-
Wachezaji na uongozi wa timu ya taifa ya soka ya Iran wakutana na Rais Rouhani
Jun 14, 2017 11:04Wachezaji na uongozi wa timu ya taifa ya soka ya Iran wamekutana na Rais Hassan Rouhani.
-
Kenya na Iran zajadili mgogoro kati ya Qatar, Saudia na wapambe wake
Jun 14, 2017 03:29Waziri wa Mambo ya Nje wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran ametahadharisha kuwa, mgogoro unaoshuhudiwa hivi sasa katika eneo hili la Mashariki ya Kati yumkini ukapelekea madola fulani kuongeza kiwango cha ununuzi wa silaha.
-
Brig. Jenerali Jazayeri: Marekani, Saudia ni waongozaji wa ugaidi wa Daesh
Jun 14, 2017 00:08Msemaji wa Majeshi ya Iran amesema Marekani na Saudi Arabia ndio waongozaji na waungaji mkono wakuu wa kundi la kigaidi la ISIS au Daesh.
-
Iran yafuzu fainali kucheza Kombe la Dunia 2018 Russia
Jun 14, 2017 00:06Timu ya soka ya taifa ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran imekuwa timu ya pili kujikatia tiketi ya michuano ya kombe la dunia hapo mwakani huko nchini Russia baada ya kuigaragaza timu ya Uzbekstan mbao 2 kwa nunge.
-
Zarif: Wakuu wa Saudia wametangaza wazi wataleta vita ndani ya Iran
Jun 13, 2017 09:11Waziri wa Mambo ya Nje ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema, "wakuu wa Saudi Arabia wametangaza wazi kuwa watahamishia vita ndani ya Iran na hili ni tishio la moja kwa moja."
-
Iran yaangamiza magaidi wanne wa ISIS na kunasa silaha na bendera
Jun 12, 2017 21:56Maafisa wa usalama kusini mwa Iran wamefanikiwa kuwaangamzia magaidi wanne wa kundi la kigaidi la ISIS au Daesh sambamba na kunasa silaha walizokuwa nazo pamoja na bendera ya kundi hilo la kigaidi.
-
Algeria kuimarisha ushirikiano na Iran katika vita dhidi ya ugaidi
Jun 12, 2017 03:22Algeria imelaani vikali mashambulizi pacha ya kigaidi yaliyotokea hivi karibuni hapa mjini Tehran na kusema kuwa, itaendelea kushirikiana na Jamhuri ya Kiislamu ya Iran katika vita vya kuyatokomeza magenge ya kigaidi.
-
Iran: Waislamu tuwe macho; mashambulizi ya kigaidi ya Tehran hayana uhusiano na madhehebu yoyote ya Kiislamu
Jun 10, 2017 23:55Ubalozi mdogo wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran katika mji wa Hyderabad nchini India umejibu madai ya gazeti la Times of India na kusisitiza kuwa waliofanya mashambulizi ya kigaidi ya mjini Tehran ni magaidi na hawana uhusiano wowote na madhehebu ya Kisuni.
-
Magaidi 41 wa kundi la ukufurishaji la Daesh (ISIS) watiwa mbaroni nchini Iran
Jun 09, 2017 23:32Wizara ya Usalama wa Taifa ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran imetoa taarifa maalumu na kutangaza kuwa wanachama 41 wa kundi la kigaidi na ukufurishaji la Daesh (ISIS) wametiwa mbaroni hapa nchini.
-
Mtazamo wa Kiongozi Muadhamu; kushindwa mfumo wa Ubeberu kuiteteresha irada ya taifa la Iran
Jun 09, 2017 11:16Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu, Ayatullah Sayyid Ali Khamenei amesema kuhusiana na mashambulio ya kigaidi ya Tehran kuwa taifa la Iran linaendelea kusonga mbele na kwamba harakati za aina hiyo haziwezi kuathiri na kuteteresha irada na azma ya wananchi.