-
Nigeria yaomba kuwa na ushirikiano wa kijeshi na Iran
Sep 04, 2022 06:33Mwanadiplomasia mstaafu na mzoefu wa Nigeria Babaji Umar Misau amesema, ana matumaini kuwa nchi yake itaendelea kuwa na ushirikiano mzuri na wenye manufaa na Jamhuri ya Kiislamu ya Iran, ambayo rafiki yake wa zamani kama ilivyokuwa kwa miongo mingi.
-
Amir-Abdollahian: Sera ya Mambo ya Nje ya Iran imejengeka katika msingi wa uhuru, amani
Sep 02, 2022 23:00Waziri wa Mambo ya Nje wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema mazungumzo na utendaji wa Jamhuri ya Kiislamu katika siasa za nje umejengeka katika msingi wa uhuru, kujitegemea, amani na heshima.
-
Marandi: Wakati umefika Biden afanye maamuzi magumu
Sep 02, 2022 07:39Mshauri wa timu ya Iran katika mazungumzo ya nyuklia ya Vienna amesema kuwa, wakati umefika kwa utawala wa Rais Joe Biden wa Marekani kuchukua maamuzi magumu juu ya kuhuishwa makubaliano yanayotarajiwa kufikiwa kuhusiana na kuondolewa vikwazo Iran.
-
Iran yaipongeza Iraq kwa kutumia hekima kuhitimisha ghasia
Aug 31, 2022 03:03Wizara ya Mambo ya Nje ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran imewapongeza wananchi wa Iraq kwa kutumia hekima kukabiliana na jaribio la uasi lililosababisha ghasia na fujo nchini humo.
-
Iran na Russia kujadili Ukraine na JCPOA mjini Moscow
Aug 30, 2022 23:20Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran amesema lengo kuu la safari yake mjini Moscow ni kujaribu kutatua mgogoro wa Ukraine.
-
Iran na Oman zajadili mapatano ya kuondolewa Tehran vikwazo
Aug 29, 2022 06:35Waziri wa Mambo ya Nje wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema Tehran inatathmini kwa kina jibu la serikali ya Marekani kuhusu masuala yaliyosalia katika mazungumzo ya kuliondolea vikwazo taifa hili.
-
Mossad inakula njama ya kuzuia kufufuliwa JCPOA
Aug 29, 2022 06:32Mkuu wa Shirika la Kijasusi la utawala wa Kizayuni wa Israel (Mossad) anatazamiwa kuelekea Washington kufanya mikutano kadhaa ya faragha na maafisa wa serikali ya Marekani kuhusu makubaliano ya nyuklia ya JCPOA.
-
Ghalibaf: Zana za ulinzi za Iran zimewatia kiwewe maadui; wanaogopa kuingia vitani
Aug 27, 2022 20:53Spika wa Majlisi ya Ushauri ya Kiislamu (Bunge la Iran) amesema kuwa, zana za ulinzi za Jamhuri ya Kiislamu zimeongeza nguvu za kujihami taifa hili, zimewatia kiwewe maadui na zimewafanya waogope kuingia vitani na Iran ya Kiislamu.
-
Iran na Nigeria kupanua ushirikiano wao katika uga wa nishati
Aug 27, 2022 20:52Waziri wa Mafuta wa Iran ameeleza matumaini yake ya kuimarika ushirikiano wa Jamhuri ya Kiislamu na Nigeria katika uga wa nishati.
-
Iran: Uhusiano wetu na Tanzania unazidi kustawi na kuimarika
Aug 27, 2022 07:21Waziri wa Mambo ya Nje wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema kupitia mtandao wa kijamii wa Twitter kuwa, uhusiano wa Tehran na Jamhuri ya Muungano wa Tanzania unazidi kuwa imara.