Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Iran

  • Grossi: Tumekubaliana na Iran kuendelea na mchakato wa uhakiki

    Grossi: Tumekubaliana na Iran kuendelea na mchakato wa uhakiki

    Mar 06, 2023 23:04

    Mkurugenzi Mkuu wa Wakala wa Kimataifa wa Nishati ya Atomiki (IAEA) amekaribisha makubaliano yaliyofikiwa baina ya wakala huo na Iran juu ya suala la usimamizi na kuendelea mchakato wa kuthibitisha kwamba miradi ya nyuklia ya Iran inafanyika kwa malengo ya amani.

  • Russia yakosoa mienendo mibaya ya Bodi ya Magavana ya IAEA dhidi ya Iran

    Russia yakosoa mienendo mibaya ya Bodi ya Magavana ya IAEA dhidi ya Iran

    Mar 05, 2023 23:00

    Balozi na Mwakilishi wa Kudumu wa Russia katika mashirika ya kimataifa yenye makao makuu mjini Vienna amekosoa mienendo mibaya ya Bodi ya Magavana ya Wakala wa Kimataifa wa Nishati ya Atomiki (IAEA) dhidi ya Iran.

  • Kana'ani: Marekani iliunga mkono mfumo wa 'apartheid' Afrika Kusini

    Kana'ani: Marekani iliunga mkono mfumo wa 'apartheid' Afrika Kusini

    Mar 05, 2023 07:40

    Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran amesema Marekani haistahiki kujipiga kifua na kudai kuwa kinara wa kutetea na kulinda haki za binadamu duniani kutokana na rekodi yake nyeusi.

  • Sisitizo la Waziri wa Mambo ya Nje wa Venezuela kuhusu uhusiano wa jadi na Iran

    Sisitizo la Waziri wa Mambo ya Nje wa Venezuela kuhusu uhusiano wa jadi na Iran

    Mar 05, 2023 05:12

    Ivan Khel Pinto, Waziri wa Mambo ya Nje wa Venezuela amesema katika mahojiano aliyofanyiwa na televisheni ya Al Mayadeen kwamba, uhusiano mzuri wa nchi yake na Jamhuri ya Kiislamu ya Iran ni wa muda mrefu, ni wa jadi na ni mkubwa.

  • "Wamagharibi wanalia machozi ya mamba kuwahadaa wanafunzi, wazazi wa Iran"

    Mar 04, 2023 04:01

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran amewakosoa maafisa wa nchi za Magharibi ambao wanaiahadaa dunia kwa kuonesha kuwa wameguswa na kutiwa wasiwasi na matukio ya wanafunzi wa kike wa Jamhuri ya Kiislamu kudaiwa kushambuliwa kwa gesi ya sumu wakiwa shuleni na kusisitiza kuwa, kilio hicho cha Wamagharibi ni sawa na machozi ya mamba.

  • Ebrahim Raisi: Vita mseto vya adui vimefeli mbele ya taifa imara la Iran

    Ebrahim Raisi: Vita mseto vya adui vimefeli mbele ya taifa imara la Iran

    Mar 03, 2023 07:26

    Rais wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema kuwa, maadui wamefeli katika vita vyao mseto dhidi ya wananchi wa Iran na kusisitiza kuwa, uimara na kutotetereka taifa iran kumevuruga njama zote za maadui.

  • Marekani yaendeleza uraibu wake wa vikwazo kwa kuiwekea Iran vikwazo vipya

    Marekani yaendeleza uraibu wake wa vikwazo kwa kuiwekea Iran vikwazo vipya

    Mar 03, 2023 04:15

    Marekani imeyawekea vikwazo makampuni na meli kadhaa katika kuendeleza muelekeo wake wa kiundumakuwili na sera yake ya mashinikizo ya juu kabisa dhidi ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran.

  • Iran: Mlango wa kuhuisha JCPOA hautabaki wazi daima

    Iran: Mlango wa kuhuisha JCPOA hautabaki wazi daima

    Mar 02, 2023 23:12

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran ameionya Marekani kuwa, mlango wa mazungumzo ya kuhuisha makubaliano ya nyukia ya JCPOA hautabaki wazi milele, na kwa msingi huo ameiasa Washington kutumia fursa hiyo vizuri na kuyanusuru mapatano hayo.

  • Kufukuzwa wanadiplomasia wa Ujerumani: Hatua mkabala ya Tehran kukabiliana na Berlin

    Kufukuzwa wanadiplomasia wa Ujerumani: Hatua mkabala ya Tehran kukabiliana na Berlin

    Mar 02, 2023 06:30

    Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran imetoa amri ya kufukuzwa wanadiplomasia wawili wa Ujerumani kutokana na kuingilia kwao masuala ya ndani ya nchi.

  • Iran: Mkwamo wa sasa wa JCPOA ni matunda ya sera ghalati za Marekani

    Iran: Mkwamo wa sasa wa JCPOA ni matunda ya sera ghalati za Marekani

    Mar 01, 2023 04:22

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran ameikosoa na kuilaumu Marekani kwa kukwamisha mazungumzo ya kujaribu kuhuisha makubaliano ya nyuklia ya JCPOA ya mwaka 2015.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS