-
Iran yaweka rekodi ya ongezeko la wanafunzi wengi wa kigeni katika vyuo vikuu
Dec 04, 2018 10:09Shirika la Sayansi, Elimu na Utamaduni la Umoja wa Mataifa (UNESCO) limeitangaza kuwa, Iran inashikilia rekodi ya ustawi na kukua idadi ya wanafunzi wa kigeni wanaopata elimu katika vyuo vyake vikuu.
-
Jumanne, Disemba 4, 2018
Dec 03, 2018 23:37Leo ni Jumanne tarehe 26 Mfunguo Sita Rabiul Awwal 1440 Hijria inayosadifiana na Disemba 4 mwaka 2018 Milaadia.
-
Ulimwengu wa Spoti, Disemba 3
Dec 03, 2018 03:21Haya ni baadhi ya matukio ya spoti yaliyogonga vichwa vya habari ndani ya siku saba zilizopita, kitaifa na kimataifa....
-
Waziri wa Mambo ya Nje wa Yemen: Marekani ndiyo mhusika wa mauaji ya raia na kuharibiwa nchi yetu
Dec 02, 2018 12:16Waziri wa Mambo ya Nje wa Yemen amesisitiza kuwa Marekani imesababisha mauaji ya halaiki ya wananchi wa Yemen, kuharibiwa nchi hiyo na kujiri maafa mabaya zaidi ya kibinadamu kuwahi kushuhudiwa duniani hii leo.
-
Iran yazindua manowari mpya ya kisasa katika Ghuba ya Uajemi
Dec 01, 2018 04:40Jeshi la Wanamaji la Jamhuri ya Kiislamu ya Iran limezindua manowari mpya ya kisasa yenye uwezo mkubwa wa kuvurumisha makombora.
-
Jumamosi, Mosi Disemba, 2018
Nov 30, 2018 23:07Leo ni Jumamosi tarehe 23 Mfunguo Sita Rabiul Awwal 1440 Hijria inayosadifiana na tarehe Mosi Disemba 2018 Miladia.
-
Sisitizo la EU la kuhifadhiwa ushirikiano wake wa kiuchumi na Iran
Nov 30, 2018 03:57Umoja wa Ulaya mara kwa mara umekuwa ukisisitizia haja ya kuimarishwa uhusiano wake na Jamhuri ya Kiislamu ya Iran na sababu kuu ni nafasi muhimu na bora ya Iran katika eneo la Mashariki ya Kati ikiwa ni pamoja na nafasi yake bora katika upande wa jiopolitiki, kisiasa, kiuchumi na kinishati. Jambo jingine linalopewa umuhimu na Umoja wa Ulaya ni kulinda mapatano ya nyukilia ya JCPOA.
-
Iran na Uturuki zahimiza kufanikishwa biashara ya dola bilioni 30 baina yao
Nov 30, 2018 01:03Maspika wa mabunge ya Iran na Uturuki wamesisitizia haja ya kufanikishwa biashara ya dola bilioni 30 baina ya nchi zao.
-
Uwezo wa Jeshi la Majini la Iran kwa mtazamo wa Kiongozi Muadhamu
Nov 29, 2018 03:45Ayatullah Khamenei, Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu ambaye pia ni Amiri Jeshi Mkuu wa vikosi vyote vya ulinzi vya Iran jana alikutana na makamanda na wakuu wa Jeshi la Majini la Jamhuri ya Kiislamu ya Iran na kusema kumepatikana mafanikio makubwa katika Jeshi la Iran hasa jeshi la majini tokea mwanzo wa Mapinduzi ya Kiislamu hadi sasa.
-
Amiri Jeshi Mkuu: Jizatitini muwafanye maadui wasithubutu hata kutoa vitisho dhidi ya taifa la Iran
Nov 28, 2018 13:07Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu ambaye pia ni Amiri Jeshi Mkuu wa vikosi vyote vya ulinzi Ayatullah Sayyed Ali Khamenei leo amekutana na makamanda na wakuu wa jeshi la wanamaji la Jamhuri ya Kiislamu ya Iran kwa mnasaba wa Siku ya Jeshi la Wanamaji.