-
Jumapili 30
Apr 30, 2017 02:27Leo ni Jumapili tarehe tatu Shaban 1438 Hijria, sawa na tarehe 30 Aprili, 2017
-
Imam Hussein AS, kigezo bora kwa wapigania ukombozi
Apr 29, 2017 12:53Tarehe tatu Shaaban ni kumbukumbu ya kuzaliwa shakhsia mkubwa ambaye aliyapa maana kamili maneno ya umaridadi na mapenzi. Ana moyo maridadi, karama, maarifa ya kina na hatimaye yeye ni kielelezo cha maisha ya mwanaadamu aliyekamilika. Leo ni siku ambayo mji wa Madina ulishuhudia kuzaliwa, Hussein, mtoto mwingine katika nyumba ya Bibi Fatimatuz Zahra SA binti mpenzi wa Bwana Mtume Muhammad SAW.
-
Jumatano tarehe 26 Aprili, 2017
Apr 26, 2017 12:47Leo ni Jumatano tarehe 28 Rajab 1438 Hijria sawa na 26 Aprili 2017.
-
Wairani waungana na dunia katika kumbukumbu ya Arubaini ya Imam Hussein AS
Nov 20, 2016 08:17Wananchi wa matabaka yote wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran wameungana na dunia katika kumbukumbu ya Arubaini ya Imam Hussein AS, mjukuu wa Mtume Muhammad SAW, aliyeuawa shahidi katika jangwa la Karbala nchini Iraq, mwaka wa 61 Hijria.
-
Jumapili, 20 Novemba, 2016
Nov 20, 2016 05:59Leo ni Jumapili tarehe 20 Swafar 1438 Hijria, sawa na tarehe 20 Novemba mwaka 2016 Miladia.
-
Arubaini, Safari ya Nyoyo za Maashiki (1)
Nov 15, 2016 12:16Kwa kawaida safari ya kutembea kwa miguu kutoka mji wa Najaf al Ashraf kuelea Karbala inayofanywa kila mwaka na maashiki na wapenzi wa mjukuu wa Mtume (saw), Imam Hussein (as) huambatana na vuguvugu na msisimko wa aina yake. Mwanzoni mwa safari hiyo mazuwari huanza safari hiyo ya mahaba na upendo katika mji wa Najaf wakiwa na shanta dogo, viatu vyepesi na masurufu kiduchu ya kutumia njiani.
-
Arubaini, Mjumbe wa Umoja wa Kiislamu Duniani (4)
Nov 15, 2016 07:13Assalaamu Alaykum wasikilizaji wapenzi. Karibuni katika makala hii maalumu tuliyokuandalieni kwa mnasaba wa kumbukumbu ya Arubaini ya Imam Husain AS. Ni mfululizo wa makala maalumu ambazo zinakujieni katika kipindi cha siku hizi kadhaa za kuelekea kwenye kilele cha kumbukumbu hizo zinazofanyika Karbala nchini Iraq ambapo kwa mwaka huu itakuwa ni Jumatatu ya tarehe 21 Novemba kulingana na mwandamo wa mwezi nchini Iraq. Karibuni.
-
Arubaini, Kuenea Utamaduni wa Ashura (2)
Nov 14, 2016 07:46Assalaamu alaykum wapenzi wasikilizaji na karibuni kujiunga nasi tena katika sehemu nyingine ya mfululizo wa makala hizi zinazokujieni kwa mnasaba wa kumbukumbu ya Arubaini ya Imam Hussein bin Ali bin Abi Twalib as.
-
Alkhamisi, Oktoba 13, 2016
Oct 13, 2016 02:38Leo ni Alkhamisi tarehe 11 Muharram 1438 Hijria sawa na Oktoba 13 2016.
-
Waislamu duniani wakumbuka kuuawa Shahidi Imam Hussein AS
Oct 12, 2016 03:10Leo Jumatano inasadifiana na tarehe 10 Mfunguo Nne Muharram, siku ya Ashura ya mapambano ya Imam Husain AS huko Karbala. Maombolezo ya kukumbuka siku hiyo ya majonzi yanawashirikisha Waislamu na hata wasiokuwa Waislamu kote duniani.