Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Iran

  • Iran, kimbilio la kwanza la wakimbizi wa Kiafghani katika miaka miwili ya karibuni

    Iran, kimbilio la kwanza la wakimbizi wa Kiafghani katika miaka miwili ya karibuni

    Jun 12, 2023 02:57

    Shirika la Kimataifa wa Uhamiaji (IOM) limetangaza kuwa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran imekuwa kituo cha kwanza cha kuwapokea wakimbizi kutoka Afghanistan katika kipindi cha miaka miwili ya karibuni.

  • Mauzo ya zana za kijeshi za Iran nje ya nchi yaongezeka mara 3

    Mauzo ya zana za kijeshi za Iran nje ya nchi yaongezeka mara 3

    Jun 11, 2023 22:47

    Waziri wa Ulinzi wa Iran amesema mauzo ya silaha na zana za kijeshi za Jamhuri ya Kiislamu nje ya nchi yaliongezeka kwa asilimia 300 kwa mwaka wa Kiirani uliopita (uliomalizika Machi 20, 2023).

  • Iran yaiasa IAEA isitegemee taarifa za urongo za Israel

    Iran yaiasa IAEA isitegemee taarifa za urongo za Israel

    Jun 10, 2023 08:54

    Ofisi ya Kudumu ya Iran katika Umoja wa Mataifa imeutaka Wakala wa Kimataifa wa Nishati ya Atomiki (IAEA) kuwa na msimamo wa kitaalamu kuhusu mradi wa Iran wa nishati ya nyuklia, na kujiepusha na taarifa za urongo za utawala wa Kizayuni wa Israel.

  • Iran yalaani shambulizi la bomu lililoua, kujeruhi makumi msikitini Afghanistan

    Iran yalaani shambulizi la bomu lililoua, kujeruhi makumi msikitini Afghanistan

    Jun 08, 2023 21:55

    Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran amelaani shambulio la kigaidi lililotokea jana huko Afghanistan na kuua na kujeruhi makumi ya watu.

  • Balozi wa Iran: Israel inataka kuvuruga uhusiano wa Tehran, Riyadh

    Balozi wa Iran: Israel inataka kuvuruga uhusiano wa Tehran, Riyadh

    Jun 08, 2023 21:54

    Balozi mpya wa Iran nchini Saudi Arabia amesema Israel imekerwa na kuhamakishwa na hatua ya kuhuishwa uhusiano wa kidiplomasia wa Tehran na Riyadh, na kwamba utawala huo wa Kizayuni umeazimia kuuvuruga uhusiano huo.

  • Kan'ani: Shughuli za makombora za Iran ni za kawaida na zinafanyika kihalali

    Kan'ani: Shughuli za makombora za Iran ni za kawaida na zinafanyika kihalali

    Jun 08, 2023 08:05

    Msemaji wa Wizara ya Mashauri ya Kigeni ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema kuwa, shughuli za makombora za taifa hili ni za kawaida na zinafanyika kwa njia ya halali.

  • Ufunguzi wa ubalozi wa Iran nchini Saudi Arabia; kushindwa kwingine kwa siasa za kikanda za Marekani

    Ufunguzi wa ubalozi wa Iran nchini Saudi Arabia; kushindwa kwingine kwa siasa za kikanda za Marekani

    Jun 07, 2023 21:58

    Sambamba na kufufuliwa uhusiano wa kisiasa na kidiplomasia kati ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran na Ufalme wa Saudi Arabia, ubalozi wa Iran mjini Riyadh ulifunguliwa tena Jumanne, Juni 6 baada ya kufungwa kwa miaka saba.

  • Uwepo wa Iran kwenye jumuiya za SCO, BRICS unaashiria kufeli sera ya kuitenga nchi hii

    Uwepo wa Iran kwenye jumuiya za SCO, BRICS unaashiria kufeli sera ya kuitenga nchi hii

    Jun 06, 2023 01:34

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran amesema uwepo amilifu wa Iran kwenye Jumuiya ya Ushirikiano ya Shanghai (SCO) na Kundi la BRICS ni ithibati na ya kufeli na kusambaratika sera ya kuitenga Iran.

  • US yahamakishwa na muungano wa baharini wa Iran, Saudia, nchi za Ghuba ya Uajemi

    US yahamakishwa na muungano wa baharini wa Iran, Saudia, nchi za Ghuba ya Uajemi

    Jun 04, 2023 23:05

    Jeshi la Baharini la Marekani limetiwa kiwewe na tangazo la Iran la kutaka kuundwa muungano wa vikosi vya baharini vya Jamhuri ya Kiislamu, Saudi Arabia na nchi nyingine za Ghuba ya Uajemi.

  • Imam Khomeini; shakhsia wa kimataifa na nembo ya kupinga ubeberu

    Imam Khomeini; shakhsia wa kimataifa na nembo ya kupinga ubeberu

    Jun 04, 2023 23:03

    Jumapili ya jana ilisadifiana na siku ya kukumbuka kifo cha Imam Khomeini (MA), mwasisi wa Mapinduzi ya Kiislamu na Jamhuri ya Kiislamu ya Iran.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS