-
Rais Rouhani asaini sheria ya kuitambua CENTCOM ya Marekani kuwa kundi la kigaidi
Apr 30, 2019 22:41Rais Hassan Rouhani wa Iran amesaini kuwa sheria, muswada wa kuwatambua wanajeshi wote wa Marekani katika eneo la Asia Magharibi (CENTCOM) na vikosi vyote vinavyofungamana nao kuwa kundi la kigaidi.
-
Jumatano, Mosi Mei, 2019
Apr 30, 2019 21:59Leo ni Jumatano tarehe 25 Sha'aban 1440 Hijria, ambayo inasadifiana na tarehe Mosi Mei 2019 Miladia.
-
Pompeo atoa vitisho dhidi ya wanunuzi wa mafuta ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran
Apr 30, 2019 02:47Kufuatia radiamali hasi ya kimataifa kuhusiana na vikwazo vipya vya mafuta vya Marekani dhidi ya Iran, Waziri wa Mambo ya Nje wa nchi hiyo kwa mara nyingine tena amewatishia wanunuzi wa mafuta ya nchi hii.
-
Jumanne, 30 Aprili, 2019
Apr 29, 2019 23:39Leo ni Jumanne tarehe 24 Sha'aban 1440 Hijria mwafaka na tarehe 30 Aprili 2019 Miladia.
-
IMF: Vikwazo vya Marekani dhidi ya Iran vinavuruga ukuaji wa uchumi katika eneo
Apr 29, 2019 02:24Mfuko wa Fedha Duniani (IMF) umesema vikwazo vya Marekani dhidi ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran vimedumaza ukuaji wa uchumi katika eneo la Asia Magharibi.
-
Marekani ni hatari kubwa kwa mustakbali wa dunia
Apr 29, 2019 02:01Mwanafikra wa Kiislamu kutoka visiwa vya Komoro amesema kuwa Marekai imehatarisha usalama wa dunia kutokana na siasa zake mbovu za kuingilia mara kwa mara mambo ya ndani ya nchi nyingine.
-
Ulimwengu wa Michezo, Apr 29
Apr 29, 2019 00:59Huu ni mkusanyiko wa matukio muhimu ya michezo yaliyojiri ndani ya siku saba zilizopita, kitaifa na kimataifa.....
-
Jumapili, tarehe 28, 2019
Apr 28, 2019 23:46Leo ni Jumapili tarehe 22 Sha'ban 1440 Hijiria, sawa na tarehe 28 Aprili 2019 Miladia.
-
"Iran ni mpiganiaji mkubwa wa umoja wa nchi za Kiislamu"
Apr 28, 2019 11:37Mtaalamu mmoja wa ulimwengu wa Kiislamu kutoka Nigeria amesema kuwa, Jamhuri ya Kiislamu ya Iran daima iko mstari wa mbele katika kupigania umoja na mshikamano baina ya nchi za Kiislamu.
-
Kongamano la Mustakabali wa Ulimwengu wa Kiislamu laanza Tehran
Apr 28, 2019 02:40Kongamano la Mustakabali wa Ulimwengu wa Kiislamu katika Dira ya Mwaka 2035 limeng'oa nanga hii leo hapa katika mji mkuu wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran, Tehran, kwa kuwaleta pamoja wanazuoni na wajumbe kutoka nchi mbalimbali duniani.