• Ijumaa, 27 Januari, 2017

    Ijumaa, 27 Januari, 2017

    Jan 26, 2017 23:18

    Leo ni Ijumaa tarehe 28 Rabiuthani 1438 Hijria sawa na tarehe 27 mwezi Januari mwaka 2017.

  • Ijumaa, 6 Januari, 2017

    Ijumaa, 6 Januari, 2017

    Jan 06, 2017 04:20

    Leo ni Ijumaa tarehe 7 Rabiuthani 1438 Hijria sawa 6 Januari 2017.

  • Mapinduzi ya Kiislamu ya Iran na Fikra ya Umoja wa Kiislamu

    Mapinduzi ya Kiislamu ya Iran na Fikra ya Umoja wa Kiislamu

    Dec 12, 2016 07:13

    Assalamu Alaykum Wapenzi wasikilizaji na karibuni kuwa nami tena katika sehemu nyingine ya makala hizo zinazokujieni kwa mnasaba wa maadhimisho ya Wiki ya Umoja na Maulidi ya Mtume Muhammad (saw). Kipindi chetu leo kitazungumzia Mapinduzi ya Kiislamu ya Iran na fikra ya umoja baina ya Waislamu.

  • Jumatatu, 28 Novemba, 2016

    Jumatatu, 28 Novemba, 2016

    Nov 28, 2016 09:40

    Leo ni Jumatatu tarehe 28 Safar 1438 Hijria sawa na Novemba 28, 2016.

  • Siku ya Kitaifa ya Kupambana na Ubeberu wa Kimataifa

    Siku ya Kitaifa ya Kupambana na Ubeberu wa Kimataifa

    Nov 09, 2016 07:57

    Tarehe 13 mwezi Aaban mwaka wa Hijria Shamsia ambayo mwaka huu inasadifiana na tarehe 3 Novemba, inatambuliwa hapa nchini Iran kama Siku ya Kitaifa ya Kupambana na Ubeberu wa Kimataifa.

  • Jumatatu, Oktoba 13, 2016

    Jumatatu, Oktoba 13, 2016

    Oct 03, 2016 04:50

    Leo ni Jumatatu tarehe Mosi Muharram 1438 Hijria sawa na Oktoba 3, 2016.

  • Ijumaa 23 Septemba, 2016

    Ijumaa 23 Septemba, 2016

    Sep 23, 2016 02:52

    Leo ni Ijumaa tarehe 21 Dhulhija 1437 Hijria sawa na Septemba 23, 2016.

  • Watalii wa kigeni waongezeka sana nchini Iran

    Watalii wa kigeni waongezeka sana nchini Iran

    Jul 14, 2016 23:42

    Zaidi ya watalii 50 elfu wa kigeni wametembelea mkoa wa Isfahan wa katikati mwa Iran katika kipindi cha miezi minne iliyopita.

  • Sauti ya ukombozi wa Quds kusikika leo katika Siku ya Kimataifa ya Quds

    Sauti ya ukombozi wa Quds kusikika leo katika Siku ya Kimataifa ya Quds

    Jun 30, 2016 22:14

    Taifa la Iran na mataifa mengine ya Waislamu leo Ijumaa sambamba na maadhimisho ya Siku ya Kimataifa ya Quds, yatapaza tena sauti ya kupigania ukombozi wa Quds tukufu na kutangaza hasira zao dhidi ya utawala ghasibu wa Israel kwa kushiriki kwa wingi katika maandamano ya siku hii.

  • Dafina za Imam Khomeini kwa mtazamo wa Kiongozi Muadhamu

    Dafina za Imam Khomeini kwa mtazamo wa Kiongozi Muadhamu

    Jun 04, 2016 00:04

    Leo Ijumaa, taifa zima la Iran na wapenzi na wafuasi wa njia na fikra za Imam Khomeini MA wameshiriki kwa namna moja au nyinginekatika kumbukumbu za mwaka wa 27 wa kuomboleza siku alipofariki duniani mwanachuoni na shakhsia huyo mkubwa.