-
Marekani kupanua operesheni zake za kijeshi Yemen kufuatia ombi la Imarati
Jun 04, 2018 09:48Marekani inatathmini ombi la Umoja wa Falme za Kiarabu (Imarati) la kuipa msaada wa moja kwa moja kwa ajili ya kufanikisha mashambulizi ya kuiteka bandari ya Hudaydah, ambayo kwa sasa inadhibitiwa na vikosi vya Ansarullah vya Yemen.
-
Jeshi la Yemen: Abu Dhabi ipo ndani ya shabaha ya makombora yetu
Jun 02, 2018 03:22Msemaji wa Jeshi la Yemen ameionya vikali Imarati kuwa mji mkuu wake Abu Dhabi kuanzia sasa hautakuwa salama na upo katika shabaha ya makombora ya nchi hiyo ya Kiarabu, ikiwa ni katika ulipizaji hujuma za muungano wa kijeshi unaoongozwa na Saudi Arabia dhidi ya nchi hiyo maskini.
-
Answarullah: Lengo kuu la Saudia na Imarati ni kuikalia kwa mabavu Yemen
May 28, 2018 00:14Katibu Mkuu wa Harakati ya Kiislamu ya Answarullah nchini Yemen, Abdul-Malik Badreddin al-Houthi amesema kuwa lengo la Saudia na Imarati katika kuivamia kijeshi Yemen ni kuikalia kwa mabavu nchi hiyo na kwamba nchi hizo kamwe hazina nia yoyote ya kufikia amani.
-
Mgogoro wa Qatar na nchi za Kiarabu wazidi kutokota, Doha yapiga marufuku bidhaa za Saudia, Imarati, Bahrain na Misri
May 27, 2018 00:13Katika hali inayoonekana ni kuzidi kuwa mkubwa mgogoro wa Qatar na nchi nne za Kiarabu zilizoizingira kila upande nchini hiyo, wizara ya uchumi na biashara ya Qatar jana ilipiga marufuku kuhifadhi, kunua na kuuza bidhaa yoyote iliyotengenezwa Saudi Arabia, Umoja wa Falme za Kiarabu yaani Imarati, Bahrain na Misri.
-
Marekani kuziuzia Saudia na Imarati 'mabomu-erevu' 120,000
May 23, 2018 02:56Rais Donald Trump ameliomba Bunge la Kongresi la Marekani litathmini mpango wa kuziuzia Saudi Arabia na Umoja wa Falme za Kiarabu makumi ya maelfu ya mabomu-erevu ya kuelekezwa, licha ya makelele ya jamii ya kimataifa ya kupinga utumiaji silaha hizo dhidi ya wananchi wa Yemen.
-
Waarabu wazidi kujipendekeza kwa Israel; Waziri wa utawala huo kuelekea Imarati Oktoba
May 17, 2018 23:29Waziri wa Mawasiliano wa Utawala Katili wa Israel amesema kuwa mwaka huu na kwa mara ya kwanza atashiriki mkutano nchini Imarati, katika safari ya kwanza rasmi kwa kiongozi wa ngazi ya juu wa Kizayuni katika nchi hiyo ya Kiarabu.
-
Qatar kuendelea kuisaidia Somalia huku mgogoro na Imarati ukitokota
May 15, 2018 09:14Qatar imeahidi kuendelea kuunga mkono jitihada za serikali ya Somalia za kurejesha uthabiti na uhuru wa kujitawala huku mgogoro kati ya nchi hiyo ya Pembe ya Afrika na Umoja wa Falme za Kiarabu ukiendelea kutokota.
-
Kenya yazionya nchi za Kiarabu ziache kushadidisha mgogoro wa Somalia
May 08, 2018 03:27Serikali ya Kenya imezionya nchi za Kiarabu za Ghuba ya Uajemi, hasa Umoja wa Falme za Kiarabu (UAE) kuacha kuchochea mgogoro wa Somalia na kuidhoofisha serikali ya nchi hiyo.
-
Kushtadi hitilafu baina ya Imarati na Saudi Arabia huko Yemen; Imarati yakivamia kisiwa cha Socotra
May 04, 2018 23:34Umoja wa Falme za Kiarabu (Imarati) umekivamia na kukikalia kwa mabavu kisiwa cha Socotra huko Yemen na kuvifukuza vikosi vyenye mfungamano na Rais mtoro wa nchi hiyo kisiwani humo.
-
Imarati na Bahrain kushiriki sherehe za miaka 70 ya kuundwa utawala pandikizi wa Israel
May 03, 2018 23:38Bahrain na Umoja wa Falme za Kiarabu (Imarati) zimetangaza kuwa zitashiriki katika mashindano ya pikipiki yaliyoitishwa na utawala wa Kizayuni wa Israel yanayoanza leo Ijumaa.