Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Iran

  • Iran yaweka rekodi ya ongezeko la wanafunzi wengi wa kigeni katika vyuo vikuu

    Iran yaweka rekodi ya ongezeko la wanafunzi wengi wa kigeni katika vyuo vikuu

    Dec 04, 2018 10:09

    Shirika la Sayansi, Elimu na Utamaduni la Umoja wa Mataifa (UNESCO) limeitangaza kuwa, Iran inashikilia rekodi ya ustawi na kukua idadi ya wanafunzi wa kigeni wanaopata elimu katika vyuo vyake vikuu.

  • Jumanne, Disemba 4, 2018

    Jumanne, Disemba 4, 2018

    Dec 03, 2018 23:37

    Leo ni Jumanne tarehe 26 Mfunguo Sita Rabiul Awwal 1440 Hijria inayosadifiana na Disemba 4 mwaka 2018 Milaadia.

  • Ulimwengu wa Spoti, Disemba 3

    Ulimwengu wa Spoti, Disemba 3

    Dec 03, 2018 03:21

    Haya ni baadhi ya matukio ya spoti yaliyogonga vichwa vya habari ndani ya siku saba zilizopita, kitaifa na kimataifa....

  • Waziri wa Mambo ya Nje wa Yemen: Marekani ndiyo mhusika wa mauaji ya raia na kuharibiwa nchi yetu

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Yemen: Marekani ndiyo mhusika wa mauaji ya raia na kuharibiwa nchi yetu

    Dec 02, 2018 12:16

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Yemen amesisitiza kuwa Marekani imesababisha mauaji ya halaiki ya wananchi wa Yemen, kuharibiwa nchi hiyo na kujiri maafa mabaya zaidi ya kibinadamu kuwahi kushuhudiwa duniani hii leo.

  • Iran yazindua manowari mpya ya kisasa katika Ghuba ya Uajemi

    Iran yazindua manowari mpya ya kisasa katika Ghuba ya Uajemi

    Dec 01, 2018 04:40

    Jeshi la Wanamaji la Jamhuri ya Kiislamu ya Iran limezindua manowari mpya ya kisasa yenye uwezo mkubwa wa kuvurumisha makombora.

  • Jumamosi, Mosi Disemba, 2018

    Jumamosi, Mosi Disemba, 2018

    Nov 30, 2018 23:07

    Leo ni Jumamosi tarehe 23 Mfunguo Sita Rabiul Awwal 1440 Hijria inayosadifiana na tarehe Mosi Disemba 2018 Miladia.

  • Sisitizo la EU la kuhifadhiwa ushirikiano wake wa kiuchumi na Iran

    Sisitizo la EU la kuhifadhiwa ushirikiano wake wa kiuchumi na Iran

    Nov 30, 2018 03:57

    Umoja wa Ulaya mara kwa mara umekuwa ukisisitizia haja ya kuimarishwa uhusiano wake na Jamhuri ya Kiislamu ya Iran na sababu kuu ni nafasi muhimu na bora ya Iran katika eneo la Mashariki ya Kati ikiwa ni pamoja na nafasi yake bora katika upande wa jiopolitiki, kisiasa, kiuchumi na kinishati. Jambo jingine linalopewa umuhimu na Umoja wa Ulaya ni kulinda mapatano ya nyukilia ya JCPOA.

  • Iran na Uturuki zahimiza kufanikishwa biashara ya dola bilioni 30 baina yao

    Iran na Uturuki zahimiza kufanikishwa biashara ya dola bilioni 30 baina yao

    Nov 30, 2018 01:03

    Maspika wa mabunge ya Iran na Uturuki wamesisitizia haja ya kufanikishwa biashara ya dola bilioni 30 baina ya nchi zao.

  • Uwezo wa Jeshi la Majini la Iran kwa mtazamo wa Kiongozi Muadhamu

    Uwezo wa Jeshi la Majini la Iran kwa mtazamo wa Kiongozi Muadhamu

    Nov 29, 2018 03:45

    Ayatullah Khamenei, Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu ambaye pia ni Amiri Jeshi Mkuu wa vikosi vyote vya ulinzi vya Iran jana alikutana na makamanda na wakuu wa Jeshi la Majini la Jamhuri ya Kiislamu ya Iran na kusema kumepatikana mafanikio makubwa katika Jeshi la Iran hasa jeshi la majini tokea mwanzo wa Mapinduzi ya Kiislamu hadi sasa.

  • Amiri Jeshi Mkuu: Jizatitini muwafanye maadui wasithubutu hata kutoa vitisho dhidi ya taifa la Iran

    Amiri Jeshi Mkuu: Jizatitini muwafanye maadui wasithubutu hata kutoa vitisho dhidi ya taifa la Iran

    Nov 28, 2018 13:07

    Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu ambaye pia ni Amiri Jeshi Mkuu wa vikosi vyote vya ulinzi Ayatullah Sayyed Ali Khamenei leo amekutana na makamanda na wakuu wa jeshi la wanamaji la Jamhuri ya Kiislamu ya Iran kwa mnasaba wa Siku ya Jeshi la Wanamaji.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS