Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Iran

  • Iran na Tanzania zasisitiza udharura wa kuimarisha uhusiano wa kiuchumi

    Iran na Tanzania zasisitiza udharura wa kuimarisha uhusiano wa kiuchumi

    Oct 12, 2017 02:06

    Waziri wa Masuala ya Uchumi wa Iran na Waziri wa Mambo ya Nje wa Tanzania wamesisitiza udharura wa kuimarishwa uhusiano wa kiuchumi baina ya pande mbili.

  • Tanzania na Iran zakubaliana kuunda kamisheni ya pamoja ya kiuchumi

    Tanzania na Iran zakubaliana kuunda kamisheni ya pamoja ya kiuchumi

    Oct 11, 2017 12:46

    Jamhuri ya Kiislamu ya Iran na Jamhuri ya Muungano wa Tanzania zimefikia makubaliano ya kuunda kamisheni ya pamoja ya kiuchumi.

  • Wabunge wa Iran: IRGC iwatizame kama magaidi askari wa US ikiwekwa kwenye orodha nyeusi

    Wabunge wa Iran: IRGC iwatizame kama magaidi askari wa US ikiwekwa kwenye orodha nyeusi

    Oct 11, 2017 04:51

    Wabunge wa Majilisi ya Ushauri ya Kiislamu ya Iran wamesema Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu ya Iran IRGC lina haki na uhuru wa kuwatazama wanajeshi wa Marekani kama magaidi wa kundi la kigaidi na kitakfiri la Daesh (ISIS) iwapo litawekwa kwenye orodha nyeusi ya US.

  • Waziri wa Mambo ya Nje wa Tanzania yupo ziarani nchini Iran

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Tanzania yupo ziarani nchini Iran

    Oct 11, 2017 04:50

    Waziri wa Mambo ya Nje, Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Kikanda na Kimataifa wa Tanzania, Augustine Mahiga yupo nchini Iran kwa safari rasmi ya kikazi.

  • Kuendelea upinzani sambamba na uamuzi tarajiwa wa Trump kuhusiana na makubaliano ya JCPOA

    Kuendelea upinzani sambamba na uamuzi tarajiwa wa Trump kuhusiana na makubaliano ya JCPOA

    Oct 10, 2017 23:02

    Sambamba na kukaribia tarehe ya kutangazwa msimamo wa serikali ya Marekani kuhusiana na Iran na makubaliano ya nyuklia yanayojulikana kama Mpango Kamili wa Pamoja wa Utekelezaji (JCPOA), mazungumzo kwa ajili ya Washington kuheshimu makubaliano hayo ya nyuklia nayo yameshika kasi.

  • "Uwezo wa Iran" waenda sambamba na ushirikiano wa sekta za ulinzi na udiplomasia

    Oct 10, 2017 04:26

    Kamanda wa Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu ya Iran, IRGC, amesisitiza kuwepo muelekeo wa pamoja katika sekta za ulinzi na udiplomasia nchini Iran na kumfahamisha rais wa Marekani hivi: "Bw. Trump, fahamu kuwa sisi (IRGC) tuko pamoja na Wizara ya Mambo ya Nje na serikali yetu na nyoyo zetu ziko pamoja."

  • Kuimarishwa uhusiano wa Iran na Umoja wa Afrika

    Kuimarishwa uhusiano wa Iran na Umoja wa Afrika

    Oct 10, 2017 01:18

    Jamhuri ya Kiislamu ya Iran itaendelea kuimarisha uhusiano wake na Umoja wa Afrika, AU katika sekta za sayansi, teknolojia, kilimo, kijamii na uchumi.

  • Amano: Iran imetekeleza majukumu yake kuhusu JCPOA

    Amano: Iran imetekeleza majukumu yake kuhusu JCPOA

    Oct 09, 2017 23:38

    Mkurugenzi Mkuu wa Wakala wa Kimataifa wa Nishati ya Nyuklia (IAEA) kwa mara nyingine tena amesisitiza kuwa Iran imeheshimu na kutekeleza majukumu yake kuhusu makubaliano ya nyuklia maarufu kama Mpango Kamili wa Pamoja wa Utekelezaji (JCPOA).

  • Ulimwengu wa Michezo, Okt 9

    Ulimwengu wa Michezo, Okt 9

    Oct 09, 2017 05:55

    Huu ni mkusanyiko wa baadhi ya matukio muhimu ya spoti yaliyojiri ndani ya siku saba zilizopita, ndani na nje ya nchi....

  • Zarif: Iran itatoa jibu mwafaka kwa misimamo ya Trump kuhusu JCPOA

    Zarif: Iran itatoa jibu mwafaka kwa misimamo ya Trump kuhusu JCPOA

    Oct 08, 2017 23:02

    Waziri wa Mashauri ya Kigeni wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema Tehran itatoa jibu mwafaka kujibu mapigo ya hatua yoyote ya kiuhasa itakayochukuliwa na Rais Donald Trump wa Marekani dhidi ya makubaliano ya nyuklia ya Iran ya JCPOA.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS