-
Balozi wa Afrika Kusini Tehran ataka Iran iondolewe vikwazo
Nov 06, 2021 04:36Balozi wa Afrika Kusini katika mji wa Tehran amesema kuondolewa vikwazo dhidi ya Iran ni kwa maslahi ya jamii ya kimataifa. Ameongeza kuwa kuondolewa vikwazo hivyo kutakuwa na manufaa kwa nchi nyingi duniani.
-
Akiba ya urani iliyorutubishwa kwa 60% ya Iran yafikia kilo 25
Nov 05, 2021 23:55Msemaji wa Shirika la Nishati ya Atomiki la Iran (AEOI) amesema akiba ya madini ya urani iliyorutubishwa kwa kiwango cha asilimia 60 hapa nchini imefikia kilo 25.
-
Mwangwi wa dharba ya IRGC dhidi ya jeshi ya Marekani, vyombo vya habari vya US vyafyata mkia
Nov 04, 2021 04:23Kushiindwa kwa jeshi la Marekani mbele ya operesheni makini ya Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu katika maji ya Bahari ya Oman kumeibua mwangwi mkubwa katika vyombo vya habari vya kimataifa.
-
Iran: Kundi la 4+1 liwe tayari kwa mazungumzo yatakayoheshimu haki
Nov 02, 2021 11:11Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran amesema kundi la 4+1 lililosalia katika makubaliano ya nyuklia ya JCPOA linapaswa kujiandaa kwa mazungumzo ya kuhuisha mapatano hayo ya kimataifa, kwa kuzingatia na kuheshimu misingi ya haki na maslahi ya pande zote.
-
Matamshi ya Waziri wa Mashauri ya Kigeni wa Saudi Arabia dhidi ya makundi ya muqawama Asia Magharibi
Nov 02, 2021 08:53Faisal bin Farhan al-Saud, Waziri wa Mashauri ya Kigeni wa Saudi Arabia amesema katika mahojiano na Kanali ya Televisheni ya al-Arabiya kwamba, matatizo na mvutano wa nchi yake na Lebanon ni zaidi ya matamshi ya waziri wa habari wa nchi hiyo, kwani Saudia haikubaliani kabisa na suala la kupata nguvu waitifaki wa Iran nchini Lebanon na katika eneo la Asia Magharibi kwa ujumla.
-
Khatibzadeh: Hakuna mawasiliano ya aina yoyote baina ya Iran na Marekani
Nov 01, 2021 11:15Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nchi za Nje ya Iran amekadhibisha madai ya kuwepo mawasiliano baina ya Jamhuri ya Kiislamu na Marekkani.
-
Ulimwengu wa Spoti, Nov 1
Nov 01, 2021 07:07Hujambo mpenzi msikilizaji natumai u bukheri wa afya. Karibu tutupie jicho baadhi ya matukio yaliyogonga vichwa vya habari katika ulimwengu wa michezo ndani ya siku saba zilizopita, ndani na nje ya nchi.
-
Iran yalaani kimya cha ripoti ya Umoja wa Mataifa kuhusu vikwazo vya Marekani
Nov 01, 2021 01:19Kazim Gharibabadi Katibu Mkuu wa Ofisi ya Haki za Binadamu ya Iran amemkosoa Javdi Rehman Ripota Maalumu wa Umoja wa Mataifa Kuhusu Hali ya Haki za Binadamu nchini Iran kutokana na kimya chake mkabala wa vikwazo vya kidhalimu vya Marekani dhidi ya Iran.
-
"IAEA ipo katika mashinikizo ya Marekani na utawala wa Kizayuni"
Oct 31, 2021 23:38Mkuu wa Kamati ya Nishati ya Bunge la Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema Wakala wa Kimataifa wa Nishati ya Atomiki (IAEA) upo chini ya mashinikizo makubwa ya Marekani na utawala wa Kizayuni wa Israel.
-
Wanachuo wa Iran waunga mkono kauli ya waziri wa Lebanon dhidi ya Saudia
Oct 31, 2021 23:37Wanafunzi wa Vyuo Vikuu vya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran wametangaza kuunga mkono matamshi ya Waziri wa Habari wa Lebanon, George Kordahi ya kulaani mashambulio ya muungano vamizi wa kijeshi unaoongozwa na Saudi Arabia dhidi ya Yemen.