Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Iran

  • Mfumo maalumu wa kifedha wa INSTEX waanza kufanya kazi

    Mfumo maalumu wa kifedha wa INSTEX waanza kufanya kazi

    Jun 28, 2019 23:50

    Helga Schmid, Msaidizi wa Mkuu wa Sera za Kigeni wa Umoja wa Ulaya, amesema kuwa mfumo maalumu wa mabadilishano ya fedha kati ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran na Umoja wa Ulaya, tayari umeanza kufanya kazi na hatua ya kwanza ya mabadilishano hayo inaendelea kufanya kazi.

  • Umoja wa Ulaya: Mfumo wa mabadilishano ya fedha na Iran umeanza kutekelezwa

    Umoja wa Ulaya: Mfumo wa mabadilishano ya fedha na Iran umeanza kutekelezwa

    Jun 28, 2019 23:27

    Naibu wa Mkuu wa Siasa za Kigeni wa Umoja wa Ulaya amesema kuwa, mfumo maalumu wa mabadilishano ya fedha baina ya Ulaya na Iran maarufu kwa jina la INSTEX umeshaanza kufanya kazi.

  • Khatibu wa Sala ya Ijumaa Tehran: Umma wa Kiislamu umeshuhudia ushindi mtawalia

    Khatibu wa Sala ya Ijumaa Tehran: Umma wa Kiislamu umeshuhudia ushindi mtawalia

    Jun 28, 2019 11:03

    Khatibu wa Sala ya Ijumaa iliyosaliwa leo Tehran amesema umma wa Kiislamu umeshuhudia mfufulizo wa ushindi na mafanikio licha ya vikwazo visivyo vya kiadilifu vya Marekani.

  • Iran yaitaka Marekani iangamize silaha zake za kemikali

    Iran yaitaka Marekani iangamize silaha zake za kemikali

    Jun 28, 2019 10:34

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran amesema Jamhuri ya Kiislamu ya Iran inaitakidi kuwa, dunia itakuwa pahala salama iwapo Marekani itaangamiza silaha zake hatari za kemikali.

  • Ijumaa tarehe 28 Juni 2019

    Ijumaa tarehe 28 Juni 2019

    Jun 27, 2019 23:11

    Leo ni Ijumaa tarehe 24 Shawwal 1440 Hijria sawa na Juni 28 mwaka 2019

  • Amir Abdollahian: Njia pekee ya kuokoka Trump ni kubadilika mbele ya mantiki madhubuti ya Kiongozi Muadhamu wa Iran

    Amir Abdollahian: Njia pekee ya kuokoka Trump ni kubadilika mbele ya mantiki madhubuti ya Kiongozi Muadhamu wa Iran

    Jun 27, 2019 08:15

    Mkurugenzi Mkuu wa Masuala ya Kimataifa wa Majlisi ya Ushauri ya Kiislamu (Bunge la Iran) amesema kuwa, njia pekee ya kuweza kuokoka rais wa Marekani, Donald Trump ni kubadilisha mienendo yake mbele ya mantiki madhubuti ya Kiongozi Muadhamu na taifa kubwa la Iran.

  • Alkhamisi, 27 Juni,  2019

    Alkhamisi, 27 Juni, 2019

    Jun 26, 2019 21:54

    Leo ni Alkhamisi tarehe 23 Shawwal 1440 Hijria sawa na tarehe 27 Juni mwaka 2019.

  • Misimamo ya kimasharti ya troika ya Ulaya kuhusu JCPOA

    Misimamo ya kimasharti ya troika ya Ulaya kuhusu JCPOA

    Jun 26, 2019 02:17

    Huku muda uliowekwa na Iran wa kuongeza kiwango cha kutochunga ahadi zake ndani ya mapatano ya nyuklia ya JCPOA kutokana na upande wa pili wa mapatano hayo kutotekeleza kabisa ahadi zao ukikaribia, troika ya Ulaya yaani nchi tatu za Ujerumani, Ufaransa na Uingereza zimeanzisha harakati za kidiplomasia na kipropaganda za kujaribu kuizuia Iran isichukue hatua zaidi za kupunguza utekelezaji wa ahadi zake.

  • Rais wa Iraq: Hatutairuhusu Marekani itumie ardhi yetu kuishambulia Iran

    Rais wa Iraq: Hatutairuhusu Marekani itumie ardhi yetu kuishambulia Iran

    Jun 26, 2019 02:11

    Rais Barham Salih wa Iraq amesema katu nchi hiyo ya Kiarabu haitairuhusu Marekani itumie ardhi yake kuanzisha shambulizi lolote la kijeshi dhidi ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran.

  • Rouhani: Iran itatoa jibu mwafaka iwapo anga yake itahujumiwa tena

    Rouhani: Iran itatoa jibu mwafaka iwapo anga yake itahujumiwa tena

    Jun 25, 2019 22:54

    Rais Hassan Rouhani wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema Tehran haifuatilii kuingia vitani na Marekani lakini itatoa jibu mwafaka iwapo anga yake itahujumiwa tena na Marekani.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS