Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Iran

  • Abdollahian akosoa hatua ya Sweden ya kuunga mkono kuvunjiwa heshima Qur'ani Tukufu

    Abdollahian akosoa hatua ya Sweden ya kuunga mkono kuvunjiwa heshima Qur'ani Tukufu

    Jun 30, 2023 03:55

    Waziri wa Mashauri ya Kigeni wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amelaani vikali hatua ya Sweden ya kuunga mkono vitendo vya kuvunjiwa heshima matukufu ya dini ikiwemo Qur'ani Tukufu.

  • Iran yayaasa mataifa ya Waislamu kuungana kuzima njama za maadui

    Iran yayaasa mataifa ya Waislamu kuungana kuzima njama za maadui

    Jun 29, 2023 23:55

    Waziri wa Mambo ya Nchi za Nje wa Iran ametoa mwito kwa mataifa ya Kiislamu kuwa na umoja na mshikamano mkabala wa njama za maadui na lobi za Kizayuni, zenye azma ya kuibua mifarakano na ukosefu wa uthabiti katika nchi hizo.

  • Ayatullah Khatami: Hatima ya maadui wa Iran si nyingine ghairi ya kushindwa

    Ayatullah Khatami: Hatima ya maadui wa Iran si nyingine ghairi ya kushindwa

    Jun 29, 2023 07:58

    Imamu wa Swala ya Eidul-Adh'ha iliyoswaliwa leo hapa mjini Tehran amesema kuwa, hatima ya maadui na upinzani dhidi ya Iran si nyingine bali ni kushindwa na kufeli katika mipango yao.

  • Marais wa Iran na Russia wazungumzia uasi wa Wagner, masuala ya Caucasia

    Marais wa Iran na Russia wazungumzia uasi wa Wagner, masuala ya Caucasia

    Jun 27, 2023 00:00

    Rais Ebrahim Raisi wa Iran amesema Jamhuri ya Kiislamu inaunga mkono mamlaka ya kujitawala Russia na vile vile hatua zilizochukuliwa na serikali ya Moscow kukomesha uasi wa kundi la Wagner wa Juni 24.

  • Kan'ani: Mtazamo, misimamo ya Iran kwa Marekani haibadiliki

    Kan'ani: Mtazamo, misimamo ya Iran kwa Marekani haibadiliki

    Jun 26, 2023 07:47

    Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran amesema mtazamo na misimamo ya Jamhuri ya Kiislamu kwa Marekani ipo wazi kabisa na haibadiliki, na inaweza kubadilika tu iwapo Washington itakomesha kikamilifu mienendo yake ya kiuhasama dhidi ya taifa hili.

  • Iran yalaani hatua ya Wazayuni wa Israel ya kuchoma moto Qur'ani Tukufu

    Iran yalaani hatua ya Wazayuni wa Israel ya kuchoma moto Qur'ani Tukufu

    Jun 24, 2023 06:37

    Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran amelaani vikali kitendo cha walowezi wa Kizayuni cha kuvunjia heshima Qur'ani Tukufu wakati wa mashambulizi ya askari wa Israel dhidi ya misikiti katika eneo la Ukingo wa Magharibi wa Mto Jordan.

  • Abdollahian: Kuimarisha uhusiano na majirani, kipaumbele cha Iran

    Abdollahian: Kuimarisha uhusiano na majirani, kipaumbele cha Iran

    Jun 22, 2023 03:58

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran amesema Jamhuri ya Kiislamu inalipa uzito suala la kuimarisha uhusiano na ushirikiano na mataifa jirani katika eneo la Asia Magharibi.

  • Raisi: Muqawama umefichua kuwa Israel haina uwezo wa kujihami

    Raisi: Muqawama umefichua kuwa Israel haina uwezo wa kujihami

    Jun 21, 2023 00:15

    Rais Ebrahim Raisi wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema kambi ya muqawama imeanika njozi na uwezo bandia wa kujihami wa utawala wa Kizayuni wa Israel.

  • Iran: Mapuuza ya Magharibi yameshadidisha mgogoro wa wakimbizi

    Iran: Mapuuza ya Magharibi yameshadidisha mgogoro wa wakimbizi

    Jun 21, 2023 00:14

    Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema Magharibi inajaribu kukwepa kubeba dhima ya mgogoro wa wakimbizi unaoshuhudiwa hivi sasa, na kwamba sera mbovu za Marekani na nchi za Ulaya ndizo zinazofaa kulaumiwa kwa mgogoro huo.

  • Ziara ya Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran nchini Qatar ni ya kuimarisha uhusiano na nchi jirani

    Ziara ya Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran nchini Qatar ni ya kuimarisha uhusiano na nchi jirani

    Jun 20, 2023 06:38

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Jamhuri ya Kiislamu ya Kiislamu ya Iran ameonana na kufanya mazungumzo na Amir wa Qatar na Waziri wa Mambo ya Nje wa nchi hiyo na wamejadiliama njia za kustawisha zaidi uhusiano baina yao na pia ushirikiano na uhusiano mzuri wa nchi za eneo hili zima.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS