-
Iran yalaani tuhuma zisizo na msingi na za udanganyifu zinazotolewa na nchi za G7
May 18, 2023 08:02Iran imelaani vikali tuhuma zilizotolewa na mawaziri wa fedha wa Kundi la Mataifa Saba yaliyoendelea kiuchumi (G7) na imewataka kukomesha ushiriki wao katika vikwazo haramu vya Marekani badala ya kutoa madai "yasiyo na msingi" dhidi ya Jamhuri ya Kiislamu.
-
Kamanda: Marekani ilishindwa kuuzuia msafara wa manowari za Iran kuvuka Mfereji wa Panama
May 14, 2023 22:11Kamanda wa jeshi la Wanamaji la Jamhuri ya Kiislamu ya Iran Naibu Admeri Shahram Irani amesema, Marekani ilishindwa kuzuia kundi la 86 la manowari za Jeshi la Wanamaji la Iran kupita kwenye Mfereji wa Panama.
-
Ujumbe wa kuchaguliwa Iran kama mwenyekiti wa Jukwaa la Kijamii la Haki za Kibinadamu
May 13, 2023 21:54Ali Bahraini, balozi na mwakilishi wa kudumu wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran katika mashirika ya kimataifa mjini Geneva amechaguliwa kuwa mwenyekiti wa kikao cha 19 cha Jukwaa la Kijamii la Baraza la Haki za Binadamu mwaka 2023.
-
Iran na Saudia zimo kwenye mkondo wa kuimarisha uhusiano wa kiuchumi
May 13, 2023 06:52Waziri wa Uchumi wa Iran amesema kuwa, Jamhuri ya Kiislamu na Saudi Arabia hivi sasa zimo kwenye mkondo wa kuimarisha uhusiano wao wa kiuchumi na wameshafikia hatua nzuri.
-
Jibu la Iran kwa azimio la kiadui la bunge la Uswidi
May 12, 2023 22:00Msemaji wa Wizara ya Mashauri ya Kigeni ya Iran amesema kuwa hatua ya bunge la Uswidi ya kupitisha azimio dhidi ya Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu IRGC, imeathiriwa na makundi ya kigaidi yaliyokataliwa na taifa la Iran na kwamba ni kinyume na viwango na sheria za kimataifa.
-
Kikao cha pande nne cha Moscow kuhusu Syria pamoja na matokeo yake
May 11, 2023 07:54Kikao cha kwanza cha pande nne cha Mawaziri wa Mashauri ya Kigeni wa Russia, Syria, Uturuki na Iran kuhusiana na Syria kilifanyika Jumatano ya jana huko Moscow mji mkuu wa Rusia.
-
Spika wa Bunge la Pakistan: Mapambano ya Iran yamekuwa mfano wa kuigwa kwa mataifa mengine
May 11, 2023 07:47Spika wa Bunge la Taifa la Pakistan amesema mapambano ya kishujaa ya Iran mbele ya changamoto mbalimbali yamekuwa mfano wa kkuigwa kwa mataifa mengine duniani.
-
Wafanyabiashara wa nchi 71 duniani wameshiriki maonyesho ya Iran Expo 2023
May 11, 2023 01:33Mkuu wa Maonyesho ya Kimataifa ya Iran Expo 2023 amesema maooneysho ya mwaka huu yamevutia idadi kubwa ya wafanyabiashara na kuongeza kuwa: "Wafanyabiashara, maafisa wa biashara wa serikali kutoka nchi 71 za dunia wamesafiri hadi Iran kutembelea mambo kadhaa ambayo yamefanywa."
-
Kan'ani amjibu Blinken: Washington ishughulikie ukiukaji wa haki za binadamu ndani ya Marekani, isiingilie mambo ya wengine
May 10, 2023 09:54Jamhuri ya Kiislamu ya Iran imeitaka Marekani kushughulikia ukiukaji wa haki za binadamu unaofanyika nchini humo badala ya kuingilia masuala ya nchi nyingine na kuhukumu kiwango chao cha uhuru wa kujieleza.
-
Iran yaendelea kusisitizia uhusiano mzuri na nchi za bara la Afrika
May 09, 2023 00:57Waziri wa Mambo ya Nje wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran na Waziri wa Viwanda na Biashara wa Burkina Faso wamekutana na kujadiliana njia mbalimbali za kuimarisha ushirikiano wa pande mbili katika nyuga tofauti.