Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Iran

  • Iran: Saudia imegeuka wakala wa kutekeleza mipango ghalati ya Israel

    Iran: Saudia imegeuka wakala wa kutekeleza mipango ghalati ya Israel

    Jan 15, 2021 11:19

    Msaidizi maalumu wa Spika wa Bunge la Jamhuri ya Kiislamu ya Iran katika masuala ya kimataifa amesema watawala wa Saudi Arabia wamegeuka na kuwa wakala wa kutekeleza sera na mipango ghalati ya utawala haramu wa Israel katika eneo la Asia Magharibi.

  • Israel yatishia kuishambulia Iran iwapo Biden atairejesha US katika JCPOA

    Israel yatishia kuishambulia Iran iwapo Biden atairejesha US katika JCPOA

    Jan 15, 2021 10:34

    Mpambe wa karibu wa Benjamin Netanyahu, Waziri Mkuu wa utawala wa Kizayuni ametishia kuwa huenda Israel ikaishambulia kijeshi Jamhuri ya Kiislamu ya Iran iwapo serikali ijayo ya Marekani itarejea katika makubaliano ya nyuklia ya JCPOA.

  • Iran yavurumisha makombora ya cruise katika mazoezi ya kijeshi baharini

    Iran yavurumisha makombora ya cruise katika mazoezi ya kijeshi baharini

    Jan 15, 2021 01:07

    Jeshi la Majini la Jamhuri ya Kiislamu ya Iran limevurumisha makombora kadhaa ya cruise katika siku ya pili ya mazoezi makubwa ya kijeshi kusini mwa nchi.

  • Ukwamishaji mpya wa Marekani dhidi ya juhudi za Iran za kupambana na virusi vya corona

    Ukwamishaji mpya wa Marekani dhidi ya juhudi za Iran za kupambana na virusi vya corona

    Jan 14, 2021 23:05

    Baada ya kujitoa katika mapatano ya kimataifa ya nyuklia mashuhuri kama JCPOA hapo mnamo Mei 2018, na katika fremu ya kile kinachotajwa kuwa 'mashinikizo ya juu kabisa', Marekani imekuwa ikitekeleza vikwazo vikali zaidi katika historia yake dhidi ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran na wala haijawahi kulegeza vikwazo hivyo vya kinyama hata katika kipindi hiki kigumu cha kuenea duniani virusi hatari vya corona.

  • Rouhani: Ongezeko la wawekezaji wa kigeni Iran ni ishara ya kufeli vikwazo vya Marekani

    Rouhani: Ongezeko la wawekezaji wa kigeni Iran ni ishara ya kufeli vikwazo vya Marekani

    Jan 14, 2021 09:54

    Rais Hassan Rouhani wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema ongezeko la asilimia 56 ya wawekezaji wa kigeni katika maeneo ya biashara huru nchini Iran ni ishara ya kufeli sera za Marekani za ugaidi wa kiuchumi na mashinikizo ya juu kabisa.

  • Marekani yaliwekea vikwazo shirika la Iran linalounda chanjo ya corona

    Marekani yaliwekea vikwazo shirika la Iran linalounda chanjo ya corona

    Jan 14, 2021 09:36

    Marekani imekithirisha uhasama wake dhidi ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran kwa kuliwekea vikwazo shirika la Iran ambalo liko katika mstari wa mbele kuunda chanjo ya corona au COVID-19.

  • Russia yapuuzilia mbali bwabwaja mpya za Marekani dhidi ya Iran

    Russia yapuuzilia mbali bwabwaja mpya za Marekani dhidi ya Iran

    Jan 13, 2021 23:09

    Russia imekosoa vikali madai ya kipropaganda ya Marekani ya kujaribu kulifungamanisha kundi la kigaidi la al-Qaeda na Jamhuri ya Kiislamu ya Iran pasi na kutoa ushahidi wowote.

  • Iran yailaani Marekani kwa kuiweka Cuba katika orodha ya 'waungaji mkono ugaidi'

    Iran yailaani Marekani kwa kuiweka Cuba katika orodha ya 'waungaji mkono ugaidi'

    Jan 13, 2021 04:42

    Jamhuri ya Kiislamu ya Iran imelaani vikali hatua ya Marekani kuiweka Cuba katika orodha ya nchi ambazo eti zinaunga mkono ugaidi. Iran aidha imesema inafungamana na Cuba katika mapamano yake dhidi ya madola ya kibeberu duniani.

  • Meli kubwa zaidi ya kivita iliyoundwa Iran yazinduliwa rasmi

    Meli kubwa zaidi ya kivita iliyoundwa Iran yazinduliwa rasmi

    Jan 13, 2021 04:38

    Jeshi la Majini la Jamhuri ya Kiislamu ya Iran leo limepokea meli yake kubwa zaidi ya kivita ambayo imeundwa nchini Iran. Meli hiyo kubwa ya kivita ambayo imeundwa kikamlifu na wataalamu wa Iran ina uwezo wa kusheheni helikopta kadhaa kwa ajili ya oparehseni muhimu za baharini.

  • Zarif: Kurejea Marekani JCPOA bila vikwazo kuondolewa si kwa maslahi ya Iran

    Zarif: Kurejea Marekani JCPOA bila vikwazo kuondolewa si kwa maslahi ya Iran

    Jan 13, 2021 01:16

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema kurejea Marekani katika mapatano ya nyuklia ya JCPOA bila Iran kuondolewa vikwazo ni kwa maslahi ya Marekani ni wala si kwa maslahi ya Tehran.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS