-
Imam Hussein, Nguzo ya Umoja na Mshikamano wa Kiislamu
Oct 31, 2017 10:40Zimebakia siku chache tu hadi siku ya Arubaini ya Imam Hussein (as) na barabara zote za kuelekea katika mji wa Karbala nchini Iraq zimefurika watu kama mto wa maji unaoelekea katika mji mtakatifu wa Karbala.
-
Kulia Katika Maombolezo ya Imam Hussein (AS): Unyenyekevu wa Moyo na Mapenzi ya Nafsi
Oct 02, 2017 02:30Assalamu alaykum wapenzi wasikilizaji, warahmatullahi wabarakatuh. Kwa kuwadia mwezi wa Muharram, kwa mara nyengine nyoyo za waliokomboka kifikra duniani zinajielekeza kwa Imam Hussein (as) huku macho yao yakibubujikwa na machozi kwa kulikumbuka tukio la Karbala. Ni miaka 1372 imepita tangu lilipojiri tukio hilo, lakini unapowadia mwezi wa Muharram kila mwaka, Waislamu huendelea kujumuika pamoja na kushiriki kwenye majlisi za kumuomboleza Hussein Ibn Ali (as) na wafuasi wake.
-
Leo ni siku ya Ashura, Idhaa ya Kiswahili Radio Tehran inatoa mkono wa pole kwa wapenzi wote wa Mtume Muhammad SAW
Oct 01, 2017 04:01Jumapili ya leo inasadifiana na mwezi 10 Muharram 1439 Hijria, siku ya kukumbuka wakati damu ilipoushinda upanga kwa ushujaa wa Imam Husain AS na wafuasi wake wachache katika jangwa la Karbla la Iraq ya leo.
-
Waislamu wa madhehebu ya Shia leo wanaadhimisha siku ya Tasu'a
Sep 30, 2017 16:43Waislamu wa madhehebu ya Shia na wapenzi wa watu wa familia ya Mtume Muhammad (saw) kote duniani leo wanaadhimisha siku ya Tusu'a kabla ya siku ya Ashura aliyouawa shahidi ndani yake mjukuu wa Mtume Muhammad (saw), Imam Hussein bin Ali bin Abi Twalib (as).
-
Ijumaa tarehe 29 Septemba, 2017
Sep 29, 2017 02:40Leo ni Ijumaa tarehe 8 Muharram 1439 Hijria, sawa na tarehe 29 Septemba, 2017.
-
Al-Kaaba na Imam Hussein (as)
Sep 24, 2017 12:29Kaaba ni jina kongwe, tukufu na linalovutia zaidi la nyumba ya ibada ya Mwenyezi Mungu ambayo inapatikana katika mji mtakatifu wa Makka na katika ardhi ya Hijaz.
-
Jumamosi, Septemba 23, 2017
Sep 23, 2017 02:33Leo ni Jumamosi tarehe Pili Mfunguo Nne Muharram 1439 Hijria mwafaka na tarehe 23 Septemba 2017 Miladia.
-
Qur'ani Tukufu na Imam Hussein AS
Sep 21, 2017 08:10Assalam Aleikum wapenzi wasikilizaji na karibuni kujiunga nami katika makala hii maalumu niliyokuandalieni kwa munasaba wa siku hizi 10 za kwanza za Mwezi wa Muharram ambapo Waislamu na wapenda haki kote duniani wanaomboleza kuuawa shahidi mjukuu wa Mtume Muhammad SAW, Imam Hussein AS. Katika makala yetu ya leo tutaangazia mada ya Qur'ani Tukufu na Imam Hussein AS.
-
Muharram, Mwezi wa Kujisabilia na Kuuliwa Shahidi
Sep 20, 2017 07:48Tunaingia katika siku ya kwanza ya mwezi wa Muharram mwaka 1439 Hijria Qamariya.
-
Jumatano 30 Agosti, 2017
Aug 30, 2017 03:10Leo ni Jumatano tarehe 8 Mfunguo Pili Dhilhija mwaka 1438 Hijria, mwafaka na tarehe 30 Agosti 2017.