Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Iran

  • Rais Rouhani: Njia pekee bora ya kuyakurubisha pamoja mataifa ya dunia ni kujiimarisha kielimu na kiutamaduni

    Rais Rouhani: Njia pekee bora ya kuyakurubisha pamoja mataifa ya dunia ni kujiimarisha kielimu na kiutamaduni

    Mar 09, 2021 23:19

    Rais wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema kuwa, njia pekee ya kudumu kwa ajili ya kuyafanya mataifa ya dunia yakurubiane zaidi, ni kujiimarisha kielimu na kiutamaduni.

  • Meja Jenerali Safavi: Iran iko katika kilele cha uwezo wa kujihami angani

    Meja Jenerali Safavi: Iran iko katika kilele cha uwezo wa kujihami angani

    Mar 07, 2021 23:13

    Mshauri wa Ngazi za Juu wa Amiri Jeshi Mkuu wa Majeshi ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema: Iran hivi sasa iko katika kilele cha uwezo wa kujihami hasa katika uga wa angani.

  • Iran kujenga bandari kubwa zaidi ya kibiashara katika Bahari ya Oman

    Iran kujenga bandari kubwa zaidi ya kibiashara katika Bahari ya Oman

    Mar 07, 2021 04:31

    Mkurugenzi Mwandamizi wa Shirika la Bandari na Ubaharia la Jamhuri ya Kiislamu ya Iran ametangaza habari ya kujengwa bandari kubwa zaidi ya kibiashara ya Iran katika Bahari ya Oman na katika eneo la Kuhe Mubarak katika wilaya ya Jask katika mkoa wa Hormozgan, kusini mwa nchi.

  • Rouhani: Iran inalipa kipaumbele suala la Usalama na amani Iraq

    Rouhani: Iran inalipa kipaumbele suala la Usalama na amani Iraq

    Mar 07, 2021 01:17

    Rais Hassan Rouhani wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amefanya mazungumzo na Waziri Mkuu wa Iraq Mustafa al Kadhimi na kusisitiza kuwa, usalama, mshikamano na amani Iraq ni kipaumbele muhimu kwa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran.

  • Jibu la Zarif kwa Sherman; mazungumzo mapya kuhusu mapatano ya JCPOA ni marufuku

    Jibu la Zarif kwa Sherman; mazungumzo mapya kuhusu mapatano ya JCPOA ni marufuku

    Mar 06, 2021 22:56

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran kwa mara nyingine tena amesema kuwa mapatano ya JCPOA hayawezi kujadiliwa upya. Muhammad Javad Zarif ameyasema hayo akijibu ombi la serikali ya Rais Joe Biden wa Marekani la kutaka mazungumza mapya yafanyike kuhusu suala hilo.

  • Arab League yatakiwa iache kutoa taarifa zisizo na msingi

    Arab League yatakiwa iache kutoa taarifa zisizo na msingi

    Mar 06, 2021 04:47

    Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran ameitaka Jumuiya ya Nchi za Kiarabu ijiepushe na tabia yake ya kutoa taarifa zisizo na msingi wowote na badala yake, ikumbatie mambo ambayo yanaweza kuimarisha ushirikiano wa nchi za eneo.

  • Iran yaionya Israel dhidi ya kuchukua hatua yoyote ghalati

    Iran yaionya Israel dhidi ya kuchukua hatua yoyote ghalati

    Mar 06, 2021 04:44

    Balozi na Mwakilishi wa Kudumu wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran katika Umoja wa Mataifa ameutahadharisha utawala wa Kizayuni wa Israel dhidi ya kuchukua hatua yoyote ghalati kwa kisingizio cha mripuko uliotokea katika meli ya utawala huo katika Bahari ya Oman wiki iliyopita.

  • HAMAS: Tuna uhusiano mzuri sana na Jamhuri ya Kiislamu ya Iran

    HAMAS: Tuna uhusiano mzuri sana na Jamhuri ya Kiislamu ya Iran

    Mar 05, 2021 23:25

    Osama Hamdan, mjumbe wa ngazi za juu wa Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina (HAMAS) amesema kuwa, harakati hiyo ina uhusiano mzuri na imara na Jamhuri ya Kiislamu ya Iran.

  • Rais Rouhani: Mapatano ya JCPOA hayalindiki kwa kaulimbiu na maneno, yanahitaji vitendo

    Rais Rouhani: Mapatano ya JCPOA hayalindiki kwa kaulimbiu na maneno, yanahitaji vitendo

    Mar 03, 2021 10:20

    Rais Hassan Rouhani amesema, Jamhuri ya Kiislamu ya Iran inasubiri kuona hatua za kivitendo kuhusiana na makubaliano ya nyuklia na akasisitiza kuwa makubaliano hayo ya JCPOA hayalindiki kwa kaulimbiu na maneno matupu.

  • Rouhani:  Marekani haina budi ila kuipigia Iran magoti

    Rouhani: Marekani haina budi ila kuipigia Iran magoti

    Mar 01, 2021 23:17

    Rais wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema kukiri serikali ya Marekani kuhusu kufeli mashinikizo na vikwazo vyake dhidi ya Iran ni mafanikio makubwa kwa taifa la Iran.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS