-
Iran yalaani kushambuliwa wapigakura katika nchi za nje
Jun 19, 2021 08:05Baraza Kuu la Haki za Binadamu la Iran limelaani vikali vitendo vya kushambuliwa na kuhujumiwa raia kadhaa wa Jamhuri ya Kiislamu waliojitokeza kupiga kura jana Ijumaa katika nchi kadhaa za Magharibi.
-
Matokeo ya awali yaonyesha Raeisi ameshinda urais wa Iran, wagombea wote wampongeza
Jun 19, 2021 03:48Matokeo ya awali ya uchaguzi wa Rais na Mabaraza ya Miji na Vijiji nchni Iran yanaonyesha kuwa Seyyed Ebrahim Raeisi amepata ushindi wa kishindo katika kinyang'anyiro cha kuwania kiti cha Rais wa Jamhuri ya Kiislamu.
-
Muda wa upigaji kura nchini Iran waongezwa, matokeo ya awali kutangazwa usiku huu
Jun 18, 2021 12:27Mkuu wa Makao Makuu ya Uchaguzi ya Wizara ya Mambo ya Ndani ya Iran amesema matokeo ya awali ya uchaguzi wa rais unaofanyika kote nchini hii leo yatatolewa usiku huu.
-
Mamilioni ya Wairani washiriki katika uchaguzi wa Rais na Mabaraza ya Miji na Vijiji
Jun 17, 2021 23:04Mamilioni ya Wairani wakiongozwa na Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu Ayatullah Ali Khamenei tangu mapema leo wameelekea kwenye masanduku ya kupigia kura kuchagua Rais wa 13 wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran na wawakilishi wao katika Mabaraza ya Miji na Vijiji.
-
Uchunguzi wa maoni: Raeis anaongoza kwa kuwa na zaidi ya asilimia 68 ya kura
Jun 17, 2021 22:54Uchunguzi wa maoni wa hivi karibuni unaonyesha kuwa mgombea urais Ebrahim Raeisi utashinda kwa kupata asilimi 68.9 ya kura.
-
Usalama umeimarishwa nchini Iran kuelekea uchaguzi mkuu wa kesho
Jun 16, 2021 22:34Vyombo vya dola nchini Iran vimesema kuwa usalama umeimarishwa kote nchini kuelekea Uchaguzi wa Rais wa Jamhuri ya Kiislamu unaofanyika kesho Ijumaa.
-
Wagombea 2 wajiondoa katika kinya'nganyiro cha urais nchini Iran
Jun 16, 2021 07:57Wagombea wawili kati ya saba wa Uchaguzi wa Rais wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran unaotazamiwa kufanyika katika kipindi cha siku mbili zijazo wametangaza kujiondoa kwenye kinyang'anyiro hicho.
-
Jeshi la Majini la Iran lapata meli mbili mpya za kivita zilizoundwa nchini
Jun 14, 2021 08:29Jeshi la Majini la Jamhuri ya Kiislamu ya Iran leo limepokea meli mbili mpya za kivita ambazo zimeundwa kikamilifu hapa nchini.
-
Ulimwengu wa Michezo, Juni 16
Jun 14, 2021 01:35Hujambo mpenzi mwanaspoti natumai huna neno popote pale ulipo. Haya ni baadhi ya matukio yaliyogonga vichwa vya habari viwanjani ndani ya siku saba zilizopita.
-
Balozi: Kenya na Iran kuimarisha uhusiano wao katika uga wa TEHAMA
Jun 13, 2021 21:55Balozi wa Iran nchini Kenya amesema Jamhuri ya Kiislamu iko tayari kuzipa uzoefu wake kampuni za kitaalamu za Kenya, na kuunda jukwaa la kubadilishana mawazo juu ya masuala ya teknolojia.