah

    Mogherini: EU haitatilia maanani uamuzi wa Uingereza dhidi ya Hizbullah

    Feb 26, 2019 23:21

    Mkuu wa Sera za Kigeni katika Umoja wa Ulaya Federica Mogherini amesema umoja huo hautatilia maanani hatua ya Uingereza kuiwekea vikwazo Harakati ya Hizbullah ya Lebanon.

  • Hizbullah Iraq: Kuondoka Marekani syria ni ishara ya kushindwa Washington

    Hizbullah Iraq: Kuondoka Marekani syria ni ishara ya kushindwa Washington

    Dec 22, 2018 21:39

    Harakati ya Hizbullah ya Iraq imetangaza kuwa, kuondoka kwa majeshi ya Marekani nchini Syria kuna maana ya kushindwa stratijia za jeshi la nchi hiyo.

  • Hizbullah: Israel itajuta iwapo itaivamia tena Lebanon

    Hizbullah: Israel itajuta iwapo itaivamia tena Lebanon

    Dec 02, 2018 00:11

    Harakati ya Hizbullah ya Lebanon imeonesha mkanda wa video ikiutahadharisha utawala haramu wa Israel kwamba, utajuta iwapo utaivamia ardhi ya Lebanon.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS