Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Iran

  • Pakistan yatangaza kurejesha uhusiano kamili na Iran baada ya mivutano iliyojitokeza

    Pakistan yatangaza kurejesha uhusiano kamili na Iran baada ya mivutano iliyojitokeza

    Jan 20, 2024 03:23

    Pakistan imetangaza kurejesha kikamilifu uhusiano wa kidiplomasia na Iran baada ya kujitokeza mivutano mikali ya mpakani ambayo haijawahi kushuhudiwa kati ya nchi mbili juu ya operesheni za kupambana na ugaidi.

  • Magaidi kadhaa wa shambulio la Kerman wauawa, baadhi wakamatwa

    Magaidi kadhaa wa shambulio la Kerman wauawa, baadhi wakamatwa

    Jan 20, 2024 00:33

    Wizara ya Usalama wa Taifa ya Iran imesema vikosi vyake vimefanikiwa kuwaangamiza na kuwatia mbaroni magaidi kadhaa wa shambulio la kigaidi la mapema mwezi huu katika mji wa Kerman, kusini mashariki mwa Iran lililopelekea kuuawa shahidi na kujeruhiwa makumi ya watu.

  • Iran yakosoa taarifa ya Arab League, yasema itaendelea kuwaadhibu watenda jinai

    Iran yakosoa taarifa ya Arab League, yasema itaendelea kuwaadhibu watenda jinai

    Jan 19, 2024 08:16

    Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran amekosoa vikali taarifa ya Jumuiya ya Nchi za Kiarabu kuhusu hatua ya Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu (IRGC) ya kufanya shambulio la makombora dhidi ya kituo kikuu cha ujasusi cha shirika la ujasusi la utawala wa Kizayuni wa Israel Mossad katika eneo la Kurdistan ya Iraq.

  • Iran yaikosoa US kwa kuiweka Ansarullah katika orodha ya 'ugaidi'

    Iran yaikosoa US kwa kuiweka Ansarullah katika orodha ya 'ugaidi'

    Jan 19, 2024 00:00

    Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran amelaani vikali hatua ya Marekani ya kuiweka Harakati ya Ansarullah ya Yemen kwenye orodha ya kile inachokiita "makundi ya kigaidi" na kueleza kwamba, kitendo hicho ni katika mfululizo wa hatua za Washington za kuuunga mkono utawala wa kigaidi wa Israel.

  • Balozi mdogo wa Pakistan Tehran aitwa katika Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran

    Balozi mdogo wa Pakistan Tehran aitwa katika Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran

    Jan 18, 2024 05:58

    Balozi mdogo wa Pakistan mjini Tehran ameitwa katika Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran kufuatia mlipuko uliotokea leo asubuhi katika kijiji cha mpakani katika mkoa wa Sistan na Baluchistan hapa nchini.

  • Watu saba wasio raia wa Iran wauawa katika miripuko iliyotokea kusini mashariki mwa nchi

    Watu saba wasio raia wa Iran wauawa katika miripuko iliyotokea kusini mashariki mwa nchi

    Jan 18, 2024 03:41

    Watu saba wasio raia wa Iran wameuawa katika miripuko kadhaa iliyotokea katika mkoa wa Sistan na Baluchestan kusini mashariki mwa nchi.

  • Kundi la kigadi la Jaishu Dhulm lakiri kushambuliwa ngome zake Pakistan

    Kundi la kigadi la Jaishu Dhulm lakiri kushambuliwa ngome zake Pakistan

    Jan 17, 2024 04:35

    Kundi la kigaidi la Jaishu Dhulm limetangaza kuwa ngome zake zimelengwa na kushambuliwa kwa makombora usiku wa kuamkia leo katika mpaka wa Iran na Pakistan.

  • Raisi: Hujuma za Marekani dhidi ya Yemen zimefichua dhati yake ya shari

    Raisi: Hujuma za Marekani dhidi ya Yemen zimefichua dhati yake ya shari

    Jan 15, 2024 04:35

    Rais Ebrahim Raisi wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amelaani vikali mashambulizi ya anga ya Marekani dhidi ya Yemen na kusema kuwa, hujuma hizo zimefichua dhati ya Washington ya kupenda shari, chokochoko na kukanyaga haki za binadamu.

  • Hatua za undumakuwili za nchi za Ulaya kuhusu ugaidi

    Hatua za undumakuwili za nchi za Ulaya kuhusu ugaidi

    Jan 13, 2024 23:13

    Mahakama ya Rufaa ya Denmark inayojulikana kwa jina la "The Eastern High Court" Ijumaa tarehe 12 Januari ilipasisha hukumu ya kifungo jela kwa watu watatu ambao ni wanachama wa kundi linalotaka kujitenga la "Al Ahwaziya" ambao walituhumiwa kueneza ugaidi nchini na kukusanya taarifa za kijasusi kwa ajii ya Shirika la ujasusi la Saudi Arabia.

  • Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran azungumza na mawaziri wenzake wa Saudia na Norway kuhusu Gaza

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran azungumza na mawaziri wenzake wa Saudia na Norway kuhusu Gaza

    Jan 12, 2024 04:35

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amefanya mazungumzo kwa njia ya simu na Mawaziri wa Mambo ya Nje wa Saudi Arabia na Norway kuhusiana na kupanua uhusiano wa pande mbili na matukio yanayojiri katika Ukanda wa Gaza.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS