-
Pande tatu za Marekani, Israel na Imarati sababu ya kushadidi machafuko Iraq
Nov 04, 2019 08:31Katibu Mkuu wa Harakati ya Asa'ib Ahlul Haq ya nchini Iraq amesema kuwa pande tatu za Marekani, Imarati na utawala wa Kizayuni zimeazimia kushadidisha machafuko na mapigano huko Iraq.
-
Al Sarraj ataka kukomeshwa uingiliaji wa nchi ajinabi huko Libya
Sep 26, 2019 23:08Waziri Mkuu na Mkuu wa baraza la uongozi la serikali ya umoja wa kitaifa ya Libya ametaka kusitishwa uingiliaji wa Imarati, Misri na Ufaransa katika masuala ya ndani ya nchi yake.
-
Safari ya Pompeo nchini Saudia na Imarati; njama za Marekani za kuzusha mizozo Mashariki ya Kati
Sep 19, 2019 02:46Mashambulio ya ndege zisizo na rubani dhidi ya taasisi za mafuta za Saudi Arabia ambayo yamepelekea kupungua kwa asilimia 50 uzalishaji mafuta wa nchi hiyo ya Kiarabu, yameiibua Marekani na kuifanya itoe radiamali kuhusiana na jambo hilo.
-
Somaliland yasimamisha ujenzi wa kituo cha kijeshi cha Imarati
Sep 15, 2019 03:13Serikali ya eneo lenye utawala wa ndani la Somaliland nchini Somalia limesimamisha ujenzi wa Umoja wa Falme za Kiarabu wa kituo chake cha kijeshi katika bandari ya Berbera.
-
Wanamgambo wa Saudia na Imarati wazidi kutwangana nchini Yemen
Sep 07, 2019 08:28Baada ya wanamgambo wanaofadhiliwa na Umoja wa Falme za Kiarabu (Imarati) kuimarisha nguvu zao na kuudhibiti mkoa wa Aden hasa baada ya ndege za kivita za Imarati kuwashambulia wanamgambo wanaoungwa mkono na Saudi Arabia, ugomvi baina ya wavamizi wa Yemen umezidi kuonekana.
-
Wakati Waislamu Kashmir wanakandamizwa, UAE yamtunukia Waziri Mkuu wa India nishani ya juu kabisa ya uraia wa heshima
Aug 25, 2019 07:59Hatua ya serikali ya Imarati (UAE) ya kumtunukia Waziri Mkuu wa India Narendra Modi nishani ya juu kabisa ya uraia wa heshima imeamsha moto mkubwa wa malalamiko na ukosoaji wa wanaharakati wa kutetea haki kutokana na ukandamizaji unaoendelea kufanywa na serikali yake dhidi ya Waislamu wa eneo la Kashmir.
-
Wayemeni watolewa mwito wa kuendelea kukabiliana na "Ukoloni wa Saudia na Imarati"
Aug 25, 2019 07:57Kiongozi wa serikali ya uokovu wa kitaifa ya Yemen Abdulaziz bin Habtoor ametoa mwito wa kukabiliana na kile alichokiita Ukoloni wa Saudi Arabia na Imarati.
-
Los Angeles Time: Saudia haina uwezo wa kushinda vita nchini Yemen
Aug 12, 2019 22:03Gazeti la Los Angeles Time limekosoa uvamizi wa kijeshi uliofanywa na Saudi Arabia nchini Yemen na kueleza kwamba haitawezekana kwa utawala wa Aal Saud kushinda vita hivyo.
-
Vibaraka wa Imarati na Saudia waendelea kutwangana risasi katika mji wa Aden, Yemen
Aug 09, 2019 20:48Mapigano yamezuka tena katika mji wa Aden kati ya vikosi vya baraza la mpito la kusini lenye mfungamano na Imarati na vile vilivyo tiifu kwa Abdrabbuh Mansur Hadi, rais wa Yemen aliyejiuzulu, ambavyo vinaungwa mkono na Saudi Arabia.
-
Ripoti: Imarati imeondoa askari wake Yemen kwa sababu Saudia haitashinda vita
Aug 03, 2019 22:35Ripoti iliyofichuliwa hivi karibuni imebaini kuwa Imarati ambayo ni mshirika muhimu katika muungano wa vita vya Saudi Arabia nchini Yemen imeamua kuondoa majeshi yake nchini humo kwa sababu ni muhali kuweza kushinda vita hivyo.