Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Idul Fitri

  • Iran inatazamia kusherehekea siku kuu ya Idul Fitr Jumatano ya Juni 5

    Iran inatazamia kusherehekea siku kuu ya Idul Fitr Jumatano ya Juni 5

    Jun 03, 2019 10:48

    Wananchi Waislamu wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran wanatazamiwa kusherehekea siku kuu ya Idul Fitr siku ya Jumatano, Juni 5.

  • Waislamu duniani wanaswali Swala ya Iddi Ijumaa ya leo

    Waislamu duniani wanaswali Swala ya Iddi Ijumaa ya leo

    Jun 15, 2018 04:51

    Waislamu katika nchi mbalimbali duniani leo wanaswali Swala ya Iddil-Fitri baada ya kutangazwa kuonekana kwa mwezi mwandamo na kukamilika mwezi wa Ramadhan.

  • Ijumaa tarehe 15 Juni 2018

    Ijumaa tarehe 15 Juni 2018

    Jun 15, 2018 04:18

    Leo ni Ijumaa tarehe Mosi Shawwal 1439 Hijria sawa na Juni 15, mwaka 2018.

  • Rais Rouhani awatumia Waislamu mkono wa Idi

    Rais Rouhani awatumia Waislamu mkono wa Idi

    Jun 14, 2018 15:55

    Rais wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amewatumia mkono wa Idi viongozi wa nchi za Kiislamu na Waislamu wote kwa mnasaba wa kukaribia kuingia katika sikukuu ya Idul Fitr.

  • Jumatatu 26 Juni, 2017

    Jumatatu 26 Juni, 2017

    Jun 26, 2017 15:13

    Jumatatu tarehe Mosi Shawwal 1438 Hijria sawa na Juni 26, 2017

  • Waislamu duniani waungana kuswali na kusherehekea Iddil-Fitri

    Waislamu duniani waungana kuswali na kusherehekea Iddil-Fitri

    Jun 26, 2017 04:20

    Leo Waislamu wa maeneo tofauti duniani wanaungana katika swala ya Iddil-Fitri, baada ya kukamilisha mfungo wa mwezi mtukufu wa Ramadhani kwa siku 30. Hapa Iran swala ya Iddil-Fitri imeswalishwa kitaifa na Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu ya Iran, Ayatullah Sayyid Ali Khamenei, hapa mjini Tehran muda mfupi uliopita.

  • Wapalestina 90 elfu washiriki Sala ya Idul Fitr katika Msikiti wa Al Aqsa

    Wapalestina 90 elfu washiriki Sala ya Idul Fitr katika Msikiti wa Al Aqsa

    Jun 25, 2017 14:44

    Maelfu ya Wapalestina wameshiriki katika Sala ya Idul Fitr katika Msikiti wa Al Aqsa katika mji wa Quds unaokaliwa kwa mabavu na utawala haramu wa Israel.

  • Ujumbe wa Idul Fitr wa Rais Rouhani wa Iran kwa marais wa nchi za Kiislamu

    Ujumbe wa Idul Fitr wa Rais Rouhani wa Iran kwa marais wa nchi za Kiislamu

    Jun 25, 2017 14:29

    Rais Hassan Rouhani wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amewatumia viongozi wa nchi za Kiislamu salamu za pongezi, kheri na fanaka kwa munasaba wa siku kuu ya Idul Fitr.

  • Ayatullah Khamenei: Marekani, chanzo cha ugaidi, vita katika ulimwengu wa Kiislamu

    Ayatullah Khamenei: Marekani, chanzo cha ugaidi, vita katika ulimwengu wa Kiislamu

    Jul 06, 2016 14:00

    Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu amesema chanzo kikuu cha vita, ukosefu wa usalama katika eneo la Magharibi mwa Asia na Ulimwengu wa Kiislamu ni madola makubwa ya kiistikbari yakiongozwa na Marekani.

  • Jumatano tarehe 06 Julai, 2016

    Jumatano tarehe 06 Julai, 2016

    Jul 06, 2016 06:07

    Leo ni Jumatano tarehe Mosi Shawwal 1437 Hijria sawa na Julai 6 2016 inayosadifiana na sikukuu ya Idi al-Fitr.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2025 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS