-
Zaidi ya wagonjwa milioni 1 na laki 1 na 51,000 wapata afueni ya COVID-19 nchini Iran
Jan 22, 2021 08:22Msemaji wa Wizara ya Afya, Tiba na Mafunzo ya Utabibu ya Iran amesema kuwa, zaidi ya wagonjwa milioni 1 na laki 1 na 51 elfu wa COVID-19 wamepata afueni nchini Iran.
-
Zarif: Trump ametupwa katika jaa la taka za historia, jina la Soleimani litang’ara
Jan 21, 2021 01:14Waziri wa Mambo ya Nje wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran Mohammad Javad Zarif amesema rais aliyeondoka Marekani wa Marekani ametupwa katika jaa la taka za historia.
-
Zarif: Mjumbe wa Iran UN hajazungumza na Marekani
Jan 21, 2021 00:54Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran amesema Balozi na Mwakilishi wa Kudumu wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran katika Umoja wa Mataifa hajafanya mazungumzo yoyote na Marekani kama lilivyodai gazeti moja la Ufaransa.
-
Misimamo ya maafisa wa serikali ya Biden kuhusu Iran; kurudiwa misamiati ile ile ya zamani
Jan 20, 2021 23:40Sherehe za kutawazwa Joseph Robinette Biden Jr. kuwa rais wa 46 wa Marekani zimefanyika katika hali ambayo, Jumanne, tarehe 19 Januari 2021, maafisa wa ngazi za juu wa serikali yake walitumia kikao cha Baraza la Sanate la nchi hiyo kutangaza misimamo yao kuhusu Tehran na masuala yanayohusiana na Jamhuri ya Kiislamu ya Iran.
-
Ishara za mabadiliko katika siasa za kieneo za Saudi Arabia
Jan 19, 2021 23:09Sambamba na kumalizika kipindi cha uongozi wa Donald Trump nchini Marekani, kumedhihirika bayana ishara za mabadiliko katika siasa na sera za kieneo za Saudi Arabia.
-
Qatar yazitaka nchi za Kiarabu za Ghuba ya Uajemi zifanye mazungumzo na Iran
Jan 19, 2021 04:32Waziri wa Mambo ya Nje wa Qatar amezitaka nchi za Kiarabu za eneo la Ghuba ya Uajemi zifanye mazungumzo na Jamhuri ya Kiislamu ya Iran.
-
Jenerali Baqeri: Marekani inaogopa uwezo wa kiulinzi wa Iran
Jan 18, 2021 10:58Kamanda wa Vikosi vya Ulinzi vya Iran amesema harakati na mienendo ya Marekani katika eneo la Asia Magharibi haina thamani yoyote ya kioperesheni, na badala yake inaonesha wazi namna dola hilo la kibeberu linatiwa kiwewe na uwezo mkubwa wa kujihami wa Jamhuri ya Kiislamu.
-
Iran yaitahadharisha Marekani kuhusu ndege za kivita aina ya B-52
Jan 18, 2021 01:19Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran Mohammad Javad Zarif ameashiria uwepo wa ndege za kivita za Marekani aina ya B-52 katika eneo la Asia Magharibi na kuonya kuwa, Iran haitasita kutungua chombo chochote kinachokiuka anga yake.
-
Sheikh Isa Qassim aunga mkono wafungwa wa kisiasa Bahrain
Jan 16, 2021 04:03Kiongozi wa Harakati ya Kiislamu ya Bahrain ametangaza kuwaunga mkono wafungwa wote wa kisiasa na watetezi wa haki za binadamu huku akisema kuwa wako katika nyoyo za Wabahrain na katu hawatasahauliwa.
-
Jumamosi, 16 Januari, 2021
Jan 16, 2021 00:12Leo ni Jumamosi tarehe Pili Mfunguo Tisa Jamadithani 1442 Hijria sawa na tarehe 16 Januari 2021 Miladia.