-
Maktaba ya Imam Khomeini (MA) na sauti-28
Jul 04, 2019 07:01Katika kipindi kilichopita tuliendelea kuzungumzia umuhimu wa kipindi cha ujana na nafasi yake athirifu katika kuilea nafsi na kujirekebisha vijana. Kadhalika tulibainisha kwamba Imam Khomeini (MA) aliwapa usia vijana akiwataka kutumia vizuri neena ya kipindi cha ujana katika kunufaika vizuri na matukufu ya duniani na Akhera.
-
Russia yaunga mkono mazungumzo baina ya Iran na nchi za Kiarabu
Jul 04, 2019 02:58Waziri wa Mambo ya Nje wa Russia amesema kuwa, anaunga mkono na kushajiisha mazungumzo baina ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran na nchi za Kiarabu.
-
Radiamali ya Uingereza kwa hatua ya Iran ya kuzidisha akiba ya urani iliyorutubishwa
Jul 02, 2019 03:47Jeremy Hunt Waziri wa Mambo ya Nje wa Uingereza amedai kuwa nchi hiyo imedhamiria kusaidia utekelezaji mzuri wa makubaliano ya nyuklia ya JCPOA.
-
Maktaba ya Imam Khomeini (MA) na sauti-27
Jul 01, 2019 14:31Ni matumaini yangu kuwa hamjambo wapenzi wasikilizaji popote pale mlipo wakati huu. Ninakukaribisheni tena kusikiliza kipindi hiki cha Katika Maktaba ya Imam Khomeini kinachokujieni kila wiki, siku na saa kama hii, kupitia Idhaa ya Kiswahili Sauti ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran hii kiwa ni sehemu ya 27.
-
Jeshi la Iran liko tayari kumfanya mvamizi alipe gharama kubwa
Jul 01, 2019 08:19Kamanda mwandamizi wa Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu (IRGC) amesema vikosi vya jeshi la Iran havitaki vita lakini daima viko imara kulihami na kulilinda taifa lao kwa gharama yoyote ile.
-
Ulimwengu wa Michezo, Julai Mosi
Jul 01, 2019 02:37Huu ni mkusanyiko wa baadhi ya matukio muhimu ya michezo yaliyojiri ndani ya siku saba zilizopita, kuanzia Michuano ya AFCON hadi Kombe la Dunia kwa Wanawake....
-
Uungaji mkono wa moja kwa moja wa nchi saba za Ulaya kwa JCPOA na kupigwa hatua ya kivitendo
Jun 30, 2019 15:29Umoja wa Ulaya na troika ya Ulaya inayozijumuisha nchi za Ufaransa, Ujerumani na Uingereza kama wanachama wa kundi la 4+1, mara kwa mara zimekuwa zikitangaza uungaji mkono wao kwa mapatano ya nyuklia ya JCPOA.
-
Uungaji mkono wa moja kwa moja wa nchi saba za Ulaya kwa JCPOA na kupigwa hatua ya kivitendo
Jun 30, 2019 06:03Umoja wa Ulaya na troika ya Ulaya inayozijumuisha nchi za Ufaransa, Ujerumani na Uingereza kama wanachama wa kundi la 4+1, mara kwa mara zimekuwa zikitangaza uungaji mkono wao kwa mapatano ya nyuklia ya JCPOA.
-
Balozi wa Iran UN: INSTEX bila mtaji ni sawa na gari zuri bila mafuta
Jun 30, 2019 03:09Balozi na Mwakilishi wa Kudumu wa Iran katika Umoja wa Mataifa amesema mfumo maalumu wa mabadilishano ya fedha kati ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran na Umoja wa Ulaya (INSTEX) ni sawa na gari zuri ambalo halina mafuta.
-
Kikao cha Vienna na 'JCPOA'; udharura wa kuwa huru Ulaya kivitendo
Jun 29, 2019 02:17Sambamba na kukaribia kumalizika kwa muhula wa siku 60 uliotolewa na Iran kwa nchi za Ulaya ili zichukue hatua za kivitendo zenye lengo la kulinda mapatano ya nyuklia ya JCPOA, udiplomasia wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran unafuatilia maslahi yake ya kitaifa bila kujali mashinikizo ya kisiasa na kiuchumi.