Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Iran

  • Jumapili, Februari 19, 2017

    Jumapili, Februari 19, 2017

    Feb 18, 2017 23:04

    Leo ni Jumapili tarehe 21 Jamadal-Awwal 1438 Hijria, sawa na Februari 19 2017 Miladia.

  • Hizbullah: Iran ndio iliyohuisha upya kadhia ya Palestina duniani

    Hizbullah: Iran ndio iliyohuisha upya kadhia ya Palestina duniani

    Feb 18, 2017 12:49

    Naibu Katibu Mkuu wa Harakati ya Kiislamu ya Hizbullah ya nchini Lebanon amesema kuwa, hii leo Jamhuri ya Kiislamu ya Iran kwa kutumia nyenzo za uwezo, uthabiti na bila ya kuwa na utegemezi, imeweza kuibadilisha sura ya eneo la Mashariki ya Kati, kufungua milango ya ushindi sambamba kuhuisha upya kadhia ya Palestina.

  • Russia: Hakuna chochote kinachoweza kuvuruga uhusiano wa Tehran na Moscow

    Russia: Hakuna chochote kinachoweza kuvuruga uhusiano wa Tehran na Moscow

    Feb 17, 2017 23:09

    Sergei Ryabkov, Naibu Waziri wa Mambo ya Nje wa Russia amesema uhusiano wa pande mbili wa nchi hiyo na Jamhuri ya Kiislamu ya Iran hauwezi kuyumbishwa wala kuathiriwa na 'nguvu za nje' au upande wa tatu.

  • Mieleka: Iran yaidhalilisha Marekani na kutwaa Kombe la Dunia

    Mieleka: Iran yaidhalilisha Marekani na kutwaa Kombe la Dunia

    Feb 17, 2017 12:12

    Timu ya taifa ya mieleka ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran imetwaa Kombe la Dunia katika mchezo za mieleka mtindo wa Freestyle mwaka huu 2017, baada ya kuipigisha magoti Marekani katika ngoma ya fainali leo Ijumaa.

  • Rais wa Iran na Amir wa Kuwait wasisitiza ulazima wa umoja wa nchi za eneo

    Rais wa Iran na Amir wa Kuwait wasisitiza ulazima wa umoja wa nchi za eneo

    Feb 16, 2017 01:15

    Rais wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran na Amir wa Kuwait wamesisitiza umuhimu wa umoja na mshikamano wa nchi jirani na za Kiislamu hasa kwa kuzingatia hali ya hivi sasa Mashariki ya Kati.

  • Alkhamisi 16 Februari, 2017

    Alkhamisi 16 Februari, 2017

    Feb 16, 2017 00:38

    Leo ni Alkhamisi tarehe 18 Jamadil Awwal 1438 sawa na tarehe 16 Februari 2017.

  • Iran, Luxemberg zasisitizia haja ya kuheshimiwa makubaliano ya nyuklia

    Iran, Luxemberg zasisitizia haja ya kuheshimiwa makubaliano ya nyuklia

    Feb 14, 2017 10:46

    Jamhuri ya Kiislamu ya Iran na Luxemberg zimesisitizia umuhimu wa kuheshimiwa na kutekelezwa kikamilifu makubaliano ya nyuklia ya Vienna.

  • Araqchi: Iran iko mstari wa mbele kupambana na silaha za mauaji ya umati

    Araqchi: Iran iko mstari wa mbele kupambana na silaha za mauaji ya umati

    Feb 13, 2017 13:49

    Naibu Waziri wa Mambo ya Nje wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema, historia ya mashambulizi ya kinyama yaliyofanywa na utawala wa Baath wa Saddam, dhidi ya wananchi na raia wasio na ulinzi wa Iran ni jambo lisiloweza kusahaulika.

  • Jeshi la Iran lasisitiza udharura wa kulindwa lango la Bab El Mandab

    Jeshi la Iran lasisitiza udharura wa kulindwa lango la Bab El Mandab

    Feb 13, 2017 04:49

    Kamanda wa Jeshi la Majini la Iran amesema kuwa suala linalopewa umuhimu zaidi na jeshi hilo kwa sasa ni kulinda usalama wa Ghuba ya Aden, Bahari Nyekundu na lango bahari la Bab El Mandab.

  • Ulimwengu wa Michezo, Februari 13

    Ulimwengu wa Michezo, Februari 13

    Feb 13, 2017 04:37

    Mkusanyiko wa matukio kemkem ya spoti ndani ya siku saba zilizopita......................

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS