Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Iran

  • Iran: Madola ya Kiislamu yachukue hatua za kukomesha jinai za Israel

    Iran: Madola ya Kiislamu yachukue hatua za kukomesha jinai za Israel

    Jun 19, 2023 06:57

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran ameyaasa madola ya Kiislamu kuchukua hatua za kivitendo za kukomesha jinai zinazofanywa na utawala wa Kizayuni wa Israel dhidi ya Wapalestina.

  • "Kupanuka muqawama, chachu ya kuporomoka Israel"

    Jun 18, 2023 03:54

    Katibu wa Baraza Kuu la Usalama wa Taifa la Iran amesema kuendelea kuenea harakati za muqawama katika maeneo yote ya Wapalestina yanayokaliwa kwa mabavu ni chachu ya kusambaratika na kuporomoka kwa kasi utawala wa Kizayuni wa Israel.

  • "Maadui wa Waislamu hasa Israel, wamehamakishwa na ushirikiano wa Iran, Saudia"

    Jun 18, 2023 01:10

    Rais wa Iran amesema kuimarika uhusiano na ushirikiano kati ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran na Saudi Arabia kumewahamakisha maadui wa Uislamu na Waislamu hususan utawala wa Kizayuni wa Israel.

  • Reuters: Mauzo ya mafuta ya Iran nje ya nchi yameweka rekodi

    Reuters: Mauzo ya mafuta ya Iran nje ya nchi yameweka rekodi

    Jun 17, 2023 07:38

    Shirika la habari la Reuters limeripoti kuwa, ununuzi wa mafuta kutoka Iran mwaka huu 2023 umeongezeka kwa kiwango ambacho hakijawahi kushuhudiwa katika kipindi cha miaka mitano iliyopita.

  • Alamolhoda: Marekani inaihujumu Iran kwa kutumia udikteta wa vyombo vya habari

    Alamolhoda: Marekani inaihujumu Iran kwa kutumia udikteta wa vyombo vya habari

    Jun 16, 2023 04:15

    Mke wa Rais Ebrahim Raisi wa Iran amesema Marekani, ambayo ilikuwa ikiunga mkono tawala za kiimla hapa nchini huko nyuma, hivi sasa inaifanyia hujuma Jamhuri ya Kiislamu kwa kutumia udikteta wa vyombo vya habari.

  • Raisi: Kuimarika ushirikiano wa Iran na Cuba kunawahamakisha mabeberu

    Raisi: Kuimarika ushirikiano wa Iran na Cuba kunawahamakisha mabeberu

    Jun 15, 2023 23:31

    Rais Ebrahim Raisi wa Iran amesema hatua ya kuendelea kuimarika na kupanuka ushirikiano wa Jamhuri ya Kiislamu na Cuba inayahamakisha madola ya kibeberu na ya kiistikbari duniani.

  • Amir Abdollahian: Mazungumzo ya viongozi wa Iran na Nicaragua yamekuwa mazuri na yenye manufaa

    Amir Abdollahian: Mazungumzo ya viongozi wa Iran na Nicaragua yamekuwa mazuri na yenye manufaa

    Jun 15, 2023 08:39

    Waziri wa Mashauri ya Kigeni wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran ameyataja mazungumzo kati ya viongozi wa Iran na Nicaragua kuwa mazuri na yenye manufaa kwa ajili ya kupanua na kuimarisha ushirikiano wa pande mbili.

  • Rais Raisi: Muqawama, kupigania uadilifu na uhuru mataifa ya dunia kumewahamakisha mabeberu

    Rais Raisi: Muqawama, kupigania uadilifu na uhuru mataifa ya dunia kumewahamakisha mabeberu

    Jun 15, 2023 03:05

    Rais wa Jamhuri ya Kiialamu ya Iran amesema kuwa, muqawama, kupigania uadilifu na uhuru mataifa ya dunia kumewahamikisha maadui na kuwalazimisha kurudi nyuma.

  • Ununuzi wa mafuta kutoka Iran, nembo ya kufeli sera za vikwazo za Magharibi

    Ununuzi wa mafuta kutoka Iran, nembo ya kufeli sera za vikwazo za Magharibi

    Jun 14, 2023 22:53

    Takwimu mpya zilizotolewa na Kituo cha Takwimu cha Ulaya (Eurostat) zinaonyesha kuwa, kwa mara ya kwanza tangu mwaka 2018, Ujerumani imeagiza shehena kubwa ya mafuta au bidhaa za petroli kutoka Iran licha ya vikwazo vya Marekani.

  • Ujerumani yanunua mafuta ya Iran licha ya vikwazo vya Marekani

    Ujerumani yanunua mafuta ya Iran licha ya vikwazo vya Marekani

    Jun 13, 2023 03:04

    Data zilizotolewa na Kituo cha Takwimu cha Ulaya cha Eurostat zimefichua kuwa, Ujerumani imeagiza shehena kubwa ya mafuta kutoka Iran kwa mara ya kwanza tokea mwaka 2018, licha ya vikwazo vya Marekani.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS