Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Iran

  • Araqchi: Teknolojia haiwezi kuangamizwa kupitia mashambulizi

    Araqchi: Teknolojia haiwezi kuangamizwa kupitia mashambulizi

    Jan 10, 2026 00:55

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran ameashiria mashambulizi ya utawala wa Kizayuni na Marekani dhidi ya vituo vya nyuklia vya Iran vinavyofanya kazi kwa malengo ya kiraia katika vita vya siku 12 na kusema baadhi ya majengo, taasisi na suhula za nyuklia zinazotumika kwa malengo ya amani za Iran zilidhurika hata hivyo teknolojia haiweza kuangamizwa kupitia mashambulizi.

  • Khatibu wa Sala ya Ijumaa: Waandamanaji watajitenga na wachache wanaovuruga amani

    Khatibu wa Sala ya Ijumaa: Waandamanaji watajitenga na wachache wanaovuruga amani

    Jan 09, 2026 09:40

    Khatibu wa Sala ya Ijumaa ya leo ya mjini Tehran, Hujjatul Islam Sayyid Mohammad Hassan Abu Torabi Fard amesema, waandamanaji waelewa na wenye ghera ya uhuru na mamlaka imara ya nchi watatenganisha njia yao na ya wachache wanaoitakia mabaya nchi, wafanyao vitendo vya ukatili na kuvuruga nidhamu ya jamii; na hilo ni jambo lenye ulazima usioweza kuepukika.

  • "Handala" yafichua operesheni za MOSSAD ndani ya Iran

    Jan 09, 2026 02:53

    Kundi moja la kutetea Palestina linalofahamika kwa jina la Handala limefichua utambulisho wa Mehrdad Rahimi, mtu anayeelezwa kuwa afisa wa kusimamia na kuendesha operesheni za maajenti wa shirika la kijasusi la Israel la Mossad hapa nchini Iran.

  • Araghchi: Iran inaunga mkono umoja wa kitaifa wa Lebanon

    Araghchi: Iran inaunga mkono umoja wa kitaifa wa Lebanon

    Jan 08, 2026 23:37

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran amesema Jamhuri ya Kiislamu ya Iran daima imeiunga mkono na itaendelea kuinga mkono Lebanon, umoja wa kitaifa, uhuru na mamlaka ya kujitawala nchi hiyo ya Kiarabu.

  • Ustawi wa uhusiano wa Iran na nchi za Asia ya Kati 2025, sababu na matunda yake

    Ustawi wa uhusiano wa Iran na nchi za Asia ya Kati 2025, sababu na matunda yake

    Jan 08, 2026 22:51

    Uhusiano wa Iran na nchi za Asia ya Kati ulistawi sana katika mwaka uliopita waw 2025 na kuna sababu mbalimbali zilizopelekea kushuhudiwa jambo hilo lenye manufaa mengi.

  • Iran: Filihali sio muda mwafaka wa kufanya mazungumzo na Marekani

    Iran: Filihali sio muda mwafaka wa kufanya mazungumzo na Marekani

    Jan 08, 2026 03:06

    Waziri wa Mashauri ya Kigeni wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema kuwa, kwa sasa sio muda mwafaka wa kufanya mazungumzo na Marekani.

  • Mwanachuoni Nigeria: Israel itafutwa katika uso wa dunia ikiishambulia tena Iran

    Mwanachuoni Nigeria: Israel itafutwa katika uso wa dunia ikiishambulia tena Iran

    Jan 08, 2026 02:38

    Mwanachuoni mashuhuri wa Kiislamu wa kaskazini mashariki mwa Nigeria amezionya Israel na Marekani dhidi ya kufanya mashambulizi yoyote ya kijeshi dhidi ya Iran, akisema matokeo yake yatakuwa mabaya zaidi kuliko yale ya vita vya siku 12 vya mwezi Juni mwaka uliopita 2025, na kuilazimisha Israel kuomba usitishaji vita.

  • Meja Jenerali Hatami: Vitisho vya maadui havitapita bila kujibiwa

    Meja Jenerali Hatami: Vitisho vya maadui havitapita bila kujibiwa

    Jan 07, 2026 08:02

    Kamanda Mkuu wa Jeshi la Iran, Meja Jenerali Amir Hatami amesema Jamhuri ya Kiislamu inayatazama matamshi ya vitisho na kichochezi ya maadui zake kuwa tishio la moja kwa moja dhidi ya taifa hili, na itatoa majibu madhubiti iwapo vitisho hivyo vitaendelea kutolewa.

  • Baghaei: Israel ibebeshwe dhima kwa mashambulizi ya kinyama Lebanon

    Baghaei: Israel ibebeshwe dhima kwa mashambulizi ya kinyama Lebanon

    Jan 07, 2026 06:50

    Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran imetoa wito kwa jamii ya kimataifa kuiwajibisha Israel kwa uhalifu wa kivita, kufuatia wimbi la mashambulizi mabaya dhidi ya Lebanon, na kukanyaga makubaliano ya kusitisha mapigano.

  • Pezeshkian: Maadui wanajaribu kuzuia maendeleo ya taifa kupitia vikwazo

    Pezeshkian: Maadui wanajaribu kuzuia maendeleo ya taifa kupitia vikwazo

    Jan 07, 2026 04:27

    Rais Masoud Pezeshkian wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amekosoa vikali mashinikizo ya nchi ajinabi dhidi ya taifa la Iran.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS