-
NATO: Hatutaipa himaya Israel iwapo itashambuliwa na Iran
Jun 03, 2018 02:54Muungano wa Kijeshi wa Nchi za Magharibi (NATO) umesema hautaupa himaya utawala haramu wa Israel iwapo utashambuliwa na Jamhuri ya Kiislamu ya Iran.
-
Jumapili, Juni 3, 2018
Jun 02, 2018 22:08Leo ni Jumapili tarehe 18 Ramadhan mwaka 1439 Hijiria, inayosadifiana na tarehe 3 Juni 2018 Miladia.
-
Walid Muallem: Madai ya Israel kwamba Iran ina kambi za kijeshi nchini Syria, ni uongo mkubwa
Jun 02, 2018 09:25Waziri wa Mambo ya Nje wa Syria Walid Muallem, amesema kuwa washauri wa kijeshi wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran walioko Syria waliingia nchi hiyo kwa mwaliko maalumu wa serikali ya nchi hiyo na uwepo wao huo ni wa kisheria.
-
Iran: Hatutairuhusu Israel iufanye mwanasesere usalama wetu
Jun 02, 2018 03:32Mshauri wa Masuala ya Kimataifa wa Spika wa Majlisi ya Ushauri ya Kiislamu (Bunge la Iran) amesema katu Jamhuri ya Kiislamu ya Iran haitouruhusu utawala wa Kizayuni wa Israel kuufanya mwanasesere usalama wake.
-
Umoja wa Ulaya wapiga hatua katika kulinda biashara na Iran
Jun 01, 2018 09:33Waziri wa Mambo ya Nje wa Ufaransa Jean-Yves Le Drian amesema Umoja wa Ulaya umepiga hatua katika kuyalinda mashirika ya kibiasahra ya umoja huo ili yasilengwe kwa vikwazo vya Marekani kutokana na kufanya biashara na Iran. Hata hivyo amesema hatua zilizochukuliwa bado hazitoshi.
-
Wendey Sherman akiri: Iran ina utamaduni wa muqawama na inajivunia
Jun 01, 2018 03:37Naibu wa zamani wa Waziri wa Mambo ya Nje wa Marekani amekiri kuwa Wairani wana utamaduni wa muqawama na ambao wanajivunia na kujifakharisha nao.
-
Askofu Mkuu wa Iran: Marekani haina uwezo wa kukabiliana na mshikamano wa taifa la Iran
May 31, 2018 20:26Askofu Mkuu wa Wakristo wa Kiarmenia wa Tehran na kaskazini mwa Iran amesema kuwa, karibu miaka 40 sasa taifa la Iran limesimama imara kukabiliana na vikwazo kwa nguvu zake zote hivyo, Marekani na mabeberu wengine wa dunia hawana uwezo wa kukabiliana na umoja na mshikamano wa taifa la Iran.
-
Kuendelea vikwazo; kilele cha uadui wa Marekani dhidi ya Iran
May 31, 2018 20:22Vikwazo vipya vimetangazwa dhidi ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran kufuatia uamuzi wa Marekani wa kujitoa katika makubaliano ya nyuklia ya Mpango Kamili wa Pamoja wa Utekelezaji JCPOA.
-
Waziri wa Mambo ya Nje wa Russia: Lugha ya Vitisho Haitatui Matatizo ya Kimataifa
May 31, 2018 02:20Waziri wa Mambo ya Nje wa Russia Sergei Lavrov amesema masuala ya nyuklia ya Iran, Korea Kaskazini na mgogoro wa Ukraine ni masuala ambayo hayawezi kutatuliwa kwa lugha ya vitisho.
-
Kukaribia Siku ya Kimataifa ya Quds; kuunga mkono taifa madhulumu la Palestina na majukumu ya Kimataifa
May 31, 2018 00:48"Ulimwengu wa Kiislamu leo unapaswa kuwa na nafasi ya kimsingi katika masuala muhimu na usiruhusu uzoefu mchungu wa miongo iliyopita na kuenea satwa ya madola makubwa na athari zake za muda mrefu kukaririwa."