Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Iran

  • Raisi: Iran iko tayari kuimarisha uhusiano na nchi rafiki

    Raisi: Iran iko tayari kuimarisha uhusiano na nchi rafiki

    Jun 04, 2023 08:13

    Rais wa Iran amesema Jamhuri ya Kiislamu iko tayari kuimarisha uhusiano wake na nchi ambazo zimetangaza utayarifu wao wa kuhuisha uhusiano na Tehran.

  • Al-Qaddumi: Kadhia ya Palestina ni kipaumbele cha sera za nje za Iran

    Al-Qaddumi: Kadhia ya Palestina ni kipaumbele cha sera za nje za Iran

    Jun 03, 2023 02:47

    Mwakilishi wa Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina (HAMAS) nchini Iran amesema kuwa, kwa miaka mingi sasa baada ya kupata ushindi Mapinduzi ya Kiislamu ya Iran, kadhia ya Palestina imeendelea kuwa kipaumbele cha sera za nje za Jamhuri ya Kiislamu.

  • Iran yakamata zaidi ya tani ya madawa ya kulevya kusini mashariki mwa nchi

    Iran yakamata zaidi ya tani ya madawa ya kulevya kusini mashariki mwa nchi

    Jun 02, 2023 02:56

    Kamanda wa walinzi wa mpakani wa mkoa wa Sistan na Baluchistan wa kusini mashariki mwa Iran amesema kuwa, askari walioko chini ya amri yake wamefanikiwa kuangamiza magenge kadhaa ya magendo ya mihadarati na kukamata zaidi ya tani moja na kilo 370 za madawa ya kulevya.

  • Iran na Afrika Kusini zatilia mkazo kustawisha uhusiano baina yao katika nyanja zote

    Iran na Afrika Kusini zatilia mkazo kustawisha uhusiano baina yao katika nyanja zote

    Jun 01, 2023 22:43

    Mawaziri wa Mambo ya Nje wa Iran na Afrika Kusini wamekutana pambizoni mwa kikao cha kundi la BRICS na kutilia mkazo wajibu wa kustawishwa uhusiano wa pande mbili katika nyanja zote.

  • Amir Abdollahian:Kushiriki katika makongamano ya kimataifa ni moja ya hatua za sera za kigeni za serikali ya Iran

    Amir Abdollahian:Kushiriki katika makongamano ya kimataifa ni moja ya hatua za sera za kigeni za serikali ya Iran

    Jun 01, 2023 02:51

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran ameutaja ushiriki chanya wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran katika makongamano ya kimataifa kuwa moja ya hatua za doktrini za sera za nje zenye mlingano za serikali ya Iran.

  • Wanasiasa wa Misri wakaribisha kustawishwa uhusiano wa Tehran na Cairo

    Wanasiasa wa Misri wakaribisha kustawishwa uhusiano wa Tehran na Cairo

    May 31, 2023 03:23

    Wanasiasa na viongozi wa Misri wamekaribisha kwa mikono miwili juhudi za kuhuishwa na kurejeshwa uhusiano wa Iran na Misri.

  • Kiongozi Muadhamu: Iran inakaribisha kuhuishwa uhusiano wake na Misri

    Kiongozi Muadhamu: Iran inakaribisha kuhuishwa uhusiano wake na Misri

    May 29, 2023 08:02

    Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu, Ayatullah Sayyid Ali Khamenei amesema Iran inakaribisha azma ya kufufuliwa uhusiano wake na Misri.

  • Uzushi na undumakuwili wa Zelensky dhidi ya Iran

    Uzushi na undumakuwili wa Zelensky dhidi ya Iran

    May 28, 2023 21:54

    Rais wa Ukraine kwa mara nyingine tena ameitaka Iran isiipatie Russia ndege za kivita zisizo na rubani kauli ambayo ameitoa kwa kutegemea madai bandia ambayo yamepingwa mara kadhaa na Iran na pia Ukraine haijaweza kutoa ushahidi wowote wa maana kuhusu madai hayo.

  • Idadi ya watalii wanaoitembelea Iran yaongezeka kwa asilimia 300

    Idadi ya watalii wanaoitembelea Iran yaongezeka kwa asilimia 300

    May 28, 2023 03:28

    Shirika la Kimataifa la Utalii la Umoja wa Mataifa (UNWTO) limesema zaidi ya watalii milioni 4.1 waliitembelea Iran mwaka jana 2022, hilo likiwa ni ongezeko la asilimia 315 ikilinganishwa na mwaka juzi 2021.

  • Askari 2 wa Iran wauawa katika shambulio la kichokozi la Taliban; utulivu warejea

    Askari 2 wa Iran wauawa katika shambulio la kichokozi la Taliban; utulivu warejea

    May 27, 2023 22:59

    Askari wawili wa mpakani wa Iran wameuawa shahidi huku raia wawili wakijeruhiwa katika shambulizi la kichokozi la wapiganaji wa Taliban katika mpaka wa Jamhuri ya Kiislamu na Afghanistan.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS