Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Iran

  • Saudia yaomba kufanya mazungumzo na Iran kuhusu Hija

    Saudia yaomba kufanya mazungumzo na Iran kuhusu Hija

    Dec 30, 2016 12:10

    Imedokezwa kuwa Saudi Arabia imeiomba Iran kushiriki katika mazungumzo ya kujadili suala la kuwawezesha tena Wairani kutekeleza ibada ya Hija.

  • Ayatullah Amoli Larijani: Iran haitishiki na vitisho vya aina yoyote

    Ayatullah Amoli Larijani: Iran haitishiki na vitisho vya aina yoyote

    Dec 30, 2016 01:19

    Mkuu wa Vyombo vya Mahakama nchini Iran amesema kuwa, vitisho havina athari yoyote ile kwa moyo wa kijihadi wa taifa la Iran.

  • Sayansi na Teknolojia Mpya (1)

    Sayansi na Teknolojia Mpya (1)

    Dec 29, 2016 08:43

    Karibuni katika mujmuiko huu mpya wa vipindi ambavyo vinaangazia maendeleo mapya katika sekta za sayansi, teknolojia na tiba. Karibuni kujiunga nasi hadi mwisho ambapo leo tutaangazia mafanikio ya Iran katika kuzalisha dawa ambayo Marekani tu ndiyo iliyokuwa na teknoljia hiyo duniani.

  • 9 Dei, Siku ya Mwamko na Kushikamana na Wilaya

    9 Dei, Siku ya Mwamko na Kushikamana na Wilaya

    Dec 29, 2016 07:54

    Ni jambo linalojulikana na wanadamu wote kwamba, hakuna mtu anayeweza kuainisha jinsi ya kuzaliwa au kufariki kwake dunia. Hata hivyo jamii ambayo kama alivyo mwanadamu, inazaliwa na kufa, huwa na taathira katika kubakia hai na katika kufa kwake.

  • Ayatullah Shirazi: Siasa za leo duniani zimejaa uwongo na unafiki

    Ayatullah Shirazi: Siasa za leo duniani zimejaa uwongo na unafiki

    Dec 28, 2016 23:10

    Ayatullah Makarim Shirazi ambaye ni miongoni mwa wanazuoni wakubwa wa kidini nchini Iran amekosoa anga ya kisiasa inayotawala dunia hivi sasa akisisitiza kuwa siasa hizo za kimataifa zimegubikwa na hadaa na unafiki.

  • Luteka ya kijeshi Iran yakamilika kwa kufanyiwa majaribio kombora la S-200

    Luteka ya kijeshi Iran yakamilika kwa kufanyiwa majaribio kombora la S-200

    Dec 28, 2016 23:07

    Jamhuri ya Kiislamu ya Iran imefanyia majaribio kwa mafanikio kombora la masafa marefu la nchi kavu kuelekea angani la S-200, katika siku ya mwisho ya luteka ya kijeshi iliyofanyika kusini mwa nchi jana Jumatano.

  • Iran yatuma misaada zaidi ya kibinaadamu Aleppo, Syria

    Iran yatuma misaada zaidi ya kibinaadamu Aleppo, Syria

    Dec 27, 2016 11:49

    Jamhuri ya Kiislamu ya Iran imetuma shehena zingine mbili za misaada ya kibinadamu katika mji wa Aleppo (Halab) uliokombolewa hivi karibuni kutoka mikononi mwa magaidi wakufurishaji.

  • Velayati: Iran ni kimbilio salama la Waislamu wote

    Velayati: Iran ni kimbilio salama la Waislamu wote

    Dec 27, 2016 11:42

    Mkuu wa Kituo cha Utafiti wa Kistratejia cha Halmashauri ya Kuainisha Maslahi ya Mfumo wa Kiislamu wa Iran amesema kuwa, Jamhuri ya Kiislami ni kimbilio na nchi salama zaidi kwa Waislamu wote.

  • AFP: Wafuasi wa dini za wachache wana usalama mkubwa nchini Iran

    AFP: Wafuasi wa dini za wachache wana usalama mkubwa nchini Iran

    Dec 26, 2016 03:54

    Shirika la habari la Ufaransa AFP limetangaza kuwa, wafuasi wa dini za wachache wakiwemo Wakristo wanaishi kwa usalama mkubwa nchini Iran na kwamba nchi hiyo ni katika nchi zenye usalama mkubwa zaidi kwa watu wa dini za wachache kwenye eneo la Mashariki ya Kati.

  • Mazoezi makubwa ya kijeshi yaanza kusini mwa Iran

    Mazoezi makubwa ya kijeshi yaanza kusini mwa Iran

    Dec 26, 2016 00:59

    Majeshi ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran leo yanaanza mazoezi makubwa katika eneo la kusini mwa nchi.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS