Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Iran

  • Zarif: Vikwazo vya Marekani havitaiburuza mezani Iran

    Zarif: Vikwazo vya Marekani havitaiburuza mezani Iran

    Nov 20, 2018 04:36

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema vikwazo vya kidhalmu vya Marekani katu haviwezi kuilazimisha Tehran iende kwenye meza ya mazungumzo wala kuifanya isalimu amri mbele ya matakwa ya Washington.

  • Mogherini ahimiza kutekelezwa haraka njia mpya ya mabidilishano ya fedha baina ya Iran na Ulaya

    Mogherini ahimiza kutekelezwa haraka njia mpya ya mabidilishano ya fedha baina ya Iran na Ulaya

    Nov 20, 2018 00:17

    Mkuu wa Sera za Kigeni wa Umoja wa Ulaya amesema kuwa, kuna udharura wa kuanza kutekelezwa haraka njia mpya ya mabadilisho ya fedha baina ya Iran na Umoja wa Ulaya.

  • Rais Rouhani: Iran haitasalimu amri mbele ya Marekani

    Rais Rouhani: Iran haitasalimu amri mbele ya Marekani

    Nov 19, 2018 12:25

    Rais Hassan Rouhani wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema kuwa, taifa hili litabakia kuwa huru na lenye mamlaka yake na katu halitasalimu amri mbele ya Marekani.

  • Mawaziri wa Mambo ya Nje wa Iran na Uingereza wakutana mjini Tehran

    Mawaziri wa Mambo ya Nje wa Iran na Uingereza wakutana mjini Tehran

    Nov 19, 2018 12:03

    Mawaziri wa Mashauri ya Kigeni wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran na Uingereza leo wamekutana na kufanya mazungumzo hapa mjini Tehran kuhusiana na masuala muhimu ya kieneo ukiwemo ulazima wa kuharakishwa kuhitimishwa vita nchini Yemen pamoja na matukio yanayojiri sasa katika Mashariki ya Kati.

  • Ulimwengu wa Michezo, Nov 19

    Ulimwengu wa Michezo, Nov 19

    Nov 19, 2018 05:45

    Haya ni baadhi ya matukio ya spoti yaliyogonga vichwa vya habari ndani ya siku saba zilizopita, kitaifa na kimataifa....

  • Waziri wa Mambo ya Nje wa Uingereza awasili Tehran

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Uingereza awasili Tehran

    Nov 19, 2018 04:12

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Uingereza amewasili Tehran kwa ajili ya mazungumzo na Waziri mwenzake wa Mambo ya Nje wa Iran na baadhi ya viongozi wa ngazi za juu wa nchi hii huku akiongoza ujumbe wa kisiasa wa nchi yake.

  • Abdollahian: Muqawama wa Wapalestina umewavunja moyo Wazayuni

    Abdollahian: Muqawama wa Wapalestina umewavunja moyo Wazayuni

    Nov 19, 2018 00:45

    Msaidizi maalumu wa Spika wa Bunge la Jamhuri ya Kiislamu ya Iran katika masuala ya kimataifa amesema Waziri Mkuu wa utawala haramu wa Israel, Benjamin Netanyahu yuko katika ncha ya kuanguka, na kwamba muqawama wa Wapalestina umewavunja moyo Wazayuni.

  • Rais Rouhani ampokea rasmi Rais wa Iraq mjini Tehran

    Rais Rouhani ampokea rasmi Rais wa Iraq mjini Tehran

    Nov 17, 2018 04:37

    Rais Hassan Rouhani wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran mapema leo amempokea rasmi mwenzake wa Iraq, Barham Salih katika makao makuu yake ya Saadabad mjini Tehran.

  • Ayatullah Kashani: Wanaounga mkono jinai za Saudia na Wazayuni wana sura za kuogofya

    Ayatullah Kashani: Wanaounga mkono jinai za Saudia na Wazayuni wana sura za kuogofya

    Nov 16, 2018 11:27

    Khatibu wa Swala ya Ijumaa iliyoswaliwa leo hapa mjini Tehran amesema kuwa, nchi ambazo zinazipa himaya na kuunga mkono jinai zinazofanywa na Saudi Arabia na utawala wa Kizayuni wa Israel ndizo nchi zenye sura za kutisha zaidi duniani.

  • Nchi 98 zapinga muswada wa haki za binaadamu ulioandaliwa na Canada dhidi ya Iran

    Nchi 98 zapinga muswada wa haki za binaadamu ulioandaliwa na Canada dhidi ya Iran

    Nov 16, 2018 01:14

    Kamati ya tatu ya Baraza Kuu la Umoja wa Mataifa iliyokuwa imewasilisha muswada wa haki binaadamu dhidi ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran, imeshindwa kuzikinaisha nchi 98 wanachama wa baraza hilo kuupigia kura ya ndio muswada huo.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS