Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Imarati

  • Marekani kupanua operesheni zake za kijeshi Yemen kufuatia ombi la Imarati

    Marekani kupanua operesheni zake za kijeshi Yemen kufuatia ombi la Imarati

    Jun 04, 2018 09:48

    Marekani inatathmini ombi la Umoja wa Falme za Kiarabu (Imarati) la kuipa msaada wa moja kwa moja kwa ajili ya kufanikisha mashambulizi ya kuiteka bandari ya Hudaydah, ambayo kwa sasa inadhibitiwa na vikosi vya Ansarullah vya Yemen.

  • Jeshi la Yemen: Abu Dhabi ipo ndani ya shabaha ya makombora yetu

    Jeshi la Yemen: Abu Dhabi ipo ndani ya shabaha ya makombora yetu

    Jun 02, 2018 03:22

    Msemaji wa Jeshi la Yemen ameionya vikali Imarati kuwa mji mkuu wake Abu Dhabi kuanzia sasa hautakuwa salama na upo katika shabaha ya makombora ya nchi hiyo ya Kiarabu, ikiwa ni katika ulipizaji hujuma za muungano wa kijeshi unaoongozwa na Saudi Arabia dhidi ya nchi hiyo maskini.

  • Answarullah: Lengo kuu la Saudia na Imarati ni kuikalia kwa mabavu Yemen

    Answarullah: Lengo kuu la Saudia na Imarati ni kuikalia kwa mabavu Yemen

    May 28, 2018 00:14

    Katibu Mkuu wa Harakati ya Kiislamu ya Answarullah nchini Yemen, Abdul-Malik Badreddin al-Houthi amesema kuwa lengo la Saudia na Imarati katika kuivamia kijeshi Yemen ni kuikalia kwa mabavu nchi hiyo na kwamba nchi hizo kamwe hazina nia yoyote ya kufikia amani.

  • Mgogoro wa Qatar na nchi za Kiarabu wazidi kutokota, Doha yapiga marufuku bidhaa za Saudia, Imarati, Bahrain na Misri

    Mgogoro wa Qatar na nchi za Kiarabu wazidi kutokota, Doha yapiga marufuku bidhaa za Saudia, Imarati, Bahrain na Misri

    May 27, 2018 00:13

    Katika hali inayoonekana ni kuzidi kuwa mkubwa mgogoro wa Qatar na nchi nne za Kiarabu zilizoizingira kila upande nchini hiyo, wizara ya uchumi na biashara ya Qatar jana ilipiga marufuku kuhifadhi, kunua na kuuza bidhaa yoyote iliyotengenezwa Saudi Arabia, Umoja wa Falme za Kiarabu yaani Imarati, Bahrain na Misri.

  • Marekani kuziuzia Saudia na Imarati 'mabomu-erevu' 120,000

    Marekani kuziuzia Saudia na Imarati 'mabomu-erevu' 120,000

    May 23, 2018 02:56

    Rais Donald Trump ameliomba Bunge la Kongresi la Marekani litathmini mpango wa kuziuzia Saudi Arabia na Umoja wa Falme za Kiarabu makumi ya maelfu ya mabomu-erevu ya kuelekezwa, licha ya makelele ya jamii ya kimataifa ya kupinga utumiaji silaha hizo dhidi ya wananchi wa Yemen.

  • Waarabu wazidi kujipendekeza kwa Israel; Waziri wa utawala huo kuelekea Imarati Oktoba

    Waarabu wazidi kujipendekeza kwa Israel; Waziri wa utawala huo kuelekea Imarati Oktoba

    May 17, 2018 23:29

    Waziri wa Mawasiliano wa Utawala Katili wa Israel amesema kuwa mwaka huu na kwa mara ya kwanza atashiriki mkutano nchini Imarati, katika safari ya kwanza rasmi kwa kiongozi wa ngazi ya juu wa Kizayuni katika nchi hiyo ya Kiarabu.

  • Qatar kuendelea kuisaidia Somalia huku mgogoro na Imarati ukitokota

    Qatar kuendelea kuisaidia Somalia huku mgogoro na Imarati ukitokota

    May 15, 2018 09:14

    Qatar imeahidi kuendelea kuunga mkono jitihada za serikali ya Somalia za kurejesha uthabiti na uhuru wa kujitawala huku mgogoro kati ya nchi hiyo ya Pembe ya Afrika na Umoja wa Falme za Kiarabu ukiendelea kutokota.

  • Kenya yazionya nchi za Kiarabu ziache kushadidisha mgogoro wa Somalia

    Kenya yazionya nchi za Kiarabu ziache kushadidisha mgogoro wa Somalia

    May 08, 2018 03:27

    Serikali ya Kenya imezionya nchi za Kiarabu za Ghuba ya Uajemi, hasa Umoja wa Falme za Kiarabu (UAE) kuacha kuchochea mgogoro wa Somalia na kuidhoofisha serikali ya nchi hiyo.

  • Kushtadi hitilafu baina ya Imarati na Saudi Arabia huko Yemen; Imarati yakivamia kisiwa cha Socotra

    Kushtadi hitilafu baina ya Imarati na Saudi Arabia huko Yemen; Imarati yakivamia kisiwa cha Socotra

    May 04, 2018 23:34

    Umoja wa Falme za Kiarabu (Imarati) umekivamia na kukikalia kwa mabavu kisiwa cha Socotra huko Yemen na kuvifukuza vikosi vyenye mfungamano na Rais mtoro wa nchi hiyo kisiwani humo.

  • Imarati na Bahrain kushiriki sherehe za miaka 70 ya kuundwa utawala pandikizi wa Israel

    Imarati na Bahrain kushiriki sherehe za miaka 70 ya kuundwa utawala pandikizi wa Israel

    May 03, 2018 23:38

    Bahrain na Umoja wa Falme za Kiarabu (Imarati) zimetangaza kuwa zitashiriki katika mashindano ya pikipiki yaliyoitishwa na utawala wa Kizayuni wa Israel yanayoanza leo Ijumaa.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS