Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Iran

  • Iran yalaani tuhuma zisizo na msingi na za udanganyifu zinazotolewa na nchi  za G7

    Iran yalaani tuhuma zisizo na msingi na za udanganyifu zinazotolewa na nchi za G7

    May 18, 2023 08:02

    Iran imelaani vikali tuhuma zilizotolewa na mawaziri wa fedha wa Kundi la Mataifa Saba yaliyoendelea kiuchumi (G7) na imewataka kukomesha ushiriki wao katika vikwazo haramu vya Marekani badala ya kutoa madai "yasiyo na msingi" dhidi ya Jamhuri ya Kiislamu.

  • Kamanda: Marekani ilishindwa kuuzuia msafara wa manowari za Iran kuvuka Mfereji wa Panama

    Kamanda: Marekani ilishindwa kuuzuia msafara wa manowari za Iran kuvuka Mfereji wa Panama

    May 14, 2023 22:11

    Kamanda wa jeshi la Wanamaji la Jamhuri ya Kiislamu ya Iran Naibu Admeri Shahram Irani amesema, Marekani ilishindwa kuzuia kundi la 86 la manowari za Jeshi la Wanamaji la Iran kupita kwenye Mfereji wa Panama.

  • Ujumbe wa kuchaguliwa Iran kama mwenyekiti wa Jukwaa la Kijamii la Haki za Kibinadamu

    Ujumbe wa kuchaguliwa Iran kama mwenyekiti wa Jukwaa la Kijamii la Haki za Kibinadamu

    May 13, 2023 21:54

    Ali Bahraini, balozi na mwakilishi wa kudumu wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran katika mashirika ya kimataifa mjini Geneva amechaguliwa kuwa mwenyekiti wa kikao cha 19 cha Jukwaa la Kijamii la Baraza la Haki za Binadamu mwaka 2023.

  • Iran na Saudia zimo kwenye mkondo wa kuimarisha uhusiano wa kiuchumi

    Iran na Saudia zimo kwenye mkondo wa kuimarisha uhusiano wa kiuchumi

    May 13, 2023 06:52

    Waziri wa Uchumi wa Iran amesema kuwa, Jamhuri ya Kiislamu na Saudi Arabia hivi sasa zimo kwenye mkondo wa kuimarisha uhusiano wao wa kiuchumi na wameshafikia hatua nzuri.

  • Jibu la Iran kwa azimio la kiadui la bunge la Uswidi

    Jibu la Iran kwa azimio la kiadui la bunge la Uswidi

    May 12, 2023 22:00

    Msemaji wa Wizara ya Mashauri ya Kigeni ya Iran amesema kuwa hatua ya bunge la Uswidi ya kupitisha azimio dhidi ya Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu IRGC, imeathiriwa na makundi ya kigaidi yaliyokataliwa na taifa la Iran na kwamba ni kinyume na viwango na sheria za kimataifa.

  • Kikao cha pande nne cha Moscow kuhusu Syria pamoja na matokeo yake

    Kikao cha pande nne cha Moscow kuhusu Syria pamoja na matokeo yake

    May 11, 2023 07:54

    Kikao cha kwanza cha pande nne cha Mawaziri wa Mashauri ya Kigeni wa Russia, Syria, Uturuki na Iran kuhusiana na Syria kilifanyika Jumatano ya jana huko Moscow mji mkuu wa Rusia.

  • Spika wa Bunge la Pakistan: Mapambano ya Iran yamekuwa mfano wa kuigwa kwa mataifa mengine

    Spika wa Bunge la Pakistan: Mapambano ya Iran yamekuwa mfano wa kuigwa kwa mataifa mengine

    May 11, 2023 07:47

    Spika wa Bunge la Taifa la Pakistan amesema mapambano ya kishujaa ya Iran mbele ya changamoto mbalimbali yamekuwa mfano wa kkuigwa kwa mataifa mengine duniani.

  • Wafanyabiashara wa nchi 71 duniani wameshiriki maonyesho ya Iran Expo 2023

    Wafanyabiashara wa nchi 71 duniani wameshiriki maonyesho ya Iran Expo 2023

    May 11, 2023 01:33

    Mkuu wa Maonyesho ya Kimataifa ya Iran Expo 2023 amesema maooneysho ya mwaka huu yamevutia idadi kubwa ya wafanyabiashara na kuongeza kuwa: "Wafanyabiashara, maafisa wa biashara wa serikali kutoka nchi 71 za dunia wamesafiri hadi Iran kutembelea mambo kadhaa ambayo yamefanywa."

  • Kan'ani amjibu Blinken: Washington ishughulikie ukiukaji wa haki za binadamu ndani ya Marekani, isiingilie mambo ya wengine

    Kan'ani amjibu Blinken: Washington ishughulikie ukiukaji wa haki za binadamu ndani ya Marekani, isiingilie mambo ya wengine

    May 10, 2023 09:54

    Jamhuri ya Kiislamu ya Iran imeitaka Marekani kushughulikia ukiukaji wa haki za binadamu unaofanyika nchini humo badala ya kuingilia masuala ya nchi nyingine na kuhukumu kiwango chao cha uhuru wa kujieleza.

  • Iran yaendelea kusisitizia uhusiano mzuri na nchi za bara la Afrika

    Iran yaendelea kusisitizia uhusiano mzuri na nchi za bara la Afrika

    May 09, 2023 00:57

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran na Waziri wa Viwanda na Biashara wa Burkina Faso wamekutana na kujadiliana njia mbalimbali za kuimarisha ushirikiano wa pande mbili katika nyuga tofauti.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS