Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Iran

  • Meli za jeshi la Iran zatia nanga katika bandari ya Durban

    Meli za jeshi la Iran zatia nanga katika bandari ya Durban

    Nov 26, 2016 04:31

    Meli za kikosi cha upelelezi cha operesheni ya mabaharia 44 wa jeshi la Jamhuri ya Kiislamu ya Iran, zimewasili katika bandari ya Durban, Afrika Kusini.

  • Ijumaa, 25 Novemba, 2016

    Ijumaa, 25 Novemba, 2016

    Nov 24, 2016 23:30

    Leo ni Ijumaa tarehe 25 Safar 1438 Hijria sawa na Novemba 25, 2016.

  • Marekani yaihakikishia Brazil kuhusu kutoiwekea vikwazo

    Marekani yaihakikishia Brazil kuhusu kutoiwekea vikwazo

    Nov 24, 2016 04:29

    Afisa mmoja wa ngazi za juu wa Brazil amesema kuwa Marekani imeihakikishia nchi yake kwamba haitaiyawekea vikwazo mashirika na benki zake zinazofanya biashara na Jamhuri ya Kiislamu ya Iran.

  • Alkhamisi, 24 Novemba, 2016

    Alkhamisi, 24 Novemba, 2016

    Nov 24, 2016 02:33

    Leo ni Alkhamisi tarehe 24 Safar 1438 Hijria sawa na Novemba 24, 2016.

  • Rais Rouhani asisitiza kuimarishwa uhusiano wa Iran na Slovenia

    Rais Rouhani asisitiza kuimarishwa uhusiano wa Iran na Slovenia

    Nov 22, 2016 13:26

    Rais Hassan Rouhani amesisitiza kuwa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran na Slovania zimeazimia kwa dhati kustawisha uhusiano wa pande mbili katika nyanja mbalimbali zikiwemo za kiuchumi na kisiasa.

  • Bunge la Iran lalaani hatua ya Bunge la Marekani

    Bunge la Iran lalaani hatua ya Bunge la Marekani

    Nov 22, 2016 12:59

    Wajumbe wa Majlisi ya Ushauri ya Kiislamu, Bunge la Iran, wamelaani hatua ya wajumbe wa Bunge la Marekani kurefusha kwa muda wa miaka 10 sheria ya kuiwekea Iran vikwazo.

  • Iran na Umoja wa Afrika; uandaaji wa fursa kwa ajili ya ushirikiano katika uga wa usalama na amani

    Iran na Umoja wa Afrika; uandaaji wa fursa kwa ajili ya ushirikiano katika uga wa usalama na amani

    Nov 22, 2016 09:39

    Kamishna Mkuu wa Baraza la Usalama na Amani la Umoja wa Afrika amekutana na kufanya mazungumzo hapa mjini Tehran na Naibu Waziri wa Mashauri ya Kigeni wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran anayeshughulikia masuala ya nchi za Kiarabu na Kiafrika.

  • Iran: Ugaidi ni tishio kwa nchi za Afrika na Asia Magharibi

    Iran: Ugaidi ni tishio kwa nchi za Afrika na Asia Magharibi

    Nov 22, 2016 04:30

    Naibu Waziri wa Mambo ya Nje wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran ambaye anashughulikia masuala ya nchi za Kiarabu na Kiafrika amesema ugaidi ni tatizo la kimataifa na tishio la pamoja kwa nchi za bara Afrika na eneo la magharibi mwa bara Asia.

  • Jumanne 22 Novemba, 2016

    Jumanne 22 Novemba, 2016

    Nov 21, 2016 23:11

    Leo ni Jumanne tarehe 22 Safar 1438 Hijria sawa na Novemba 22, 2016.

  • Udiplomasia wa Saudia; kuharibu uhusiano wa Iran kieneo na kimataifa

    Udiplomasia wa Saudia; kuharibu uhusiano wa Iran kieneo na kimataifa

    Nov 21, 2016 08:29

    Duru za kisiasa zenye mfungamano na Wasaudia katika siku za hivi karibuni zimezidisha harakati na lobi za kisiasa dhidi ya Iran. Lengo la harakati hizo ni kuiiweka chini ya mashinikizo Iran kieneo na kimataifa.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS