Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Iran

  • Pezeshkian: Iran itaendelea kuunga mkono Muqawama wa Palestina

    Pezeshkian: Iran itaendelea kuunga mkono Muqawama wa Palestina

    Sep 03, 2024 23:34

    Rais wa Iran, Masoud Pezeshkian amesema kuwa, serikali yake iko tayari kutoa uungaji mkono usiotetereka kwa ajili ya mapambano ya mataifa yote yanayodhulumiwa duniani kote, hususan Muqawama wa Palestina dhidi ya utawala ghasibu wa Israel.

  • Richard Nephew, mbunifu wa vikwazo dhidi ya Iran akiri kutokuwa na athari wenzo wa vikwazo

    Richard Nephew, mbunifu wa vikwazo dhidi ya Iran akiri kutokuwa na athari wenzo wa vikwazo

    Sep 03, 2024 08:19

    Richard Nephew, mbunifu wa vikwazo dhidi ya Iran katika Wizara ya Mambo ya Nje na ya Fedha ya Marekani amekiri kutokuwa na taathira na kushindwa kwa mifumo ya vikwazo dhidi ya nchi nyingine.

  • Iran yahimiza kuchukuliwa hatua za ‘haraka na madhubuti’ za kukomesha jinai za Israel Ghaza

    Iran yahimiza kuchukuliwa hatua za ‘haraka na madhubuti’ za kukomesha jinai za Israel Ghaza

    Sep 03, 2024 03:16

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran, Abbas Araghchi anasema kuwa, jamii ya kimataifa lazima ichukue hatua za "haraka na madhubuti" za kukomesha jinai na mauaji ya kimbari yanayofanywa na utawala wa Kizayuni huko Ghaza.

  • Iran: Dunia haitasahau nafasi ya UK katika kuundwa utawala wa Kizayuni

    Iran: Dunia haitasahau nafasi ya UK katika kuundwa utawala wa Kizayuni

    Sep 02, 2024 23:38

    Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran amesema kuwa, mataifa ya kieneo na dunia kwa ujumla hayatasahau mchango na nafasi ya Uingereza katika kuundwa utawala wa kibaguzi wa Israel katika kitovu cha ulimwengu wa Kiislamu.

  • Pezeshkian afafanua mipango ya serikali yake katika mazungumzo na wananchi

    Pezeshkian afafanua mipango ya serikali yake katika mazungumzo na wananchi

    Sep 02, 2024 09:02

    Katika mazungumzo yake ya kwanza ya televisheni na wanachi, Rais Masoud Pezeshkian amefafanua mipango ya serikali yake katika nyanja za ndani na nje ya nchi, na kusema kuwa vipaumbele vya serikali ya 14 ni kuwaridhisha wananchi, kuzingatia masuala ya kiuchumi na kuimarisha uhusiano na nchi mbalimbali.

  • Pezeshkian: Umoja ndio njia bora ya kukabiliana na matatizo ya kiuchumi

    Pezeshkian: Umoja ndio njia bora ya kukabiliana na matatizo ya kiuchumi

    Sep 01, 2024 03:52

    Rais wa Iran Masoud Pezeshkian amesisitiza haja ya kulinda umoja wa kitaifa miongoni mwa mirengo na makundi mbalimbali ya kisiasa ili kuwatumikia vyema zaidi wananchi.

  • Rais wa Iran kushiriki mkutano wa BRICS nchini Russia

    Rais wa Iran kushiriki mkutano wa BRICS nchini Russia

    Aug 31, 2024 09:35

    Rais wa Iran, Masoud Pezeshkian anatazamiwa kushiriki Mkutano wa BRICS wa 2024 nchini Russia karibuni hivi.

  • Iran yakanusha madai ya kuwapa mafunzo askari wa Russia huko Ukraine

    Iran yakanusha madai ya kuwapa mafunzo askari wa Russia huko Ukraine

    Aug 31, 2024 08:18

    Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran amepuuzilia mbali madai kwamba mwanajeshi wa Jamhuri ya Kiislamu amekuwa akitoa mafunzo kwa wanajeshi wa Russia katika ardhi ya Ukraine.

  • "Wazayuni, kizingiti cha kupatikana uthabiti katika umma wa Kiislamu"

    Aug 31, 2024 07:51

    Mkurugenzi Mkuu wa Idara ya Amani na Usalama ya Kimataifa ya Wizara ya Mashauri ya Kigeni ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema utawala wa Kizayuni ndicho kikwazo kikuu cha kupatikana uthabiti na maendeleo endelevu katika ulimwengu wa Kiislamu na eneo la Asia Magharibi.

  • Wanafunzi wa Iran waibuka wa kwanza katika Olympiad ya Kimataifa ya Astronomia, Astrofizikia

    Wanafunzi wa Iran waibuka wa kwanza katika Olympiad ya Kimataifa ya Astronomia, Astrofizikia

    Aug 28, 2024 23:21

    Wanafunzi wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran wamechukua nafasi ya kwanza katika Olympiadi ya 17 ya Kimataifa ya Astronomia na Astrofizikia.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS