-
Abdollahian: Uhusiano wa Iran na Algeria upo katika mkondo sahihi
Jul 08, 2023 09:01Hossein Amir Abdollahian Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran amesema leo katika mkutano na waandishi wa habari hapa Tehran akiwa pamoja na mwenzake wa Algeria Ahmed Attaf kuwa uhusiano wa Iran na Algeria upo katika mkondo sahihi.
-
NAM yatoa wito wa kufanywa juhudi zaidi kimataifa kuhakikisha Wapalestina wanarejeshewa haki zao
Jul 07, 2023 23:54Mawaziri wa mambo ya nje wa Vuguvugu la Nchi Zisizofungamana na Siasa za Upande Wowote NAM, wameeleza katika taarifa ya mwisho ya kikao chao kilichofanyika katika mji mkuu wa Jamhuri ya Azerbaijan, Baku kwamba kuna haja ya kufanyika juhudi zaidi kimataifa za kutafuta njia ya ufumbuzi wa kiuadilifu utakaohakikisha Wapalestina wanarejeshewa haki zao.
-
Ripoti yenye malengo maalumu ya Baraza la Haki za Kibinadamu dhidi ya Iran sambamba na ghasia za Ufaransa
Jul 07, 2023 04:07Kamati eti ya kutafuta ukweli iliyoundwa na Baraza la Haki za Kibinadamu la Umoja wa Mataifa kuhusu Iran imetoa ripoti yake ya awali kuhusu kile ilichokiita 'ukandamizaji wa Iran dhidi ya maandamano ya nchi nzima'.
-
Iran na Sudan kufufua uhusiano wao wa kidiplomasia karibuni
Jul 06, 2023 23:38Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran amekutana na kufanya mazungumzo na mwenzake wa Sudan kwa mara ya kwanza baada ya miaka saba, ambapo wamekubaliana kufufua uhusiano wa kidiplomasia wa nchio mbili hizi karibuni hivi.
-
Guterres: Mapatano ya JCPOA bado ni chaguo bora
Jul 06, 2023 04:03Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa amesema katika ripoti yake ya 15 kuhusu azimio nambari 2231 la Baraza la Usalama la umoja huo kwamba: Mapatano ya JCPOA bado ni chaguo bora.
-
Rais Raisi: Jumuiya ya Shanghai ina nafasi ya kipekee katika kustawisha mashirikiano
Jul 04, 2023 08:16Rais Ebrahim Raisi amesema Jumuiya ya Ushirikiano ya Shanghai ina nafasi ya kipekee katika kustawisha mchakato wa kupanua mashirikiano ya kisiasa, kiusalama na kiuchumi.
-
Rais wa Iran aalikwa kuhudhuria mkutano wa BRICS Afrika Kusini
Jul 04, 2023 03:54Rais Ebrahim Raisi wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amealikwa rasmi kuhudhuria mkutano ujao wa kundi la BRICS utakaofanyika nchini Afrika Kusini.
-
Iran: Mapatano ya amani na Israel hayawezi kukomesha ukatili wa utawala huo
Jul 04, 2023 00:05Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran amelaani vikali mashambulizi ya jinai ya utawala wa Kizayuni wa Israel dhidi ya Wapalestina wa mji wa Jenin, huko kaskazini mwa eneo la Ukingo wa Magharibi wa Mto Jordan linalokaliwa kwa mabavu.
-
Admeri Tangsiri: Mafuta yaliyoko Ghuba ya Uajemi ni ya Iran, majirani zake
Jul 02, 2023 23:20Kamanda wa Kikosi cha Wanamaji cha Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu ya Iran (IRGC) amesema mafuta yaliyoko katika eneo la Ghuba ya Uajemi ni milki ya Iran na majirani zake katika eneo hili la kistratajia.
-
"Ni wajibu kwa kila Muislamu kupinga vitendo vya Wamagharibi kuidhalilisha Qurani"
Jul 01, 2023 07:57Rais wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema mataifa ya Waislamu yana wajibu na jukumu la kulaani na kupinga vitendo vya nchi za Magharibi vya kuvunja heshima matukufu ya Kiislamu, hususan Qurani Tukufu.