-
Araqchi: Teknolojia haiwezi kuangamizwa kupitia mashambulizi
Jan 10, 2026 00:55Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran ameashiria mashambulizi ya utawala wa Kizayuni na Marekani dhidi ya vituo vya nyuklia vya Iran vinavyofanya kazi kwa malengo ya kiraia katika vita vya siku 12 na kusema baadhi ya majengo, taasisi na suhula za nyuklia zinazotumika kwa malengo ya amani za Iran zilidhurika hata hivyo teknolojia haiweza kuangamizwa kupitia mashambulizi.
-
Khatibu wa Sala ya Ijumaa: Waandamanaji watajitenga na wachache wanaovuruga amani
Jan 09, 2026 09:40Khatibu wa Sala ya Ijumaa ya leo ya mjini Tehran, Hujjatul Islam Sayyid Mohammad Hassan Abu Torabi Fard amesema, waandamanaji waelewa na wenye ghera ya uhuru na mamlaka imara ya nchi watatenganisha njia yao na ya wachache wanaoitakia mabaya nchi, wafanyao vitendo vya ukatili na kuvuruga nidhamu ya jamii; na hilo ni jambo lenye ulazima usioweza kuepukika.
-
"Handala" yafichua operesheni za MOSSAD ndani ya Iran
Jan 09, 2026 02:53Kundi moja la kutetea Palestina linalofahamika kwa jina la Handala limefichua utambulisho wa Mehrdad Rahimi, mtu anayeelezwa kuwa afisa wa kusimamia na kuendesha operesheni za maajenti wa shirika la kijasusi la Israel la Mossad hapa nchini Iran.
-
Araghchi: Iran inaunga mkono umoja wa kitaifa wa Lebanon
Jan 08, 2026 23:37Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran amesema Jamhuri ya Kiislamu ya Iran daima imeiunga mkono na itaendelea kuinga mkono Lebanon, umoja wa kitaifa, uhuru na mamlaka ya kujitawala nchi hiyo ya Kiarabu.
-
Ustawi wa uhusiano wa Iran na nchi za Asia ya Kati 2025, sababu na matunda yake
Jan 08, 2026 22:51Uhusiano wa Iran na nchi za Asia ya Kati ulistawi sana katika mwaka uliopita waw 2025 na kuna sababu mbalimbali zilizopelekea kushuhudiwa jambo hilo lenye manufaa mengi.
-
Iran: Filihali sio muda mwafaka wa kufanya mazungumzo na Marekani
Jan 08, 2026 03:06Waziri wa Mashauri ya Kigeni wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema kuwa, kwa sasa sio muda mwafaka wa kufanya mazungumzo na Marekani.
-
Mwanachuoni Nigeria: Israel itafutwa katika uso wa dunia ikiishambulia tena Iran
Jan 08, 2026 02:38Mwanachuoni mashuhuri wa Kiislamu wa kaskazini mashariki mwa Nigeria amezionya Israel na Marekani dhidi ya kufanya mashambulizi yoyote ya kijeshi dhidi ya Iran, akisema matokeo yake yatakuwa mabaya zaidi kuliko yale ya vita vya siku 12 vya mwezi Juni mwaka uliopita 2025, na kuilazimisha Israel kuomba usitishaji vita.
-
Meja Jenerali Hatami: Vitisho vya maadui havitapita bila kujibiwa
Jan 07, 2026 08:02Kamanda Mkuu wa Jeshi la Iran, Meja Jenerali Amir Hatami amesema Jamhuri ya Kiislamu inayatazama matamshi ya vitisho na kichochezi ya maadui zake kuwa tishio la moja kwa moja dhidi ya taifa hili, na itatoa majibu madhubiti iwapo vitisho hivyo vitaendelea kutolewa.
-
Baghaei: Israel ibebeshwe dhima kwa mashambulizi ya kinyama Lebanon
Jan 07, 2026 06:50Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran imetoa wito kwa jamii ya kimataifa kuiwajibisha Israel kwa uhalifu wa kivita, kufuatia wimbi la mashambulizi mabaya dhidi ya Lebanon, na kukanyaga makubaliano ya kusitisha mapigano.
-
Pezeshkian: Maadui wanajaribu kuzuia maendeleo ya taifa kupitia vikwazo
Jan 07, 2026 04:27Rais Masoud Pezeshkian wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amekosoa vikali mashinikizo ya nchi ajinabi dhidi ya taifa la Iran.