-
Rais Rouhani kutetea kiti chake katika uchaguzi wa mwezi Mei, asema si ruhusa vikosi, mali za serikali kutumika katika kampeni
Feb 26, 2017 12:55Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran katika masuala ya bunge amesema kuwa, Rais Hassan Rouhani ameamua kutetea kiti chake katika uchaguzi wa Rais unaotarajiwa kufanyika mwezi Mei mwaka huu.
-
Mazoezi ya kijeshi ya Iran yana ujumbe wa amani
Feb 26, 2017 03:57Kamanda wa Jeshi la Majini la Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema lengo la mazoezi ya majini ya Wilayat 95 ni kutuma ujumbe wa amani na urafiki kwa nchi za eneo sambamba na kuinua kiwango cha kujihami Iran.
-
Jumapili, 26 Februari, 2017
Feb 26, 2017 02:56Leo ni Jumapili tarehe 28 Jamadal-Awwal 1438 Hijria mwafaka na Februari 26, mwaka 2017 Miladia.
-
Iran; Mwenyekiti wa kundi la 77 la UN
Feb 24, 2017 23:10Jamhuri ya Kiislamu ya Iran imechukua uwenyekiti wa nchi za kundi la 77 la Umoja wa Mataifa.
-
Zimbabwe: Tutaendelea kushirikiana na Iran kutetea Wapalestina
Feb 23, 2017 09:49Spika wa Majilisi ya Ushauri ya Kiislamu (Bunge la Iran) amezikosoa baadhi ya nchi zinazojiita za Kiislamu kwa kushindwa kusimama kidete kutetea maslahi ya Wapalestina.
-
Dehqan: Juhudi za Israel za kuunda muungano dhidi ya Iran zitafeli
Feb 22, 2017 00:36Waziri wa Ulinzi wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema juhudi za utawala wa Kizayuni wa Israel za kuunda muungano dhidi ya Iran hazitafua dafu.
-
Zarif: Iran ni mshirika wa uhakika wa kibiashara kwa ajili ya Ulaya
Feb 21, 2017 04:02Waziri wa Mambo ya Nje wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema Iran ni mshirika wa uhakika wa kibiashara kwa ajili ya Ulaya.
-
Zarif: Marekani iache kutoa vitisho dhidi ya Iran
Feb 21, 2017 00:35Waziri wa Mambo ya Nje wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran, Muhammad Javad Zarif amesema hatua ya Marekani ya kutaka kuiwekea vikwazo vipya Iran inalenga kuichochea Tehran, na ameitaka nchi hiyo iache kutoa vitisho dhidi ya taifa hili.
-
Wapalestina: Uungaji mkono wa Iran kwa Palestina ndio umeifanya Saudia iichukie Tehran
Feb 20, 2017 04:07Naibu Katibu Mkuu wa Harakati ya Ukombozi wa Palestina amesema kuwa, Saudia inapingana na Jamhuri ya Kiislamu ya Iran kutokana na hatua ya Tehran kuiunga mkono Palestina.
-
Qassemi: Rasimu ya azimio la Sweden dhidi ya Iran, njama za US, Israel
Feb 19, 2017 04:20Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema mpango wa Sweden wa kuwasilisha katika Baraza la Haki za Binadamu la Umoja wa Mataifa, rasimu ya azimio dhidi ya Iran ni mwendelezo wa kampeni za Marekani na utawala wa Kizayuni wa Israel za kueneza chuki dhidi ya taifa hili.