Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Iran

  • Jen. Shekarchi: Marekani, Israel zinajua vyema gharama ya kuitishia Iran

    Jen. Shekarchi: Marekani, Israel zinajua vyema gharama ya kuitishia Iran

    Jul 15, 2022 22:14

    Msemaji wa Vikosi vya Ulinzi vya Iran amesema Marekani na utawala wa Kizayuni wa Israel zinatambua vizuri kile ambacho kitawafika iwapo zitathubutu kutelekeza kivitendo vitisho vyao dhidi ya Jamhuri ya Kiislamu.

  • Shukurani za Gavana wa jimbo la Herat kwa misaada ya Iran kwa  watu wa Afghanistan

    Shukurani za Gavana wa jimbo la Herat kwa misaada ya Iran kwa watu wa Afghanistan

    Jul 15, 2022 22:12

    Gavana wa jimbo la Herat ameishukuru Jamhuri ya Kiislamu ya Iran kwa misaada yake kwa watu wa Afghanistan.

  • Kamanda: Vikosi vya Jeshi la Iran vinaendelea kuimarika licha ya vikwazo

    Kamanda: Vikosi vya Jeshi la Iran vinaendelea kuimarika licha ya vikwazo

    Jul 14, 2022 21:58

    Kamanda Mkuu wa Kikosi cha Anga cha Jeshi la Nchi Kavu la Iran amesema vikosi vya ulinzi vya Jamhuri ya Kiislamu vinendelea kuimarika na kupata nguvu zaidi siku baada ya siku, licha ya vikwazo na mashinikizo ya kiuchumi dhidi ya taifa hili.

  • Kan’ani Chafi: Hadaa ni sifa iliyoshamiri ya wanasiasa wa Marekani

    Kan’ani Chafi: Hadaa ni sifa iliyoshamiri ya wanasiasa wa Marekani

    Jul 14, 2022 06:01

    Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema hadaa na kusema uongo ni sifa ya kawaida katika kauli za wanasiasa wa Marekani.

  • Iran: Israel ndio mzizi wa ugaidi na ukosefu wa usalama Asia Magharibi

    Iran: Israel ndio mzizi wa ugaidi na ukosefu wa usalama Asia Magharibi

    Jul 12, 2022 22:58

    Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema utawala wa Kizayuni wa Israel ndio chimbuko la vitendo vya kigaidi na ukosefu wa usalama na uthabiti katika eneo hili la Asia Magharibi.

  • Iran yapinga mpango wa US kuunda mfumo wa ulinzi katika eneo

    Iran yapinga mpango wa US kuunda mfumo wa ulinzi katika eneo

    Jul 11, 2022 06:59

    Jamhuri ya Kiislamu ya Iran imeutaja mpango wa Marekani wa kutaka kuunda eti mfumo wa pamoja wa ngao ya makombora katika eneo hili kuwa ni wa kichochezi na kichokozi.

  • Iran kati ya nchi 15 zinazovutia idadi kubwa ya wanafunzi wa kigeni

    Iran kati ya nchi 15 zinazovutia idadi kubwa ya wanafunzi wa kigeni

    Jul 11, 2022 06:31

    Iran imetajwa kuwa miongoni mwa nchi 15 duniani, zenye kuvutia idadi kubwa ya wanafunzi wa kigeni.

  • Rais Raisi: Kuna udharura wa kudumishwa sifa maalumu za kihistoria za India

    Rais Raisi: Kuna udharura wa kudumishwa sifa maalumu za kihistoria za India

    Jul 10, 2022 22:06

    Rais Ebrahim Raisi amesema, kuna udharura wa kulindwa na kudumishwa sifa maalumu za kihistoria za India, ambayo ni ardhi inayosifika kwa kuheshimu dini mbalimbali.

  • Raisi: Iran inapinga uingiliaji wowote wa ajinabi nchini Syria

    Raisi: Iran inapinga uingiliaji wowote wa ajinabi nchini Syria

    Jul 10, 2022 04:39

    Rais Ebrahim Raisi wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesisitiza kuwa, Iran inaunga mkono amani na uthabiti na inapinga uingiliaji wowote wa madola ajinabi katika mambo ya ndani ya Syria.

  • Raisi: Maadui wanatumia magenge ya kitakfiri kuwagawa Waislamu

    Raisi: Maadui wanatumia magenge ya kitakfiri kuwagawa Waislamu

    Jul 09, 2022 03:11

    Rais wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema mwenendo wa magenge ya kigaidi na kitakfiri wa kupanda mbegu za chuki na mifarakano ni sehemu ya mbinu zinazotumiwa na maadui kuibua migawanyiko katika umma wa Kiislamu.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS