Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Iran

  • Umoja wa Ulaya kuhakikisha pande zote zinatekeleza mapatano ya nyuklia ya Iran

    Umoja wa Ulaya kuhakikisha pande zote zinatekeleza mapatano ya nyuklia ya Iran

    Nov 10, 2017 23:42

    Umoja wa Ulaya umetangaza kuwa utahakikisha kuwa mapatano ya nyuklia ya mwaka 2015 baina ya Iran na madola sita makubwa duniani yanatekelezwa kikamilifu na pande husika.

  • Barua ya Iran kwa UN ikisisitizia udharura wa Saudia kuzuiwa katika jinai zake

    Barua ya Iran kwa UN ikisisitizia udharura wa Saudia kuzuiwa katika jinai zake

    Nov 09, 2017 00:20

    Mwakilishi wa kudumu wa Iran katika Umoja wa Mataifa amemwandikia barua Katibu Mkuu na Rais wa Baraza la Usalama la umoja huo akiitaka Jamii ya Kimataifa iishinikize Saudi Arabia iheshimu sheria za kimataifa na kuacha kutoa vitisho vya kutumia mabavu dhidi ya nchi nyengine.

  • Iran yataka mgogoro wa Yemen utatuliwe kidiplomasia

    Iran yataka mgogoro wa Yemen utatuliwe kidiplomasia

    Nov 09, 2017 00:08

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran Mohammad Javad Zarif amesema kuna haja ya migogoro ya eneo, hasa mgogoro wa Yemen, kutatuliwa kwa njia za mazungumzo ya kidiplomasia.

  • Syria: Kamwe hatutaruhusu kushambuliwa Hizbullah ya Lebanon

    Syria: Kamwe hatutaruhusu kushambuliwa Hizbullah ya Lebanon

    Nov 08, 2017 11:43

    Mshauri wa Rais wa Syria amesisitiza kuwa, mahusiano ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran, Hizbullah na Syria ni ya kiwango cha juu na kusema Damascus kamwe haitaruhusu harakati hiyo ya Kiislamu ya Hizbullah ishambuliwe.

  • Iran kufuta sarafu ya dola ya Marekani katika biashara ya kimataifa

    Iran kufuta sarafu ya dola ya Marekani katika biashara ya kimataifa

    Nov 07, 2017 23:25

    Jamhuri ya Kiislamu ya Iran inalenga kufuta kabisa matumizi ya dola ya Marekani katika biashara zake za kimataifa.

  • Amano: Iran imeheshimu makubaliano ya nyuklia ya JCPOA katika kipindi chote

    Amano: Iran imeheshimu makubaliano ya nyuklia ya JCPOA katika kipindi chote

    Nov 07, 2017 04:49

    Kwa mara nyingine tena Mkurugenzi Mkuu wa Wakala wa Kimataifa wa Nishati ya Atomiki IAEA, Yukia Amano ameipongeza Jamhuri ya Kiislamu ya Iran kwa kuendelea kufungamana na makubaliano ya nyuklia ya JCPOA katika takriban kipindi cha miaka miwili cha mapatano hayo.

  • Iran: Njama za Saudia zitaifanya itengwe na ulimwengu wa Kiislamu

    Iran: Njama za Saudia zitaifanya itengwe na ulimwengu wa Kiislamu

    Nov 07, 2017 04:49

    Mshauri wa Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu katika Masuala ya Kimataifa amesema uhaini na njama zinazofanywa na utawala wa kifalme wa Riyadh kila uchao katika ulimwengu wa Kiarabu na Kiislamu zitaifanya Saudi Arabia itengwe.

  • Qassemi: Tuhuma za muungano vamizi wa Saudia dhidi ya Iran ni za uchochezi na uropokaji

    Qassemi: Tuhuma za muungano vamizi wa Saudia dhidi ya Iran ni za uchochezi na uropokaji

    Nov 06, 2017 10:21

    Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran amekanusha tuhuma zilizotolewa na muungano vamizi wa kijeshi unaoongozwa na Saudi Arabia huko Yemen dhidi ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran na kuzitaja kuwa ni za uchochezi, zisizodhihirisha uwajibikaji na haribifu.

  • Mahakama ya Juu Iraq yapiga marufuku kujitenga eneo lolote nchini

    Mahakama ya Juu Iraq yapiga marufuku kujitenga eneo lolote nchini

    Nov 06, 2017 10:13

    Mahakama ya Juu ya Federali ya Iraq imepiga marufuku mpango wowote wa kujitenga mkoa au eneo lolote la nchi hiyo, kufuatia mgogoro uliosababishwa na jaribio la kutaka kujitenga eneo la Kurdistan kinyume cha katiba.

  • Wafanyaziara milioni mbili kutoka Iran waingia Iraq kwa ajili ya Arubaini ya Imam Hussein AS

    Wafanyaziara milioni mbili kutoka Iran waingia Iraq kwa ajili ya Arubaini ya Imam Hussein AS

    Nov 06, 2017 05:40

    Balozi wa Jamhuri ya Kiislamu nchini Iraq amesema hadi kufikia jana Jumapili Alasiri, wafanyaziara milioni mbili kutoka Iran walikuwa wameingia Iraq kwa ajili Arubaini ya Imam Hussein AS.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS