-
Jumapili, Februari 19, 2017
Feb 18, 2017 23:04Leo ni Jumapili tarehe 21 Jamadal-Awwal 1438 Hijria, sawa na Februari 19 2017 Miladia.
-
Hizbullah: Iran ndio iliyohuisha upya kadhia ya Palestina duniani
Feb 18, 2017 12:49Naibu Katibu Mkuu wa Harakati ya Kiislamu ya Hizbullah ya nchini Lebanon amesema kuwa, hii leo Jamhuri ya Kiislamu ya Iran kwa kutumia nyenzo za uwezo, uthabiti na bila ya kuwa na utegemezi, imeweza kuibadilisha sura ya eneo la Mashariki ya Kati, kufungua milango ya ushindi sambamba kuhuisha upya kadhia ya Palestina.
-
Russia: Hakuna chochote kinachoweza kuvuruga uhusiano wa Tehran na Moscow
Feb 17, 2017 23:09Sergei Ryabkov, Naibu Waziri wa Mambo ya Nje wa Russia amesema uhusiano wa pande mbili wa nchi hiyo na Jamhuri ya Kiislamu ya Iran hauwezi kuyumbishwa wala kuathiriwa na 'nguvu za nje' au upande wa tatu.
-
Mieleka: Iran yaidhalilisha Marekani na kutwaa Kombe la Dunia
Feb 17, 2017 12:12Timu ya taifa ya mieleka ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran imetwaa Kombe la Dunia katika mchezo za mieleka mtindo wa Freestyle mwaka huu 2017, baada ya kuipigisha magoti Marekani katika ngoma ya fainali leo Ijumaa.
-
Rais wa Iran na Amir wa Kuwait wasisitiza ulazima wa umoja wa nchi za eneo
Feb 16, 2017 01:15Rais wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran na Amir wa Kuwait wamesisitiza umuhimu wa umoja na mshikamano wa nchi jirani na za Kiislamu hasa kwa kuzingatia hali ya hivi sasa Mashariki ya Kati.
-
Alkhamisi 16 Februari, 2017
Feb 16, 2017 00:38Leo ni Alkhamisi tarehe 18 Jamadil Awwal 1438 sawa na tarehe 16 Februari 2017.
-
Iran, Luxemberg zasisitizia haja ya kuheshimiwa makubaliano ya nyuklia
Feb 14, 2017 10:46Jamhuri ya Kiislamu ya Iran na Luxemberg zimesisitizia umuhimu wa kuheshimiwa na kutekelezwa kikamilifu makubaliano ya nyuklia ya Vienna.
-
Araqchi: Iran iko mstari wa mbele kupambana na silaha za mauaji ya umati
Feb 13, 2017 13:49Naibu Waziri wa Mambo ya Nje wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema, historia ya mashambulizi ya kinyama yaliyofanywa na utawala wa Baath wa Saddam, dhidi ya wananchi na raia wasio na ulinzi wa Iran ni jambo lisiloweza kusahaulika.
-
Jeshi la Iran lasisitiza udharura wa kulindwa lango la Bab El Mandab
Feb 13, 2017 04:49Kamanda wa Jeshi la Majini la Iran amesema kuwa suala linalopewa umuhimu zaidi na jeshi hilo kwa sasa ni kulinda usalama wa Ghuba ya Aden, Bahari Nyekundu na lango bahari la Bab El Mandab.
-
Ulimwengu wa Michezo, Februari 13
Feb 13, 2017 04:37Mkusanyiko wa matukio kemkem ya spoti ndani ya siku saba zilizopita......................