-
Iran: Wanawake ndio wahanga wakuu wa magenge ya kigaidi
Oct 28, 2017 04:36Balozi na mwakilishi wa kudumu wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran katika Umoja wa Mataifa amesema wanawake ndio wahanga wakuu wa ukatili wa makundi ya kigaidi duniani.
-
Iran na Niger zasisitiza kukuza uhusiano wa kisiasa na kupambana na ugaidi
Oct 27, 2017 04:29Waziri wa Mambo ya Nje wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran na Rais wa Niger wamesisitiza suala la kukuza uhusiano wa kisiasa kati ya pande mbili na kupambana na ugaidi.
-
Qassemi: Ripoti ya Asma Jahangir imetayarishwa kwa malengo ya kisiasa
Oct 27, 2017 00:40Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema kuwa ripoti iliyotayarishwa na ripota maalumu wa Baraza la Haki za Binadamu la Umoja wa Mataifa kuhusu Iran ni ya kichochezi na haina hadhi wala uhalali.
-
Kiongozi wa Mapinduzi: Siri ya ushindi wa karibuni Iraq ni umoja na uungaji mkono wa vijana waumini na mashujaa
Oct 26, 2017 13:04Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu Ayatullahil-Udhma Sayyid Ali Khamenei amesema, umoja wa kaumu tofauti na uungaji mkono wa serikali ya Iraq kwa vikosi vya wananchi na vijana waumini na mashujaa wa nchi hiyo ndio siri ya ushindi uliopatikana karibuni dhidi ya magaidi na waungaji mkono wao.
-
Boroujerdi: Siasa za Marekani dhidi ya irada ya mataifa zitaifanya Washington ikubali kushindwa
Oct 25, 2017 01:15Mkuu wa Kamisheni ya Usalama wa Taifa na Siasa za Kigeni ya Bunge la Jamhuri ya Kiislamu ya Iran, Alaeddin Boroujerdi sambamba na kuashiria kufeli vibaya Marekani katika vita vyake nchini Vietnam, amesema kuwa Washington italazimika kukubali kushindwa kutokana na hatua yake ya kukabiliana na irada ya mataifa.
-
Zarif akutana na Rais Zuma wa Afrika Kusini, wajadili uhusiano wa pande mbili
Oct 24, 2017 10:34Waziri wa Mambo ya Nje wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amekutana na kufanya mazungumzo na Rais Jacob Zuma wa Afrika Kusini mjini Pretoria.
-
Zarif: Upayukaji wa Trump hauwezi kutia doa istikama ya wananchi wa Iran
Oct 24, 2017 04:05Waziri wa Mambo ya Nje wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran alisema jana usiku mbele ya Wairani wanaoishi Afrika Kusini kwamba, upayukaji wa rais wa Marekani Donald Trump hauwezi kutia doa hata chembe katika ulinzi, muqawama na heshima ya wananchi wa Iran.
-
Iran katu haitafanya mazungumzo kuhusu uwezo wake wa makombora
Oct 24, 2017 01:01Mkuu wa Vyombo vya Mahakama nchini Iran amesisitiza kuwa, Jamhuri ya Kiislamu ya Iran katu haitafanya mazungumo yoyote kuhusu makombora yake ya kujihami.
-
Iran na Afrika Kusini zaafikiana kuendelea kuimarisha uhusiano
Oct 23, 2017 10:28Afrika Kusini na Jamhuri ya Kiislamu ya Iran zimeafikiana kuhusu kuimarisha uhusiano wa nchi mbili katika sekta mbali mbali.
-
Ulimwengu wa Spoti, Okt 23
Oct 23, 2017 04:39Hujambo mpenzi msikilizaji wa RT na karibu tutupie jicho matukio kadhaa muhimu yaliyotawala uga wa spoti kitaifa na kimataifa, ndani ya siku saba zilizopita. Usibanduke kando ya radio yako hadi tamati ya kipindi...