-
Baada ya Ndui ya Nyani, Marburg na Ebola katika nchi kadhaa za Afrika, homa ya Mgunda yathibitishwa Tanzania
Jul 18, 2022 06:37Wizara ya Afya ya Tanzania imetangaza uwepo wa mlipuko mpya wa ugonjwa wa Homa ya Mgunda unaosababisha wananchi kutoka damu puani na kuishiwa nguvu na hata kufariki dunia.
-
Liberia yatangaza hali ya hatari kutokana na wimbi la homa ya Lassa
Sep 03, 2019 08:58Vyombo vya mamlaka ya masuala ya afya nchini Liiberia vimetangaza hali ya hatari kutokana na mfumuko wa homa ya Lassa ambao hadi sasa umesababisha vifo vya watu wasiopungua 21 nchini humo katika mwaka huu wa 2019.
-
Homa ya Manjano yaua watu 9 nchini Nigeria
Dec 06, 2018 11:21Mripuko wa homa ya manjano nchini Nigeria umesababisha vifo vya watu tisa katika jimbo la Edo kusini mwa nchi hiyo ya Afrika Magharibi.
-
Save the Children: Homa ya manjano DRC kusambaa duniani kote
Aug 16, 2016 10:57Shirika la kimataifa la Save the Children limeonya kuwa, mripuko wa homa ya manjano katika Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo yumkini ukasambaa katika nchi mbali mbali duniani, iwapo Jamii ya Kimataifa itaendelea kupuuza suala la chanjo ya ugonjwa huo.
-
WHO: Maambukizi ya homa ya manjano DRC yaongezeka kwa 38%
Jul 16, 2016 02:16Shirika la Afya Duniani WHO lilisema kuwa kesi za maambukizi mapya ya ugonjwa hatari wa homa ya manjano katika Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo zimeongezeka kwa asilimia 38 katika kipindi cha wiki tatu zilizopita.
-
Dola milioni 1.4 zahitajika kukabili homa ya manjano Angola
Jul 07, 2016 23:48Shirika la Msalaba Mwekundu limesema linahitajia dola milioni 1.4 za Marekani ili kukabili maambukizi mapya ya homa ya manjano nchini Angola.
-
Congo yaazimia kupambana na homa ya manjano
Jun 28, 2016 09:40Waziri wa Afya wa Congo ametangaza azma ya nchi yake ya kupambana na kasi ya maambukizi ya homa ya manjano.
-
WHO: Watu zaidi ya 300 waaga dunia kwa homa ya manjano Angola
May 27, 2016 10:02Mripuko wa homa ya manjano nchini Angola umesababisha vifo vya watu zaidi ya 300 tangu mwezi Disemba mwaka jana, huku kesi za ugonjwa huo zikienea hadi Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo, Kenya na hata Uchina.
-
Wataalamu wa tiba watahadharisha juu ya mripuko wa ugonjwa hatari wa Homa ya Manjano
May 10, 2016 23:47Wataalamu wa tiba wametahadharisha kuwa dunia iko katika hali ya dharura kutokana na mripuko wa ugonjwa hatari wa Homa ya Manjano.
-
WHO: Chanjo ya homa ya manjano ni sharti kwa waendao Angola
Apr 26, 2016 23:03Shirika la Afya Duniani WHO limesema wasafiri wote wanaoenda nchini Angola wanahitaji kupata chanjo ya homa ya manjano ili kuthibitisha wamejikinga na kuzuia kuisambaza zaidi.