-
Rouhani asisitizia udharura wa kufuatwa njia na malengo ya Imam Khomeini
Jun 04, 2017 03:32Rais Hassan Rouhani wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran ametoa mwito kwa watu wa matabaka yote kujifunza kuhusu malengo, azma na maono ya Imam Ruhullah Khomeini MA, muasisi wa Mapinduzi ya Kiislamu.
-
Hauli ya Imam Khomeini (MA) kufanyika kesho; Kiongozi Muadhamu atahutubia waombolezaji
Jun 03, 2017 10:41Hauli ya mwaka wa 28 tangu alipoaga dunia mwasisi wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran, Imam Khomeini (MA) itafanyika kesho kwenye haram ya kiongozi huyo ambapo Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu, Ayatullah Sayyid Ali Khamenei anatazamiwa kuhutubia umma wa wananchi watakaohudhuria hauli hiyo.
-
Wananchi wa Iran na wapigania haki duniani, leo wanaomboleza kifo cha Imam Khomeini
Jun 03, 2017 23:05Wairani na wapigania uhuru na haki kote duniani, leo wanaomboleza kifo cha Imam Ruhullah Khomeini MA muasisi na muanzilishaji wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran.
-
Ijumaa tarehe 5 Mei, 2017
May 05, 2017 01:36Leo Ijumaa tarehe 8 Shaaban 1438 Hijria sawa na 5 Mei, 2017.
-
Jumapili 19 Machi
Mar 19, 2017 03:34Leo ni Jumapili tarehe 20 Jamadu th-Thani 1438 Hijria mwafaka na tarehe 19 Machi 2017 Miladia.
-
Ayatullah Javadi Amoli: Marekani itasambaratika kama ulivyosambaratika Umoja wa Kisovieti
Feb 27, 2017 04:13Ayatullah Abdullah Javadi Amoli, mwanazuoni mkubwa na Marjaa Taqlidi wa mjini Qum Iran amesema kuwa, Marekani itasambaratika kama ulivyosambaratika Umoja wa Kisovieti.
-
Mapinduzi ya Kiislamu ya Iran katika Mtazamo wa Wanafikra wa Kimagharibi-3
Feb 15, 2017 02:42Moja kati ya matukio makubwa ya dunia ya sasa hususan katika karne moja iliyopita ni Mapinduzi ya Kiislamu ya wananchi wa Iran.
-
Jumanne, tarehe 31 Januari, 2017
Jan 31, 2017 01:10Leo ni Jumanne tarehe Pili Jamadil Awwal 1438 Hijria inayosadifiana na 31 Januari, 2017.
-
Rouhani: Iran sio nchi yenye hofu na chuki kwa wageni
Jan 30, 2017 04:52Rais Hassan Rouhani wa Iran amesema Jamhuri ya Kiislamu itatumia muamala na uhusiano wake mzuri na nchi zingine kwa maslahi na manufaa ya taifa hili.
-
Maadhimisho ya Ushindi wa Mapinduzi ya Kiislamu (Sehemu ya Kwanza)
Jan 29, 2017 03:37Assalaamu Alaykum wasikilizaji wapenzi. Karibuni katika mfululizo huu wa vipindi kadhaa tulivyokuandalieni kwa mnasaba wa maadhimisho ya ushindi wa Mapinduzi ya Kiislamu ya nchini Iran. Ni matumaini yetu mtakuwa nasi hadi mwisho wa mfululizo huu ambao tutakuwa nao kila siku hadi yatakapofikia kileleni maadhimisho hayo yaani siku ya Ijumaa ya tarehe 10 Februari.