Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Iran

  • Madola matatu makuu ya Ulaya yaitahadharisha Marekani na matokeo hasi endapo Iran itajitoa kwenye JCPOA

    Madola matatu makuu ya Ulaya yaitahadharisha Marekani na matokeo hasi endapo Iran itajitoa kwenye JCPOA

    Jun 06, 2018 22:48

    Mawaziri wa Mambo ya Nje wa na wa Fedha wa Ujerumani, Uingereza na Ufaransa wamewaandikia barua mawaziri wenzao wa Marekani wakieleza wasiwasi walionao juu ya uwezekano wa Iran kujitoa kwenye makubaliano ya nyuklia na matokeo hasi ya hatua hiyo.

  • Hatua shtukizi na za kivitendo za Iran za kuleta mlingano katika JCPOA

    Hatua shtukizi na za kivitendo za Iran za kuleta mlingano katika JCPOA

    Jun 06, 2018 09:23

    Uamuzi mpya uliotangazwa na Iran wa kustawisha shughuli zake za nyuklia kufuatia agizo lililotolewa na Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu umeonyesha kuwa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran haiwezi kutiwa shemere na kuburuzwa katika makubaliano ya nyuklia ya JCPOA, bali hatamu za kuamua nini la kufanya ziko mikononi mwake.

  • EU: Hatua ya Iran ya kuimarisha urutubishaji urani haikiuki JCPOA

    EU: Hatua ya Iran ya kuimarisha urutubishaji urani haikiuki JCPOA

    Jun 06, 2018 03:03

    Umoja wa Ulaya umesema tathmini yake ya mwanzo inaashiria kuwa mpango wa Iran wa kuimarisha urutubishaji urani hadi kufikia kiwango cha SWU 190,000 haukinzani na makubaliano ya nyuklia ya JCPOA.

  • Amano asisitiza tena kuwa Iran imeshikamana kikamilifu na mapatano ya JCPOA

    Amano asisitiza tena kuwa Iran imeshikamana kikamilifu na mapatano ya JCPOA

    Jun 04, 2018 22:37

    Mkurugenzi Mkuu wa Wakala wa Kimataifa wa Nishati ya Atomiki IAEA kwa mara nyingine tena amesisitiza kuwa, kwa mujibu wa ripoti ya karibuni kabisa ya wakala huo, Iran imeshikamana kikamilifu na mapatano ya nyuklia ya JCPOA.

  • Kiongozi Muadhamu: Ndoto ya maadui kuhusu JCPOA kamwe haitoaguliwa

    Kiongozi Muadhamu: Ndoto ya maadui kuhusu JCPOA kamwe haitoaguliwa

    Jun 04, 2018 12:13

    Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu amesema kuwa ndoto waliyo nayo maadui kuhusu mapatano ya nyuklia ya JCPOA kamwe haitotimia. Amesema hayo leo katika kumbukumbu za mwaka wa 29 wa kufariki dunia Imam Khomeini MA, mwasisi wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran na huku akigusia mazungumzo ya nchi za Ulaya na Iran kuhusu mapatano ya hayo ya nyuklia amesema, taifa na serikali ya Iran haiwezi kukubaliana na vikwazo vya nyuklia na kwamba njozi ya maadui kuhusu JCPOA haitaaguliwa kwamwe.

  • Iran na Kongo DR, wahanga wa propaganda za vyombo vya habari

    Iran na Kongo DR, wahanga wa propaganda za vyombo vya habari

    Jun 04, 2018 10:15

    Mkurugenzi Mkuu wa Wakala wa Vyombo vya Habari katika Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo (ACP) ametoa mwito wa kuimarishwa uhusiano wa nchi yake na Jamhuri ya Kiislamu ya Iran katika kupambana na propaganda za maadui dhidi ya nchi mbili hizo.

  • Kufanyika amali za Lelatul Qadr nchini Iran

    Kufanyika amali za Lelatul Qadr nchini Iran

    Jun 04, 2018 03:23

    Amali za usiku mtukufu wa kwanza wa Lelatul Qadr zimefanyika katika pembe zote za Jamhuri ya Kiislamu ya Iran ambapo umati mkubwa wa waumini umeshiriki ibada za usiku huu mtukufu.

  • Mkuu wa shirika la IRIB: Vikwazo vya Marekani dhidi ya shirika hili vimeonyesha nchi hiyo inaelekea kusambaratika

    Mkuu wa shirika la IRIB: Vikwazo vya Marekani dhidi ya shirika hili vimeonyesha nchi hiyo inaelekea kusambaratika

    Jun 04, 2018 01:18

    Mkuu wa Shirika la Utangazaji la Jamhuri ya Kiislamu ya Iran, Abdulali Ali-Asgari ameelezea vikwazo vya Marekani dhidi ya shirika hili na kusema kuwa, hatua hiyo inabainisha kukaribia kusambaratika nchi hiyo ya kibeberu.

  • Rais Rouhani apongeza umoja wa kidini nchini Iran

    Rais Rouhani apongeza umoja wa kidini nchini Iran

    Jun 03, 2018 03:37

    Rais Hassan Rouhani wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amepongeza umoja miongoni mwa dini na madhehebu mbalimbali hapa nchini akisisitiza kuwa serikali yake imeazimia kulinda haki za jamii zote.

  • Meja Jenerali Baqeri: Jibu la Jeshi la Iran kwa chokochoko za adui litakuwa zito na la haraka

    Meja Jenerali Baqeri: Jibu la Jeshi la Iran kwa chokochoko za adui litakuwa zito na la haraka

    Jun 03, 2018 03:03

    Mkuu wa Vikosi vya Ulinzi vya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema tishio au hatua yoyote ya kujaribu kuivamia Iran itapata jibu kali na la haraka mno.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS