-
Rouhani: Hujuma ya Marekani Syria imeimarisha magaidi
Apr 07, 2017 23:30Rais wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran ameashiria hujuma ya Marekani nchini Syria na kutoa wito kwa walimwengu kupinga sera kama hizo na kuongeza kuwa, sera hizo za kivita za Marekani zitakuwa na matokeo mabaya na haraibifu kwa eneo na dunia nzima.
-
Zarif: Marekani inashirikiana na al Qaida na Daesh katika vita huko Yemen na Syria
Apr 07, 2017 23:21Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran amesema kuwa haijapita miongo miwili tangu kujiri tukio la Septemba 11 mwaka 2001 huko Marekani ambapo tunashuhudia tena wanajeshi wa nchi hiyo wakiendesha vita huko Yemen na Syria kwa kushirikiana na magaidi wa al Qaida na Daesh. Muhammad Javad Zarif ameyasema hayo katika radiamali yake kwa mashambulizi ya makombora ya cruz yaliyofanywa na Marekani jana asubuhi katika kituo cha anga cha al Shayrat mashariki mwa Homs huko Syria.
-
Iran, Russia zalaani hujuma ya US dhidi ya Syria, Israel na Uturuki zaunga mkono
Apr 07, 2017 02:09Jamhuri ya Kiislamu ya Iran imelaani vikali hatua ya Marekani kuushambulia kwa makombora mkoa wa Homs ulioko magharibi wa Syria, kwa kisingizio cha 'kuiadhibu' Syria kwa shambulio la silaha za kemikali inayodai lilifanywa na serikali ya Damascus katika mji wa Khan Sheikhoun.
-
Theresa May; mdau wa mchezo mchafu wa majungu ya kueneza hofu na chuki dhidi ya Iran
Apr 07, 2017 01:42Waziri Mkuu wa Uingereza, Theresa May amethibitisha kuwa mdau mwenza wa nchi hiyo yaani Marekani haina ilichoizidi London katika upikaji majungu dhidi ya Iran. Katika siku chache zilizopita viongozi wa Marekani wamesikika wakipayuka kuzungumzia kile walichodai kuwa jitihada wanazofanya za kuanzisha muungano wa kieneo baina ya nchi hiyo na tawala za Kiarabu dhidi ya Iran.
-
Waziri wa Mambo ya Ndani: Iran ni miongoni mwa nchi zenye amani zaidi duniani
Apr 06, 2017 23:59Waziri wa Mambo ya Ndani Abdoreza Rahman Fazli amesema taifa la Iran halitopiga magoti mbele ya ubabe, uchu na utumiaji mabavu wa uistikbari wa dunia na kubainisha kwamba marafiki na maadui wanakiri kuwa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran ni miongoni mwa nchi zenye amani zaidi duniani.
-
Qassemi: Iran inalaaani matumizi ya aina yoyote ya silaha za kemikali
Apr 05, 2017 11:41Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran amesema kuwa, Tehran inalaani matumizi ya aina yoyote ya silaha za kemikali bila ya kujali waliofanya na aina ya wahanga wa mashambulio hayo.
-
Meja Jenerali Baqeri: Iran haitetereshwi na vita vya kisaikolojia vya Marekani
Apr 04, 2017 23:40Mkuu wa Vikosi vya Ulinzi vya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema taifa hili halibabaishwi na vita vya kisaikolojia vya Marekani na waitifaki wake.
-
Rais Rouhani: Kutokomeza ugaidi kunahitaji juhudi za jamii ya kimataifa
Apr 04, 2017 11:46Rais Hassan Rouhani amelaani shambulio la kigaidi la mripuko wa bomu uliotokea kwenye treni ya chini ya ardhi katika mji wa St. Petersburg nchini Russia na kusisitiza kuwa kuutokomeza ugaidi kunahitaji juhudi za jamii ya kimataifa.
-
Ripoti: Trump, UAE wanakula njama ya kuitenganisha Russia na Iran
Apr 04, 2017 11:34Umoja wa Falme za Kiarabu (UAE) uliandaa mkutano wa siri mapema mwaka huu kati ya mwakilishi wa rais mteule wakati huo wa Marekani Donald Trump na mpambe wa Rais Vladimir Putin wa Russia ili kufanikisha diplomasia ya mlango wa nyuma baina ya pande mbili.
-
Rouhani: Moja ya malengo ya uchumi wa muqawama ni kutotetereshwa kiuchumi
Apr 03, 2017 11:36Rais wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema kuwa kusimama imara na kutotetershwa na mashinikizo ya nchi ajinabi ni moja ya malengo ya uchumi wa muqawama.