Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Iran

  • EU: Makubaliano ya nyuklia ya Iran hayana chaguo jengine mbadala

    EU: Makubaliano ya nyuklia ya Iran hayana chaguo jengine mbadala

    Nov 15, 2018 04:34

    Kamishna wa Umoja wa Ulaya wa Uadilifu, amesema hakuna chaguo jengine lolote mbadala na lenye itibari kwa ajili ya makubaliano ya nyuklia ya Iran, JCPOA.

  • Rwanda yasisitiza kuimarisha uhusiano na Iran

    Rwanda yasisitiza kuimarisha uhusiano na Iran

    Nov 15, 2018 00:02

    Waziri mpya wa Mambo ya Nje wa Rwanda, Richard Sezibera amepongeza uhusiano mzuri wa pande mbili kati ya nchi yake na Jamhuri ya Kiislamu ya Iran na kusisitizia umuhimu wa kupanuliwa uhusiano huo katika nyuga mbalimbali.

  • Rais Rouhani: Vikwazo havina athari yoyote kwa uuzaji mafuta ya Iran

    Rais Rouhani: Vikwazo havina athari yoyote kwa uuzaji mafuta ya Iran

    Nov 14, 2018 12:41

    Rais Hassan Rouhani amesema: Vikwazo batili na vya kidhalimu vya Marekani havina athari yoyote kwa uuzaji mafuta ya Iran.

  • Kongo na Iran kuimarisha ushirikiano wao katika uga wa habari

    Kongo na Iran kuimarisha ushirikiano wao katika uga wa habari

    Nov 13, 2018 11:06

    Mkuu wa shirika rasmi la habari la Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo ameipongeza Jamhuri ya Kiislamu ya Iran kwa kupiga hatua za maendeleo katika nyuga mbalimbali ikiwemo sekta ya uandishi wa habari, huku akitoa mwito wa kuimarishwa ushirikiano wa pande mbili katika uga huo.

  • Zarif: Iran inajua mpango wa Saudia wa kufanya mauaji ya kigaidi dhidi ya maafisa wa ngazi za juu wa Iran

    Zarif: Iran inajua mpango wa Saudia wa kufanya mauaji ya kigaidi dhidi ya maafisa wa ngazi za juu wa Iran

    Nov 13, 2018 04:53

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema kuwa Iran ikuwa na habari kuhusu mpango wa utawala wa kifalme wa Saudi Arabia wa kutaka kufanya mauaji ya kigaidi dhidi ya baadhi ya maafisa wa ngazi za juu wa Jamhuri ya Kiislamu.

  • IAEA yathibitisha kwa mara ya 13: Iran inatekeleza kikamilifu JCPOA

    IAEA yathibitisha kwa mara ya 13: Iran inatekeleza kikamilifu JCPOA

    Nov 13, 2018 00:29

    Wakala wa Kimataifa wa Nishati ya Atomiki umetoa ripoti yake mpya ya msimu na kuthibitisha kwa mara ya 13 kuwa Iran ingali inatekeleza ahadi na majukumu yake yote katika makubaliano ya nyuklia ya JCPOA.

  • Mkutano wa Shirika la UN la Utalii wafanyika Iran

    Mkutano wa Shirika la UN la Utalii wafanyika Iran

    Nov 12, 2018 23:22

    Mkutano wa 40 Wanachama wa Shirika la Umoja wa Mataifa la Utalii duniani (UNWTO) ulianza Jumapili katika mji wa Hamedan magharibi mwa Iran.

  • Jeshi la Iran kulinda meli za mafuta baada ya vitisho vya Marekani

    Jeshi la Iran kulinda meli za mafuta baada ya vitisho vya Marekani

    Nov 12, 2018 11:42

    Jeshi la Jamhuri ya Kiislamu ya Iran limetangaza azma yake ya kulinda meli za mafuta za nchi hii kutokana na vitisho vya Marekani vya kuzizuia.

  • Ufaransa yasisitiza kuheshimu makubaliano ya nyuklia ya JCPOA

    Ufaransa yasisitiza kuheshimu makubaliano ya nyuklia ya JCPOA

    Nov 12, 2018 04:07

    Waziri wa Ufaransa anayehusika na masuala ya Ulaya amesisitiza kuwa Paris inaheshimu na kufungamana na Makubaliano ya Nyuklia ya Mpango Kamili wa Pamoja wa Utekelezaji yaani JCPOA.

  • Matukio ya Spoti, Nov 12

    Matukio ya Spoti, Nov 12

    Nov 12, 2018 03:55

    Ufuatao ni ni mkusanyiko wa matukio muhimu ya spoti yaliyojiri duniani ndani ya siku saba zilizopita, likiwemo Debi la Machester

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS