-
Takraibani asilimia 95 ya Wairani hawaiamini Marekani
Nov 05, 2017 11:33Uchunguzi wa maoni umebaini kuwa asilimia 94.5 ya wananchi wote wa Jamhuri ya Kiisalmu ya Iran hawaiamini Marekani na wanaitazama nchi hiyo kama adui.
-
Iran yakanusha madai ya Trump ya kuipatia Yemen makombora
Nov 05, 2017 11:28Kamanda wa Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu amekanusha madai yasiyo na msingi ya Rais wa Marekani kuwa eti Yemen imepokea makombora kutoka Jamhuri ya Kiislamu ya Iran.
-
Iran: Hujumu dhidi ya wakimbizi Syria, ishara ya kusambaratika ISIS Deir Ezzor
Nov 05, 2017 11:23Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amelaani vikali shambulizi la bomu dhidi ya mkusanyiko wa wakimbizi katika mji wa Deir Ezzor, mashariki mwa Syria, lililosababisha vifo vya makumi ya watu.
-
Rais Rouhani alikataa ombi la Trump la kufanya mazungumzo ya moja kwa moja
Nov 03, 2017 23:11Rais Hassan Rouhani wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran alikataa katakata ombi la Rais Donald Trump wa Marekani la kufanya mazungumzo ya moja kwa moja, limeandika gazeti la Washington Post.
-
Madai kuwa Iran ilikuwa na uhusiano na al-Qaida ni upotoshaji wa Marekani kwa kutumia dola za Saudia
Nov 03, 2017 11:27Nyaraka mpya zilizosambazwa na Shirika la Ujasusi la Marekani CIA sambamba na ripoti ya taasisi ya nchi hiyo inayodai kutetea demokrasia kuhusiana na shambulio la Marekani katika maficho ya Osama bin Laden, kiongozi wa zamani wa al-Qaida huko katika eneo la Abbottabad nchini Pakistan mwaka 2011, zinadai eti kuwepo uhusiano wa aina fulani kati ya kundi hilo la kigaidi na Iran.
-
Zarif: Marekani inajaribu kupotosha ukweli kuhusu mashambulizi ya Septemba 11
Nov 03, 2017 10:47Waziri wa Mashauri ya Kigeni wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema Marekani inafanya juu chini kupotosha ukweli wa mambo kuhusu mashambulio ya kigaidi ya Septemba 11 mwaka 2001.
-
Marais Putin na Macron: Kupitia upya makubaliano ya JCPOA ni jambo lisilokubalika
Nov 03, 2017 01:02Rais Vladmir Putin wa Russia na Emmanuel Macron wa Ufaransa wamesema kuwa, kuangaliwa upya makubaliano ya nyuklia ya Iran JCPOA, ni jambo lisilokubalika.
-
Uingereza ina hamu ya kuimarisha uhusiano wa kibiashara na Iran
Nov 02, 2017 00:40Waziri wa Mambo ya Nje wa Uingereza ameashiria namna Jamhuri ya Kiislamu ya Iran ilivyoheshimu vizuri makubaliano ya nyuklia ya JCPOA na kusema kuwa London ina hamu ya kuona uhusiano wake wa kibiashara na Tehran unaimarika.
-
Rais Putin wa Russia atarajiwa Iran kuhudhuria mkutano wa pande tatu
Nov 01, 2017 01:01Rais Vladimir Putin wa Russia na Rais Ilham Aliyev wa Jamhuri ya Azerbaijan leo Jumatano wanatarajiwa kuwasili mjini Tehran kwa ajili ya mkutano wa pande tatu na Rais Hassan Rouhani wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran.
-
Jeshi la Anga la Iran laanza mazoezi makubwa kati mwa nchi
Nov 01, 2017 01:01Jeshi la Anga la Jamhuri ya Kiislamu ya Iran limeanzisha mazoezi makubwa yanayojumuisha ndege aina mbali mbali za kivita katika eneo la Isfahan, kati mwa Iran.