-
Jumatatu tarehe 11 Juni 2018
Jun 10, 2018 22:13Leo ni Jumatatu tarehe 26 Ramadhani 1439 Hijria sawa na 11 Juni 2018
-
Iran: Nchi za Kiislamu zinapaswa kuungana kulihami taifa linalodhulumiwa la Palestina
Jun 10, 2018 03:23Balozi wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran nchini Uturuki amesema, nchi za Waislamu na mataifa huru duniani yanapaswa kuwa kitu kimoja katika kulihami na kuliunga mkono taifa linalodhulumiwa la Palestina.
-
Safari ya Rais Rouhani nchini China, fursa ya kuimarisha uhusiano wa kistratijia wa pande mbili na pande kadhaa
Jun 10, 2018 02:39Hassan Rouhani Rais wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran yuko nchini China kushriki katika kikao cha viongozi wa nchi wanachama wa Jumuiya ya Ushirkiano ya Shanghai (SCO)
-
Mabunge ya Iran na Kodivaa kuimarisha uhusiano baina yao
Jun 09, 2018 12:40Balozi wa Iran nchini Ivory Coast ameonana na Spika wa Bunge la Senate la nchi hiyo na kujadiliana naye njia za kuimarishwa uhusiano baina ya mabunge ya nchi hizi mbili.
-
Vikwazo vya Marekani dhidi ya Iran ni sawa na 'ugaidi wa kiuchumi'
Jun 09, 2018 06:44Kurejesha vikwazo vya miaka ya nyuma na wakati huo huo kuongeza vikwazo vipya kwa lengo la kushadidisha vita vya kiuchumi dhidi ya Iran ni kati ya sera zisizobadilika za Marekani. Sera hizi si jingine ila ni ugaidi wa kiuchumi.
-
Dunia yaadhimisha maandamano ya kimataifa ya Siku ya Quds katika kuwaunga mkono Wapalestina
Jun 08, 2018 09:32Walimwengu wameitikia mwito wa Siku ya Kimataifa ya Quds uliotolewa na Imamu Khomeini (MA) Mwasisi wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran katika kuwaunga mkono raia madhlumu wa Palestina.
-
Velayati: Muqawama wa Palestina umeidhoofisha mno Israel
Jun 08, 2018 02:57Mshauri wa Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu katika masuala ya kimataifa amesema harakati za muqawama wa Palestina zimeudhoofisha utawala wa Kizayuni, na kuandaa mazingira ya kupata ushindi mkubwa dhidi ya Tel Aviv.
-
Madola matatu makuu ya Ulaya yaitahadharisha Marekani na matokeo hasi endapo Iran itajitoa kwenye JCPOA
Jun 06, 2018 22:48Mawaziri wa Mambo ya Nje wa na wa Fedha wa Ujerumani, Uingereza na Ufaransa wamewaandikia barua mawaziri wenzao wa Marekani wakieleza wasiwasi walionao juu ya uwezekano wa Iran kujitoa kwenye makubaliano ya nyuklia na matokeo hasi ya hatua hiyo.
-
Hatua shtukizi na za kivitendo za Iran za kuleta mlingano katika JCPOA
Jun 06, 2018 09:23Uamuzi mpya uliotangazwa na Iran wa kustawisha shughuli zake za nyuklia kufuatia agizo lililotolewa na Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu umeonyesha kuwa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran haiwezi kutiwa shemere na kuburuzwa katika makubaliano ya nyuklia ya JCPOA, bali hatamu za kuamua nini la kufanya ziko mikononi mwake.
-
EU: Hatua ya Iran ya kuimarisha urutubishaji urani haikiuki JCPOA
Jun 06, 2018 03:03Umoja wa Ulaya umesema tathmini yake ya mwanzo inaashiria kuwa mpango wa Iran wa kuimarisha urutubishaji urani hadi kufikia kiwango cha SWU 190,000 haukinzani na makubaliano ya nyuklia ya JCPOA.