-
Grossi: Tumekubaliana na Iran kuendelea na mchakato wa uhakiki
Mar 06, 2023 23:04Mkurugenzi Mkuu wa Wakala wa Kimataifa wa Nishati ya Atomiki (IAEA) amekaribisha makubaliano yaliyofikiwa baina ya wakala huo na Iran juu ya suala la usimamizi na kuendelea mchakato wa kuthibitisha kwamba miradi ya nyuklia ya Iran inafanyika kwa malengo ya amani.
-
Russia yakosoa mienendo mibaya ya Bodi ya Magavana ya IAEA dhidi ya Iran
Mar 05, 2023 23:00Balozi na Mwakilishi wa Kudumu wa Russia katika mashirika ya kimataifa yenye makao makuu mjini Vienna amekosoa mienendo mibaya ya Bodi ya Magavana ya Wakala wa Kimataifa wa Nishati ya Atomiki (IAEA) dhidi ya Iran.
-
Kana'ani: Marekani iliunga mkono mfumo wa 'apartheid' Afrika Kusini
Mar 05, 2023 07:40Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran amesema Marekani haistahiki kujipiga kifua na kudai kuwa kinara wa kutetea na kulinda haki za binadamu duniani kutokana na rekodi yake nyeusi.
-
Sisitizo la Waziri wa Mambo ya Nje wa Venezuela kuhusu uhusiano wa jadi na Iran
Mar 05, 2023 05:12Ivan Khel Pinto, Waziri wa Mambo ya Nje wa Venezuela amesema katika mahojiano aliyofanyiwa na televisheni ya Al Mayadeen kwamba, uhusiano mzuri wa nchi yake na Jamhuri ya Kiislamu ya Iran ni wa muda mrefu, ni wa jadi na ni mkubwa.
-
"Wamagharibi wanalia machozi ya mamba kuwahadaa wanafunzi, wazazi wa Iran"
Mar 04, 2023 04:01Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran amewakosoa maafisa wa nchi za Magharibi ambao wanaiahadaa dunia kwa kuonesha kuwa wameguswa na kutiwa wasiwasi na matukio ya wanafunzi wa kike wa Jamhuri ya Kiislamu kudaiwa kushambuliwa kwa gesi ya sumu wakiwa shuleni na kusisitiza kuwa, kilio hicho cha Wamagharibi ni sawa na machozi ya mamba.
-
Ebrahim Raisi: Vita mseto vya adui vimefeli mbele ya taifa imara la Iran
Mar 03, 2023 07:26Rais wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema kuwa, maadui wamefeli katika vita vyao mseto dhidi ya wananchi wa Iran na kusisitiza kuwa, uimara na kutotetereka taifa iran kumevuruga njama zote za maadui.
-
Marekani yaendeleza uraibu wake wa vikwazo kwa kuiwekea Iran vikwazo vipya
Mar 03, 2023 04:15Marekani imeyawekea vikwazo makampuni na meli kadhaa katika kuendeleza muelekeo wake wa kiundumakuwili na sera yake ya mashinikizo ya juu kabisa dhidi ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran.
-
Iran: Mlango wa kuhuisha JCPOA hautabaki wazi daima
Mar 02, 2023 23:12Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran ameionya Marekani kuwa, mlango wa mazungumzo ya kuhuisha makubaliano ya nyukia ya JCPOA hautabaki wazi milele, na kwa msingi huo ameiasa Washington kutumia fursa hiyo vizuri na kuyanusuru mapatano hayo.
-
Kufukuzwa wanadiplomasia wa Ujerumani: Hatua mkabala ya Tehran kukabiliana na Berlin
Mar 02, 2023 06:30Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran imetoa amri ya kufukuzwa wanadiplomasia wawili wa Ujerumani kutokana na kuingilia kwao masuala ya ndani ya nchi.
-
Iran: Mkwamo wa sasa wa JCPOA ni matunda ya sera ghalati za Marekani
Mar 01, 2023 04:22Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran ameikosoa na kuilaumu Marekani kwa kukwamisha mazungumzo ya kujaribu kuhuisha makubaliano ya nyuklia ya JCPOA ya mwaka 2015.